Umasikini wa Afrika, Je tumelogwa?. Licha ya Kuongoza kwa Utajiri, Tuna Bilionea 1 tu kwenye Top Hundred Mabilionea wa Dunia. Ni Aliko Dangote Pekee!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,494
113,590
Wananodi
Hii ni mada ya political economy ya siasa za uchumi wa dunia, siasa za utajiri wa dunia hii. Masikini bara letu la Africa, licha ya kuongoza kwa utajiri wa natural resources, sijui tumelogwa au nini?!, maana tuna Bilionea 1 tuu kwenye Top Hundred list ya mabilionea wa Dunia ambaye, ni Aliko Dangote Pekee!.

Kwenye list ya mabilionea 500 wa Dunia, kuna jumla ya mabilionea 6 tuu kutoka bara lote la Africa!. Tanzania hatumo!, hii maana yake, hawa mabilionea wetu wa Kitanzania ni mabilionea tuu ki Bongo Bongo, lakini ki Africa na kidunia, sio mabilionea lolote, chochote, ni vi bilionea tuu!.

Hii maana yake, utajiri mkubwa wa madini, mafuta na maliasili za bara la Africa, unavunwa na kuwanufaisha wengine na kuwa mabilionea kwa rasilimali zetu!.

Mfano Tanzania ndio nchi pekee inayozalisha madini ya Tanzanite, yenye thamani kubwa, tukitaraji tuwe na bilionea wa Tanzania kwenye list, lakini waliopo kwenye list ni mwekezaji wa Tanzanite One, wako kwenye list ya mabilionea 6 wa Africa, kwenye list ya mabilionea 500 wa dunia kwa kutumia utajiri wa Tanzanite zetu!.

Tanzania tunazalisha madini ya almasi yenye thamani kubwa, kwenye list mabilionea 6 wa Africa ndani ya list ya mabilionea 500 wa dunia, aliyepo ni tajiri wa DeBears, ambaye ameingia kwenye list hiyo kwa utajiri wa alimasi zetu ni sehemu ya utajiri wake.

Sasa tumegundua gesi asili, ni kitu cha thamani sana kama mafuta. Kati ya makampuni 23 yenye mikataba ya kuchimba gesi asili, PSA's, hakuna hata kampuni moja ya Kitanzania, hivyo gesi itakapoanza kuvunwa, itatengeneza tena mabilionea kadhaa wa Dunia wanaopata utajiri kwa maliasili zetu, huku sisi wenyewe na vibilionea vyetu vya madafu tukiangalia na kung'ang'aa tuu macho!.

Idadi ya watu wote Africa, inalingana na China, ila kwenye list hiyo, ya mabilionea 100 wa dunia, wakati sisi Africa, tuna bilionea mmoja tuu, Aliko Dangote, kwenye top hundred, China, wao wana mabilionea 44!, ndani ya top 100!.

Kwenye hiyo top 500 ya mabilionea wa Dunia, mabilionea wengine wa Africa ni Mike Adenuga anayemiliki kampuni kubwa ya mobile phone Nigeria, kuna jamaa 3 wa South Africa, mmiliki wa De Beers, Nicky Oppenheimer, tycoon Johann Rupert na mogul Natie Kirsh, list ya mabilionea 6 wa Africa inahitimishwa na ndugu wawili wa Misri, Nassef na Naguib Sawiris. wenye visima vya mafuta.

Tajiri mkubwa kabisa Duniani kwa sasa ni Jeff Bezos, mwenye Dola Billion 136 tuu, amempita hata Bill Gates hivyo just imagine sisi Tanzania tungeamua, zile dola bilioni 191 zetu tunazowadai Acacia, tuziweke kwenye account ya rais Magufuli, Mo Dewji, Reginald Mengi, Ali Mfuruki and the likes, hivyo kwa fedha hiyo, Mtanzania ndiye angekuwa Bilionea numberi 1 Duniani. Appearance tuu ya jina la Mtanzania, Kuongoza list ya mabilionea wa Dunia, limelight yake tuu, watalii wangemiminika Tanzania, wawekezaji wakubwa, wangemwaga ma FDI ya kutosha.

