Usioe Mwanamke asiyekupenda

Usioe Mwanamke asiyekupenda

Iliandikwa wapi hiyo sheria mke ampende mume??
Ndoa ni mme ampende mke na mke anawajibu kumheshimu na kumtii mme wake
Tofauti na hilo hakunaga ndoa yenye amani wala mahusiano yenye furaha.
Mwanamke akipenda anakua msumbufu na kero
Kuweni makini na Maandiko ...
 
Mwanamke anayekupenda hatumiagi akili yake hata kwa 1% anaitegemea yako by 100% vile uonavyo sahihi na kwake ni sahihi pia. Anausikiliza moyo wake kuliko chochote.

Ukiona mwanamke anaweka criteria's tu mbele yako ama conditions flani ziwe met ndio akupende jua sio wako huyo! Utatumia nguvu kumshawishi ila ataishia kukutumia tu.
Hii kitu nakubali Mzee...
with experience 🤝
 
Mwanamke anayekupenda hatumiagi akili yake hata kwa 1% anaitegemea yako by 100% vile uonavyo sahihi na kwake ni sahihi pia. Anausikiliza moyo wake kuliko chochote.

Ukiona mwanamke anaweka criteria's tu mbele yako ama conditions flani ziwe met ndio akupende jua sio wako huyo! Utatumia nguvu kumshawishi ila ataishia kukutumia tu.

Nafikiri upo sahihi 100%
 
Back
Top Bottom