Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,845
- Thread starter
- #41
wanashupaza shingoMkuu umenena kweli tupu.
Tatizo Binadamu ni wabishi tu wa makusudi

wanashupaza shingoMkuu umenena kweli tupu.
Tatizo Binadamu ni wabishi tu wa makusudi

Jaribu kuwaulizaNa hawa wahuni wa buguruni walisoma boarding ya wapi?
Mmmm kila kheri ....Siko hapa kukupangia namna ya kuishi na familia yako, ila naomba nikushauri kitu;
kumpeleka mwanao akaishi bweni kwanza ni ulimbukeni, kama mtoto ana akili, hata akisoma day atafaulu tu.
wapo wanaosoma wakiwa boarding awali mpaka form4.. na bado wanafeli!
hasara kubwa anayoipata mtoto ni kukosa malezi ya wazazi. Mtu aliesoma katika mazingira hayo, hata ukubwani utamjua tu!
sasahivi tuna vijana mpaka wazee wa hovyo sana lakini cha ajabu ni wasomi (walikosa malezi ya wazazi)
tunawapa wanawake lawama za kila rangi kumbe sio wao bali "walikosa malezi bora ya wazazi": binti wa for4 & std7 alielelewa na wazazi ni bora (anaweza kuwa mke bora) kuliko degree holder aliekulia boarding kipindi chote cha makuzi yake
kuna msemo huu:- "asiyefunzwa na wazazi dunia itamfunza"
umekosa nini mpaka mwanao ukamkabidhi mikononi mwa walimwengu wamfunze?
Kaa karibu na mwanao kwa faida yake, huko mbele kuna hatari.
NB. Nazungumzia watoto under18
nafuu uende huko kuanzia form5jaribu kuwauliza

Tumia akili mama jTafuta mkwanja mkuu. Maneno yote hayo tushatambua huna hela ya kumsomesha Mtoto bodng
Kama yapi? Apate idadi ya A Kati ya 3 mpaka 7 O level.mtoto anaweza kufaulu shule yoyote ukimjengea mazingira mazuri ya kufaulu anafaulu
Siko hapa kukupangia namna ya kuishi na familia yako, ila naomba nikushauri kitu;
kumpeleka mwanao akaishi bweni kwanza ni ulimbukeni, kama mtoto ana akili, hata akisoma day atafaulu tu.
wapo wanaosoma wakiwa boarding awali mpaka form4.. na bado wanafeli!
hasara kubwa anayoipata mtoto ni kukosa malezi ya wazazi. Mtu aliesoma katika mazingira hayo, hata ukubwani utamjua tu!
sasahivi tuna vijana mpaka wazee wa hovyo sana lakini cha ajabu ni wasomi (walikosa malezi ya wazazi)
tunawapa wanawake lawama za kila rangi kumbe sio wao bali "walikosa malezi bora ya wazazi": binti wa for4 & std7 alielelewa na wazazi ni bora (anaweza kuwa mke bora) kuliko degree holder aliekulia boarding kipindi chote cha makuzi yake
kuna msemo huu:- "asiyefunzwa na wazazi dunia itamfunza"
umekosa nini mpaka mwanao ukamkabidhi mikononi mwa walimwengu wamfunze?
Kaa karibu na mwanao kwa faida yake, huko mbele kuna hatari.
NB. Nazungumzia watoto under18
hili nitalifanyia kaziNajivunia kusomea boarding school tena boys tu nikiwa na miaka 14. Hakika nimemiss hekaheka za kutufunza na kutupa malezi yaliyojazia yale ya wazazi. Hakika Popote ulipo Mwalimu Laban Kansimba na timu yako ya Nyakato Sec ya bukoba kongole sana. Ukimpeleka mtoto shule ya boarding kwa mentality ya kuiga ujinga na kufuata mkumbo hakika atauiga kweli. Boarding haina shida shida ni wewe mzazi na huyo mwanao
tatizo watu wanafikiri matumizi sahh ya pesa ni kupeleka mtoto kwenye shule za gharama tuTafuta mkwanja mkuu. Maneno yote hayo tushatambua huna hela ya kumsomesha Mtoto bodng
unahitaji ukombozi wa fikraNarudia kusema hivi "Ukimpeleka mtoto shule ya boarding kwa mentality ya kuiga ujinga na kufuata mkumbo hakika atauiga kweli. Boarding haina shida shida ni wewe mzazi na huyo mwanao"
watu wanajifanya hawaelewi kipindi!Kumpeleka mtoto boding shule za msingi ni mbinu ya wazazi kukwepa majukumu ya malezi kwa mtoto. Umri huu (miaka 0-14) mtoto anapaswa kuwa chini ya uangalizi wa wazazi na si mtu mwingine. Kwa level ya sekondari mtoto kukaa bweni si vibaya
Shule za boarding zimekuwepo kitambo sana. Kama babu zetu na wazazi wamesomea huko na hawakuwahi kuwa wasagaji wala mashoga iweje wewe mjukuu na kitukuu chao uwe msagaji au shoga kisa umepelekwa boarding?? Ukiona hivyo wewe na kizazi chako mtakuwa na shida sehemu
mbona umechachamaa?Wamefundishwa na xxxxNa wanaofanya masturbation na hawajasoma boarding wamefundishwa na nan
mtoto wa kike anamaliza form 4 hajuwi kupika hata mchichaCha kushangaza shule nyingi zinalazmisha watoto wawe boarding
Mtoto anatoka shule na matabia ya ovyo hajui hata kusalimia kiujmla wanatoka shule hawajui chochote kuhusu jamii

Hahahah kijana wa nyakato mama kwa Kansimba (Nimepita pale high school),nilikua Ruhinda.....Sijawahi juta kusoma bweniNajivunia kusomea boarding school tena boys tu nikiwa na miaka 14. Hakika nimemiss hekaheka za kutufunza na kutupa malezi yaliyojazia yale ya wazazi. Hakika Popote ulipo Mwalimu Laban Kansimba na timu yako ya Nyakato Sec ya bukoba kongole sana. Ukimpeleka mtoto shule ya boarding kwa mentality ya kuiga ujinga na kufuata mkumbo hakika atauiga kweli. Boarding haina shida shida ni wewe mzazi na huyo mwanao