Hebu angalia hapa top ten ya mabilionea wa Dunia, na uangalie vijihela vyao, ulinganishe na ile Bilioni 191 yetu uone tungekuwa wapi!.

1. Jeff Bezos $136B
2. Bill Gates $98.5B
3. Warren Buffett $83.1B
4. Bernard Arnault $80.8B
5. Amancio Ortega $66.6B
6. Mark Zuckerberg $64.2B
7. Carlos Slim $57.0B
8. Larry Ellison $56.2B
9. Larry Page $54.9B
10. Sergey Brin $53.5B

Jee sisi bara la Africa tumemkosea nini Mungu hadi kutufanya hivi?. Bara letu ndilo lenye rasilimali nyingi, lakini ndilo bara linaloongoza kwa umaskini wa kutupa uliotopea!. Jee tuna tatizo gani au tumelogwa?Mungu Ibariki Africa
na sisi tuwepo.

Paskali

NEWS RELEASE

Nigeria’s Dangote Tops a Very Short List of African Billionaires (By Devon Pendleton and Tom Metcalf)

There are just six Africans on the ranking of the world’s 500 richest people

NEW YORK, United States of America, February 28, 2019/ -- By Devon Pendleton and Tom Metcalf

Aliko Dangote’s (Bloomberg - Are you a robot?) $17 billion net worth makes the Nigerian the richest person in Africa and the only member of the Bloomberg Billionaires Index (Bloomberg - Are you a robot?) from one of the 60 poorest countries.

About half of Nigeria’s 190.9 million citizens subside on less than $1.90 a day, giving it a Gini coefficient (a measure of wealth distribution) of 48.8, compared with 41.5 for the U.S. and 29.2 for Sweden.

Dangote, 61, is among just a few Nigerian billionaires, most of whom accrued their wealth by coming into possession of lucrative oil blocks or, in the case of telecom magnate Mike Adenuga (Bloomberg - Are you a robot?), providing services to a fast-growing population. Adenuga, the nation’s second-richest person, owns mobile phone network Globacom Ltd., with 45 million subscribers. He’s worth $2.8 billion, according to the Bloomberg wealth index.

South Africa is the only other country in the sub-Saharan part of the continent with any representatives on the Bloomberg wealth ranking. Its three wealthiest citizens -- De Beers heir Nicky Oppenheimer, luxury tycoon Johann Rupert and property and wholesaling mogul Natie Kirsh -- are worth about $20 billion combined. All three have extensive holdings outside Africa.

There are just six Africans on the ranking of the world’s 500 richest people, including Egyptian brothers Nassef and Naguib Sawiris. By comparison, China, with a population that rivals Africa’s, has 44.

And though Dangote’s $17 billion fortune is a startling figure in such a poor country, his wealth in proportion to the size of Nigeria’s economy is on par with or even lower than the richest citizens of more developed countries.
Source: APO
 
Mkuu pascal, mfumo wa kiuchumi wa dunia ,sisi tunamilikiwa,kwa maana ya watu na maliasili ni za wakubwa wa dunia kimfumo,sisi ni wafanyakazi tu,serikali wanazoziweka madarakani ni kwa ajili ya kuwatumikia wao.

Wakati ule bado afrika ni giza, jamaa walikwisha jipatia hati miliki za mali zote duniani ,kua ni zao,ukijaribu kama kina Gadaffi utauliwa kwenye makalavati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hii kasi tuliyo nayo, tutegemee kuzalisha maskini wa kutisha, maana watu wamekata tamaa. People are currently working for subsistence only. Uchumi utainukaje? Ukifanya kazi kwa bidii either unyang'anywe, upigwe kodi ya kutisha na uitwe fisadi.

Afadhali kulima mahindi sado zako mbili unywe uji na wanao siku zisonge mbele.
 
