Mpenzi wako wewe alikua attracted to you/ulikua attracted kwake au ulitumia logic kumpata???
Hujui kama experiences zinawafanya watu wanakua insecured, na sio wanawake tu hadi wanaume???
Mke kama utamchukulia kama ndugu mapenzi yatakua na furaha sana, sio kama unamchukulia kama adui,mtu ambae hawezi kuwa trusted, ndio principle ya mahusiano ya furaha...
Kama unataka ndoa iwe kama formality tu kuwa ni ndoa basi ishi na mtu haumtrust,
Kuna tofauti kubwa kuishi na mtu kwa mazoea/formality na mahusiano ya furaha...
I dont believe utakua na mahusiano ya furaha kama unaishi na mtu haumtrust, utaishi kimazoea tu...
If this is what you want thats fine