Usioe Mwanamke asiyekupenda

Usioe Mwanamke asiyekupenda

Iliandikwa wapi hiyo sheria mke ampende mume??
Ndoa ni mme ampende mke na mke anawajibu kumheshimu na kumtii mme wake
Tofauti na hilo hakunaga ndoa yenye amani wala mahusiano yenye furaha.
Mwanamke akipenda anakua msumbufu na kero
 
Muda mwingne upendo ni kuamua kumpenda mtu na kuhisi yeye tuu ndio unaempenda kadiri mnavyoishi na kutendeana , wengi mwanzon wanapendn ila mwishon wanachokan kutokan na kutojali/kuthamin waliyotendeana
 
Iliandikwa wapi hiyo sheria mke ampende mume??
Ndoa ni mme ampende mke na mke anawajibu kumheshimu na kumtii mme wake
Tofauti na hilo hakunaga ndoa yenye amani wala mahusiano yenye furaha.
Mwanamke akipenda anakua msumbufu na kero
Kwani kupenda mtu unaamua au kunakuja kwenyewe?
 
Mzee yuko sahihi 100%,kila siku naimba usioe mwanamke ambae kwake hujiwezi, bila ya yeye mambo hayaendi, oa mwanamke ambae kwako hajiwezi bila ya wewe, yeye si kitu, hata kama humpendi jilazimishe upende sababu ndio kwenye salama na afya ya moyo wako.

Raha ni kupendwa kisha upende,sio kukurupuka kupenda tu, mwishowe wenye mioyo miepesi wanajitundika kamba.
 
😊Hauwezi kumpata ndo ilivyo ,hakuna cha soulmate cha muhimu kama mwanaume ujifunze kumpenda pia huyo msichana ..
Kama mtu anaoa ahakikishe kabisa kwenye ule upendo yeye ni 25% mwenzie 75% utaipata pepo duniani😅
Mkuu ni heri umpate akupendae mkuu ...haya mambo hatujaribu ni hatari
 
Mzee yuko sahihi 100%,kila siku naimba usioe mwanamke ambae kwake hujiwezi, bila ya yeye mambo hayaendi, oa mwanamke ambae kwako hajiwezi bila ya wewe, yeye si kitu, hata kama humpendi jilazimishe upende sababu ndio kwenye salama na afya ya moyo wako.

Raha ni kupendwa kisha upende,sio kukurupuka kupenda tu, mwishowe wenye mioyo miepesi wanajitundika kamba.
Kabisa mkuu
 
KWANI HUYO MWAKYOMA ndiyo authority kwenye mambo ya mapenzi?
Hapana mkuu , mimi naitwa mwakyoma ndio nilikua nae huyo mzee akinipa sad facts izo hapo nimejaribu kuandika niliyo yakumbuka mengine ni mazito sana mkuu
 
Madam dunia imebadilika sana siku hizi
Iliandikwa wapi hiyo sheria mke ampende mume??
Ndoa ni mme ampende mke na mke anawajibu kumheshimu na kumtii mme wake
Tofauti na hilo hakunaga ndoa yenye amani wala mahusiano yenye furaha.
Mwanamke akipenda anakua msumbufu na kero
 
Hapana mkuu , mimi naitwa mwakyoma ndio nilikua nae huyo mzee akinipa sad facts izo hapo nimejaribu kuandika niliyo yakumbuka mengine ni mazito sana mkuu
Tafuta hela, utapendwa na mama yako na ndugu zako, chakata papuchi, huyo mzee wa boda asikushushie confidence
 
Tafuta hela, utapendwa na mama yako na ndugu zako, chakata papuchi, huyo mzee wa boda asikushushie confidence
Mkuu pana goals za kuwa na familia imara wengine mipango yetu , tulivyo iweka inahitaji kuoa zaidi pia ndio mtihani ulipo
 
Back
Top Bottom