Tulivyo leo ni matokeo ya tulivyo waza na kufanya maamuzi siku za nyuma. Tunavyowaza leo na kufanya maamuzi ni matokeo ya maisha yetu siku zijazo. Binadamu chochote alichonacho alivyo ni matokeo ya mawazo yake hakuna binadamu anakuja na utajiri ila anaukuta duniani na uwezo wake ndio unamsaidia kuuchukuwa na kuumiliki kutoka katika utele uliopo katika asili ya dunia na kuubadili na kuufanya wa thamani. Madini ni sehemu ya udongo na mawe ambayo ni asili ya dunia sio asili ya binadamu ila binadamu baada ya kuwaza/kufikiri anaupa udongo na baadhi ya mawe thamani tunaita madini, ndivyo mawazo yanaweza kubadili vitu na kuvipa thamani. Kwa ufupi sana hoja yangu sisi waafrika tatizo letu kubwa lipo kwenye kufikiri vizuri na mtoto anapozaliwa anakuwa na akili lkn isiyo na maarifa ya kuishi duniani ambayo anatakiwa kujifunza kwa watu aliowakuta ili atakapokuwa na uwezo wa kutumia akili na yeye ataweza kujiongeza kutokana na changamaoto za wakati huo na kuwa mbunifu kwa kuwaza vizuri zaidi kuliko waliotangalia ndio inaitwa maendeleo na kuwa na utajiri zaidi tuna tatizo kubwa la kujenga uwezo wa kufikiri vizuri na uwezo wa kurithisha ufahamu sahihi inawezekana kabisa msingi wa elimu yetu haupo sawa kama kweli tunataka kutatua tatizo katika chanzo chake twendeni tukaangalie vizuri katika msingi unaojenga fikra ndipo kwenye tatizo tunalishwa matango pori toka utotoni tatizo kubwa ni la kihistoria
 
Wananodi
Hii ni mada ya political economy ya siasa za Uchumi wa Dunia, Siasa za Utajiri wa Dunia hii, Masikini Bara Letu la Africa, Licha ya Kuongoza kwa Utajiri wa Natural Resources, sijui Tumelogwa au nini, maana tuna Bilionea 1 tuu kwenye Top Hundred ya list ya mabilionea wa Dunia ambaye, ni Aliko Dangote Pekee!.
Kwenye list ya mabilionea 500,000 wa Dunia, kuna jumla ya mabilionea 6 tuu kutoka bara lote la Africa.
Tanzania hatumo.

Hii maana yake, Utajiri mkubwa wa madini, matuta na maliasili za bara la Africa, unavunwa na kuwanufaisha wengine.

Mfano Tanzania ndio nchi pekee inayozalisha madini ya Tanzanite, yenye thamani kubwa, tukitaraji tuwe na bilionea wa Tanzania kwenye list, lakini waliopo kwenye list ni mwekezaji wa Tanzanite One.

Tanzania tunazalisha madini ya almasi yenye thamani kubwa, kwenye list aliyepo ni tajiri wa DeBears, ambazo alimasi zetu ni sehemu ya utajiri wake.

Sasa tumegundua gesi asili, ni kitu cha thamani sana kama mafuta. Kati ya makampuni 23 yenye mikataba ya kuchimba gesi asili, PSA's, hakuna hata Kampuni moja ya Kitanzania, hivyo gesi itakapoanza kuvunwa, itatengeneza tena mabilionea kadhaa wa Dunia wanaopata utajiri kwa maliasili zetu, huku sisi wenyewe na vibilionea vyetu vya madafu tukiangalia na kunganga macho tuu, jee bara la Africa tumemkosea nini Mungu hadi kutufanya hivi?. Tuna tatizo gani au tumelogwa?!

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Africa
na sisi tuwepo.

Paskali

NEWS RELEASE

Nigeria’s Dangote Tops a Very Short List of African Billionaires (By Devon Pendleton and Tom Metcalf)

There are just six Africans on the ranking of the world’s 500 richest people

NEW YORK, United States of America, February 28, 2019/ -- By Devon Pendleton and Tom Metcalf

Aliko Dangote’s (Bloomberg - Are you a robot?) $17 billion net worth makes the Nigerian the richest person in Africa and the only member of the Bloomberg Billionaires Index (Bloomberg - Are you a robot?) from one of the 60 poorest countries.

About half of Nigeria’s 190.9 million citizens subside on less than $1.90 a day, giving it a Gini coefficient (a measure of wealth distribution) of 48.8, compared with 41.5 for the U.S. and 29.2 for Sweden.

