ZE NDINDINDI
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 1,885
- 4,013
Baada ya Serikali ya wanyonge kupewa makavu na bwana Dangote huko London kwenye mkutano wa wawekezaji kuhusu Africa,wana lumumba walikuja juu na kusema kama vipi aende zake tu tuna matajiri wa kutosha,nataka niwaambie kitu kimoja.
Investement ya kiwanda kimoja tu cha Dangote cement cha Mtwara ni sawa na utajiri wooooote wa Reginald Mengi,kiwanda kile kime cost 620 usd millions na utajiri wa Mengi mwaka 2014 according to forbes was 560 usd millions wakati huo akishika nafasi ya 45 Africa
Reginald Mengi
Bakhressa yeye ni 600 usd millions
Currently, his net worth is $600 million according to Forbes 50 Richest (Africa).
Said Salim Bakhresa - Wikipedia
Said Salim Bakhresa - Wikipedia
Kuweni na heshima wana lumumba acheni dharau za kijinga
Investement ya kiwanda kimoja tu cha Dangote cement cha Mtwara ni sawa na utajiri wooooote wa Reginald Mengi,kiwanda kile kime cost 620 usd millions na utajiri wa Mengi mwaka 2014 according to forbes was 560 usd millions wakati huo akishika nafasi ya 45 Africa
Reginald Mengi
Bakhressa yeye ni 600 usd millions
Currently, his net worth is $600 million according to Forbes 50 Richest (Africa).
Said Salim Bakhresa - Wikipedia
Said Salim Bakhresa - Wikipedia
Kuweni na heshima wana lumumba acheni dharau za kijinga