Habar za leo wana JF,
Mwenzenu nimepata changamoto ambayo asilimia kubwa ya sisi vijana tunaipitia haswa kwenye ishu ya mahusiano.
Kuna mdada tulipendana nae mwaka 2020, tunapendana kama mbwa na mkia wake, na kipindi hiko alikuwa amehitimu kidato cha nne. Tuliweka malengo na akawa sehemu kubwa sana ya kila hatua nayoipiga kuyakimbilia mafanikio.
Matokeo yalipotoka alienda mbali na mimi na kwa kuwa mimi nilimpenda nikahamisha biashara na makazi yangu mahali karibu.
Tuliweka malengo ya kuoana ifikapo 2023 lakini kadri siku zilivyozidi kusogea kwenye ratiba alibadilika na kila anapoambiwa kuhusu suala la kuoa anakuwa mkali, mwisho wa siku kaishia kunidanganya ya kuwa wazazi wake wamekataaa.
Namshukuru Mungu na kumshukuru huyu binti kwa sababu nimejifunza maisha ambayo sikutegemea kama ningejifunza mahali pengine popote zaidi ya kupitia haya nilioyapitia.
Hawa madada tuwapende ila tusisahau.
Songoroka.
1) Unaweza kuona kuwa huu ni ushuhuda mkubwa na ni funzo ila, utakua unakosea sana. Huyo msichana alikuwa ni mdogo na alikuwa anataka mtu wa kuwa naye kwa kipindi. Fikiri hata serikali ingejua ingekupiga 30!
2)Hata kama alikuwa serious mwanzoni na ndoa. Inawezekana down the road aliona vitu kwako akajua wewe si mtu sahihi kwake ama yeye si sahihi kwako.
ONE : Huu ushahidi umekosa sifa kutumika kwenye Hukumu yako kwenye heading (The assertion is wrong for the conclusion)
HEADING : Usimwamini Mwanamke asiye mama yako.
TWO : Sijaona mama yako anaepukaje hiyo assumtion kuwa wanawake wote ni waongo (Kwenye mapenzi). Maana baba yako hatakiwi kumuamini mama yako, because she is a liar (Your standing point not mine).
Ukisema ni kwenye mapenzi yako wewe tu hawezi kudanganya, I can say Yes. But then she is not the one carrying the luggage of loving you and being with you!
Hapa huna point ya kurefer Trust. Wewe unachomaanisha ni genuine intention ya your welfare in decisions. Ni kweli mama atascore one of the highest points, because the she knows ukiharibu au ukifaniniwa she'll be there to pick up the mess. Wengine ni option kubaki na wewe ndio maana huwaamini.
ADVICE: If at one point you make a generalization (Mfano: asssumption yako kuwa wanawake wote ni waongo). The most probable reason is YOU have issues yourself. Either origin yake ni from your upbringing or your life approach and subsequent experiences, wewe wajua.
Kama hujaelewa hiyo jua hii : Watu wanapanda mahindi miaka minne na hawapati mavuno. Hawasemi mahindi huwa hayaoti. Watabadili, mbegu, shamba, mbolea, wakati wa kulima. Hadi watoboe.
Huyo form 4 kakushinda enda jaribu form 6 acha kukatisha watu tamaa hapa