Dangote, 61, is among just a few Nigerian billionaires, most of whom accrued their wealth by coming into possession of lucrative oil blocks or, in the case of telecom magnate Mike Adenuga (Bloomberg - Are you a robot?), providing services to a fast-growing population. Adenuga, the nation’s second-richest person, owns mobile phone network Globacom Ltd., with 45 million subscribers. He’s worth $2.8 billion, according to the Bloomberg wealth index.

South Africa is the only other country in the sub-Saharan part of the continent with any representatives on the Bloomberg wealth ranking. Its three wealthiest citizens -- De Beers heir Nicky Oppenheimer, luxury tycoon Johann Rupert and property and wholesaling mogul Natie Kirsh -- are worth about $20 billion combined. All three have extensive holdings outside Africa.

There are just six Africans on the ranking of the world’s 500 richest people, including Egyptian brothers Nassef and Naguib Sawiris. By comparison, China, with a population that rivals Africa’s, has 44.

And though Dangote’s $17 billion fortune is a startling figure in such a poor country, his wealth in proportion to the size of Nigeria’s economy is on par with or even lower than the richest citizens of more developed countries.
Pascal huwa mnapotosha sana kwenye utajili wa madini na mafuta.
Kwanza naomba nikufahamishe haya.


1. Sheria ya madini na mafuta siyo Tanzania tu bali Ni duniani kote inamupa haki ya umiliki aliyekata kibali cha kitalu kwa maana hii anayekata leseni kisha kutafiki nakupata ndiyo mmiliki wa Mali hiyo. Mfano kwenye sheria ya gesi na mafuta inaeleza kuwa yeyote akija kuomba leseni apewe lakini analazimishwa 40% kama sijakosea itakuwa ya serikali but not free carried isipokuwa serikali nayo itatoa garama za utafiti. Cha ajabu macompany yote yaliyofanya utafiti serikali haikutoa hata tsh100/. Hivyo hata data za utafiti huwa hawapewi. Ndiyo maana magufuli kaamua kujenga umeme wa maji tu kwa maana kwenye gas na mafuta hakuna chake.

2. Pascal utafiti unahitaji garama kubwa ya pesa. Tunapotaka kulaumu tujiulize kwa nini sisi tunashindwa kutafiti na kuchimba?. Kwa mfano serikali INA migodi ya makaa ya mawe, gold na chuma lakini imeshindwa kuchimba why?. Kwa kifupi hatujielewi na uchumi harisia hauhitaji unafiki tu, kama tunahitaji utajili tunapswa kutumia professional na pesa siyo blabla.

3.pascal makampuni yote ya madini na mafuta yanauza hisa very openly hata Leo tukitaka kuinunua acacia tunainunua au tanzanite one tunainunua, tatizo hata kama tukipewa bure I swear vitakufa, jiulize mgodi wa biharamlo kwa nini stamico wameshindwa kuuendesha?, mgodi huu tuliachiwa na barrrick.

Hautuwezi kujiongaza ndiyo maana sisi Ni masikini. Nafikiri mkoloni angekuwa bado yupo tungekuwa mbali sana sasa hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utakuaje bilionea wakati dereva tunamuogopa kwa mfano?
IMG_20190228_164746.jpg
 
mkuu hivi ni kweli Afrika tunaongoza kwa utajiri wa maliasili au ni propaganda tunazofundishwa tu ili kutiana moyo katika umasikini wetu??
Na pengine tunazidi kuwa masikini kwasababu tunabweteka tukiamini sisi ni 'matajiri' hivyo tunastahili kupata vitu kwa mteremko (kuwapora mabeberu) wakati kiuhalisia maliasili zetu ni kama wengine tu.
 
Wananodi
Hii ni mada ya political economy ya siasa za Uchumi wa Dunia, Siasa za Utajiri wa Dunia hii, Masikini Bara Letu la Africa, Licha ya Kuongoza kwa Utajiri wa Natural Resources, sijui Tumelogwa au nini, maana tuna Bilionea 1 tuu kwenye Top Hundred ya list ya mabilionea wa Dunia ambaye, ni Aliko Dangote Pekee!.
Kwenye list ya mabilionea 500,000 wa Dunia, kuna jumla ya mabilionea 6 tuu kutoka bara lote la Africa.
Tanzania hatumo.

