Ona Sasa
Member
- Jul 2, 2009
- 65
- 11
Kumekuwepo na utaratibu wa wakulima wetu kulima zao hili kwa pamoja, hii inatokana na hali ya hewa ya mahali husika pamoja na utaratibu wa watu kufanya kama wengine. Hali hii husababisha zao la nyanya kushuka ghafla bei sokoni kutokana na wingi wa nyanya.
Tumeshuhudia watu wakipata hasara kubwa bila kutalajia na hii inawaingiza wadau wengi kuanzia kwa mkulima mwenyewe, mlanguzi,mnunuzi wa jumla na mnunuzi wa rejareja na pia haishii hapo bali hata majumbani unakuta mlaji ameweza kununua nyanya nyingi kwa bei rahisi lakini hana ujuzi wa kuzihifadhi matokeo yake zinaharibika.
Sote tu mashuhuda kwamba, baada ya muda mfupi nyanya zinatoweka sokoni na zikipatikani zinakuwa hazishikiki bei zake , hivyo kuwafanya waagizaji wa nyanya za makopo kutoka nje kufanya kazi yao, ukizingatia hizo nyanya za makopo sio nyanya halisi kama ile inayotoka shambani au hii ambayo tunaelekea kujfunza kuhifadhi yenye kila aina vitamin za kutosha.
Tukiwa tunaelekea kwenye Tanzania ya Viwanda na huimarishaji wa uchumi wa ndani na kukuza pato la kila mwananchi na taifa kwa ujumla, tumeona kuandaa.
Piga 0756 41 95 49 Kupata kitabu
Tumeshuhudia watu wakipata hasara kubwa bila kutalajia na hii inawaingiza wadau wengi kuanzia kwa mkulima mwenyewe, mlanguzi,mnunuzi wa jumla na mnunuzi wa rejareja na pia haishii hapo bali hata majumbani unakuta mlaji ameweza kununua nyanya nyingi kwa bei rahisi lakini hana ujuzi wa kuzihifadhi matokeo yake zinaharibika.
Sote tu mashuhuda kwamba, baada ya muda mfupi nyanya zinatoweka sokoni na zikipatikani zinakuwa hazishikiki bei zake , hivyo kuwafanya waagizaji wa nyanya za makopo kutoka nje kufanya kazi yao, ukizingatia hizo nyanya za makopo sio nyanya halisi kama ile inayotoka shambani au hii ambayo tunaelekea kujfunza kuhifadhi yenye kila aina vitamin za kutosha.
Tukiwa tunaelekea kwenye Tanzania ya Viwanda na huimarishaji wa uchumi wa ndani na kukuza pato la kila mwananchi na taifa kwa ujumla, tumeona kuandaa.
Piga 0756 41 95 49 Kupata kitabu