Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,090
- 165,243
Wengine wakichepuka utadhani ndo wanabalehe kumbe washapiga papuchi laki tatuUna akili sana wewe. Watu wanaweza kutoa lekcha kwa jamaa lakini bado ana afadhali kubwa kuliko Wanaume wengi. Tunawaona huku wanapiga bia, wana Wanawake kila kona, wanawadharau wake zao nk.
Lakini braza Nanya yeye anagida bia lakini mawazo kwa mkewe. Safi sana.
Always drinking is good idea!
Wivu ndo mapenzi yenyeweKama Mimi na geniveros, ila tatizo gen ana wivu balaa. Akianza kuongea mpaka ardhi inatetema
Humjui Gen wewe. Ana mikwara ila tu vitu vyake vitamu. Kuanzia chakula mpaka nkWivu ndo mapenzi yenyewe
Duh!kwa iyo kila akichukua mzigo wewe ndo ulikuwa unahakikisha kavaa ndom?!blaza mkubwa alikua hapigi kavu na bado alikufa kwa ngoma.. tafakari
Mkaribishe bianimesema kwenye kumbi za burudani tunakutana na watu wa aina mbalimbali tusiojua afya zao, na sijataja mabaamedi, soma vizuri mkuu, usipanic.
Acha uzuzu wewe, utakuja kuukwaa afu useme bahati mbaya. Ukiwa na concept ya kila demu ana maradhi isipokuwa mbunye ya mkeo, utaishi.Ina maana kwa muono wako kila mhudumu wa baa ana VVU?
Au kila demu unayekutana naye maeneo ya kinywaji anaweza kukuambukiza VVU?
utuambie unampelekaga wapi mkeo na Sie tupate maujanja.popote anapotaka ila sio hapo.
housegirl inaonekana bado hujapokea elf 30 za mshahara wako naona una moto kweli kweli. njoo kigamboni unywe biautuambie unampelekaga wapi mkeo na Sie tupate maujanja.
ni vizuri umfundishe kunywa bia najua akizoea ata enjoy sana kununuliwa bia na kubambiwa na wanaume wengine bar.
Hata huyo mkeo unaeringa naye anaweza kukuletea humohumo ndani.Acha uzuzu wewe, utakuja kuukwaa afu useme bahati mbaya. Ukiwa na concept ya kila demu ana maradhi isipokuwa mbunye ya mkeo, utaishi.
Waiter zungushaNarudia tena, usiulize kwanini na unywaji bia wangu wote sijawahi kutoka na wanawake naokutana nao bar. Kama mtu mzima huna budi kujiongeza pale ndugu yako anapopatwa na majanga. wahenga walisema mwenzako akinyolewa zako tia maji.
Nimejifunza kuachana na uhuni kupitia ndugu yangu. Ndugu yangu wa damu kabisa alifariki kwa ugonjwa wa UKIMWI wakati bado kijana mwenye nguvu za kutumikia taifa. nilisikitika ila sikuwa na uwezo wa kumfufua, ila uwezo niliokuwa nao ni kujifunza kupitia maisha yake aliyoishi.
Ukikutana na mwanamke bar mpige bia, mchekeshe mpaka mbavu zivunjike, bambia ubambiavyo, ila mwisho wa siku usije ukaamua kulala nae, huwa tunakutana tu sehemu za starehe angali hatujui afya ya yule tunaeongea nae ipoje.
Piga bia lipa bili kisha rudi kwa mamsapu ukaburudishwe na steki zake, hizi steki za mtaani ambazo hatujui kama zimethibitishwa na TBS zinaweza zikawa ni vibudu.
Nimemaliza, karibu bia
atoto njoo umchukue ndugu yako, me amenichosha jamani hahaha. Eti ataenjoy sana kununuliwa bia na kubambiwautuambie unampelekaga wapi mkeo na Sie tupate maujanja.
ni vizuri umfundishe kunywa bia najua akizoea ata enjoy sana kununuliwa bia na kubambiwa na wanaume wengine bar.
Aiseee!!! You are so SMART kichwani. Big Up Sana. You've really inspired me. Cku zote hua naamini Kama mtu uko safe in terms of healthwise lazima uijali afya yako. Afya ndo kila kitu. Naomba mungu anijaalie mume mwenye msimamo kama wako. Ameen InshaAllahNarudia tena, usiulize kwanini na unywaji bia wangu wote sijawahi kutoka na wanawake naokutana nao bar. Kama mtu mzima huna budi kujiongeza pale ndugu yako anapopatwa na majanga. wahenga walisema mwenzako akinyolewa zako tia maji.
Nimejifunza kuachana na uhuni kupitia ndugu yangu. Ndugu yangu wa damu kabisa alifariki kwa ugonjwa wa UKIMWI wakati bado kijana mwenye nguvu za kutumikia taifa. nilisikitika ila sikuwa na uwezo wa kumfufua, ila uwezo niliokuwa nao ni kujifunza kupitia maisha yake aliyoishi.
Ukikutana na mwanamke bar mpige bia, mchekeshe mpaka mbavu zivunjike, bambia ubambiavyo, ila mwisho wa siku usije ukaamua kulala nae, huwa tunakutana tu sehemu za starehe angali hatujui afya ya yule tunaeongea nae ipoje.
Piga bia lipa bili kisha rudi kwa mamsapu ukaburudishwe na steki zake, hizi steki za mtaani ambazo hatujui kama zimethibitishwa na TBS zinaweza zikawa ni vibudu.
Nimemaliza, karibu bia
nakwambia toka thread ianze umeona amezungusha round ngapi ? karibu wote tumenunuliwa bia. ndo zake huyu halafu nyumbani kaacha shigapi eti??Sante kwa elimu ya Ukimwi mkuu, Ila na ww upunguze bia sasa, unakaribisha kitambi na matatizo ya uzeeni kama kisukari na presha ya kupanda
ukiona mwanamke unapewa hela ya matumizi kila siku basi ujue una matatizo ya ufujaji, mi natoa hela ya mwezi mzima sitaki usumbufu, karibu bianakwambia toka thread ianze umeona amezungusha round ngapi ? karibu wote tumenunuliwa bia. ndo zake huyu halafu nyumbani kaacha shigapi eti??