Hii maana yake, Utajiri mkubwa wa madini, matuta na maliasili za bara la Africa, unavunwa na kuwanufaisha wengine.

Mfano Tanzania ndio nchi pekee inayozalisha madini ya Tanzanite, yenye thamani kubwa, tukitaraji tuwe na bilionea wa Tanzania kwenye list, lakini waliopo kwenye list ni mwekezaji wa Tanzanite One.

Tanzania tunazalisha madini ya almasi yenye thamani kubwa, kwenye list aliyepo ni tajiri wa DeBears, ambazo alimasi zetu ni sehemu ya utajiri wake.

Sasa tumegundua gesi asili, ni kitu cha thamani sana kama mafuta. Kati ya makampuni 23 yenye mikataba ya kuchimba gesi asili, PSA's, hakuna hata Kampuni moja ya Kitanzania, hivyo gesi itakapoanza kuvunwa, itatengeneza tena mabilionea kadhaa wa Dunia wanaopata utajiri kwa maliasili zetu, huku sisi wenyewe na vibilionea vyetu vya madafu tukiangalia na kunganga macho tuu, jee bara la Africa tumemkosea nini Mungu hadi kutufanya hivi?. Tuna tatizo gani au tumelogwa?!

Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Africa
na sisi tuwepo.

Paskali

NEWS RELEASE

Nigeria’s Dangote Tops a Very Short List of African Billionaires (By Devon Pendleton and Tom Metcalf)

There are just six Africans on the ranking of the world’s 500 richest people

NEW YORK, United States of America, February 28, 2019/ -- By Devon Pendleton and Tom Metcalf

Aliko Dangote’s (Bloomberg - Are you a robot?) $17 billion net worth makes the Nigerian the richest person in Africa and the only member of the Bloomberg Billionaires Index (Bloomberg - Are you a robot?) from one of the 60 poorest countries.

About half of Nigeria’s 190.9 million citizens subside on less than $1.90 a day, giving it a Gini coefficient (a measure of wealth distribution) of 48.8, compared with 41.5 for the U.S. and 29.2 for Sweden.

Dangote, 61, is among just a few Nigerian billionaires, most of whom accrued their wealth by coming into possession of lucrative oil blocks or, in the case of telecom magnate Mike Adenuga (Bloomberg - Are you a robot?), providing services to a fast-growing population. Adenuga, the nation’s second-richest person, owns mobile phone network Globacom Ltd., with 45 million subscribers. He’s worth $2.8 billion, according to the Bloomberg wealth index.

South Africa is the only other country in the sub-Saharan part of the continent with any representatives on the Bloomberg wealth ranking. Its three wealthiest citizens -- De Beers heir Nicky Oppenheimer, luxury tycoon Johann Rupert and property and wholesaling mogul Natie Kirsh -- are worth about $20 billion combined. All three have extensive holdings outside Africa.

There are just six Africans on the ranking of the world’s 500 richest people, including Egyptian brothers Nassef and Naguib Sawiris. By comparison, China, with a population that rivals Africa’s, has 44.

