Usimwamini Mwanamke asiye mama yako

Usimwamini Mwanamke asiye mama yako

Joined
Nov 11, 2019
Posts
59
Reaction score
73
Habar za leo wana JF,

Mwenzenu nimepata changamoto ambayo asilimia kubwa ya sisi vijana tunaipitia haswa kwenye ishu ya mahusiano.

Kuna mdada tulipendana nae mwaka 2020, tunapendana kama mbwa na mkia wake, na kipindi hiko alikuwa amehitimu kidato cha nne. Tuliweka malengo na akawa sehemu kubwa sana ya kila hatua nayoipiga kuyakimbilia mafanikio.

Matokeo yalipotoka alienda mbali na mimi na kwa kuwa mimi nilimpenda nikahamisha biashara na makazi yangu mahali karibu.

Tuliweka malengo ya kuoana ifikapo 2023 lakini kadri siku zilivyozidi kusogea kwenye ratiba alibadilika na kila anapoambiwa kuhusu suala la kuoa anakuwa mkali, mwisho wa siku kaishia kunidanganya ya kuwa wazazi wake wamekataaa.

Namshukuru Mungu na kumshukuru huyu binti kwa sababu nimejifunza maisha ambayo sikutegemea kama ningejifunza mahali pengine popote zaidi ya kupitia haya nilioyapitia.

Hawa madada tuwapende ila tusisahau.

Songoroka.
 
Habar za leo wana Jf,
Mwenzenu nimepata changamoto ambayo asilimia kubwa ya sis vijana tunaipitia haswa kwenye ishu ya mahusiano.

Kuna mdada tulipendana nae mwaka 2020, tunapenda kama mbwa na mkia wake, na kipindi hiko alikuwa amehitimu kidato cha nne!, Tunajenga malengo na akawa sehem kubwa sana ya kila hatua nayoipiga kuyakimbilia mafanikio.

Matokeo yaliyotoka alienda mbali na mm, na kwa kuwa mm nilimpenda nikahamisha biashara na makazi yangu pahala karbu.
Tuliweka malengo ya kuona ifikapo kuna 2023 lakini kadri siku zilivyozidi kwenye ratiba ili badilika na kila anapoambiwa kuhusu suala la kuoa anakuwa mkali, mwisho wa siku kaishia kunidanganya ya kuwa wazazi wake wamekataaa.

Namshukuru Mungu na kumshukuru huyu binti kwa sababu amejifunza maisha ambayo sikutegemea kama ningejifinza mahali nyingne yyte zaidi ya kupitia haya nilioyapitia.....

Hawa mada tuwapende ila tusisahau.

Songoroka
Kama baba yako asivyomwamini mama yako!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Habar za leo wana Jf,

Mwenzenu nimepata changamoto ambayo asilimia kubwa ya sis vijana tunaipitia haswa kwenye ishu ya mahusiano.

Kuna mdada tulipendana nae mwaka 2020, tunapenda kama mbwa na mkia wake, na kipindi hiko alikuwa amehitimu kidato cha nne!, Tunajenga malengo na akawa sehem kubwa sana ya kila hatua nayoipiga kuyakimbilia mafanikio.

Matokeo yaliyotoka alienda mbali na mm, na kwa kuwa mm nilimpenda nikahamisha biashara na makazi yangu pahala karbu.

Tuliweka malengo ya kuona ifikapo kuna 2023 lakini kadri siku zilivyozidi kwenye ratiba ili badilika na kila anapoambiwa kuhusu suala la kuoa anakuwa mkali, mwisho wa siku kaishia kunidanganya ya kuwa wazazi wake wamekataaa.

Namshukuru Mungu na kumshukuru huyu binti kwa sababu amejifunza maisha ambayo sikutegemea kama ningejifinza mahali nyingne yyte zaidi ya kupitia haya nilioyapitia.

Hawa mada tuwapende ila tusisahau.

Songoroka


Kama ambavyo mtoto wa form four anakuwa kimaumbile, na ndivyo akili yake inavyokuwa na kubadili mambo aliyoamua awali,

Hana kosa huyo binti. Na wewe jitahidi ukue ujielewe.
 
Swala la kupendana litoe kwanza sema wewe ulimpenda Coz huwezi jua na yeye alikua anakupenda au alikua anakeletea futuhi
 
Unapima upendo kwa kitoto cha form four?

Alikuwa hajakuwa tu huyo, kwa sasa amekuwa kapata wa size yake.

Mwisho, acha
kusingizia wanawake wote eti kasoro mama mzazi. Wapo wadada wanaojielewa
Ni sahihi kwa unachikisema,

Ila mpaka sasa nipo nae kwenye mahusiano ila hayupo akilini mwangu
 
Mkuu unapelekeshwa na kitoto Cha form four[emoji1787][emoji1787]! Vitoto vya form four vinapenda vijana barobaro. Suruali fupi na zimefungiwa na kamba za viatu
 
Back
Top Bottom