And though Dangote’s $17 billion fortune is a startling figure in such a poor country, his wealth in proportion to the size of Nigeria’s economy is on par with or even lower than the richest citizens of more developed countries.
Sasa ndugu yangu Mayala tutakuaje na mabilionea Africa wakati sisi serikali zetu zinachukia matajiri? Imefikia hata kugombea urais sifa mojawapo ni uwe masikini ukiwa tajiri unaambiwa wewe hufai ni fisadi. Katika social mentality hii tutakuaje na mabilionea wengi? Mao aliwahi kusema “leaders should give to the people systematically of what they receive from them confusedly” sasa serikali zetu za africa nyingi they give to the people confusedly what they receive from them in a systematic way. Sisi tumewajengea wananchi wetu perception kuwa matajiri ni wezi sasa wananchi wanawachukia matajiri kupita kiasi, babu alituonya huko nyuma kuwa even socialism does not mean sharing our poverty,we can use the few capitalist to create jobs and the wealth of our nations will expand. Lakini waafrika wengi wanafurahia in the spirit of sharing poverty na kufurahia matajiri wanaposumbuliwa ati wataheshimiana mtaani. Tungeweza zakisha manilionea wengi umasikini ungepungua maana wangetoa ajira kwa vijana wengi na standards of living could improve. Africa sio tajiri kama tunavyodhani maana the wealth of a nation nowadays is counted for a stock of human capital it has and not for natural resources. Tukiendelea kujidanganya tutabaki kuwa bara masikini hadi mwisho wa dunia utakapofika “kama mwisho wa dunia kweli upo” waafrika tuamke kila mmoja auchukie umasikini badala ya kuutukuza.
 
Utajiri bwana Paschal unaambatana na unyonyaji. Lazima ummonye mtu kiasi kwamba akianza kujistukia unampa chakula basi unapumbaza akili yake. Ni kama una ng'ombe lakini unataka umkamue na atoe maziwa mengi inversely proportional na chakula ndio dunia inavyotaka.

Dangote alishawahi kusema kuhonga pesa nayo ni biashara Africa unapata kile unachokitaka. Ni sawa sawa una mtoto mzuri unamtaka sasa utampa hichi utampa kile ili aingie kwenye mikono yako na ukishapata unachokitaka unaachana naye au ni sawa na samaki akiwa majini anapewa chambo ila akishavuliwa basi habari yake ndo imeishia hapo.

Tatizo la waafrica ni viongozi wetu tulionao. Mwalim wangu mmoja alishawahi niambia kama hujui unapoenda huwezi potea njia. Alinipa mfano wa waarab. Waarab walikuwa katika kutafura maji ila kwa bahati walipofika pale Zam zam(waislam wanaelewa) mahali ambapo babu yao Ishamail wakati alipolia kwa kiu na mama yake kumuweka chini ya mti wa mtende Mungu alisikia sauti yake ile sehemu ikatoa maji. Sasa coincident hawa waarab kwenye kutafuta maji wakafika lile eneo wakaanzisha maisha yao.

Tukirudi nyuma kwenye kipindi dunia ilipokuwa inapita kwenye Mediaval period tulikuwa sawa kote duniani. Kipindi kile alipozaliwa Michaelangelo na Da Vinci na kuja na mambo yao ndipo dunia ikaziluwa upya tukaingia kwenye Rainnecence(sijui ndo inaandikwa hivyo) pale Florence, Italia tuliona dunia ikibadilika haraka na kuingia kwenye zama mpya. Baadaye kidogo dunia ikaingia kwenye Science, discovery ya kina Columbus, Ukoloni mpaka kipindi cha Technolojia.

Kipindi pale kwenye technolojia ndipo mambo ya ajabu yalipoanza. Mwaka 1971 wakati wa president Nickson ndo mambo yalipoanza. Nickson sera yake ilikuwa kwamba ai-devalue dollar yake dhidi ya dola. Maana dola 8 ilikuwa ni kama ounce moja ya dhahabu. Sasa baada ya sera yake dola ikashuka dhamani mara dufu. Watu wakaanza kuwekeza kwenye dhahabu maana dhahabu na dola ilikuwa na dhamani sawa. Ndipo hapo ikazaliwa technology plus services watu wakaachana na dollar wakaingia kwenye bidhaa maana kipindi kile wa vita baridi nia ilikuwa ni kumuumiza Mrusi. Na kweli watu wakaachana na dhahabu wakawekeza kwenye mali. Kwa kuwa dola ilikuwa imeshuka dhamani wakawekeza kwenye mali na bidhaa. Ndio tunayo mpaka leo.

Tatizo letu sisi hatutaki kubadilika Africa tunashindwa kutengeneza mikakati maana dunia ya leo tuko kwenye vita maana hakuna mtu anataka kubaki nyuma kila mtu anataka kuwa bora na au uungane na mmoja wapo mwenye nguvu au upotee. Sisi tulichagua kuingia kwenye Non align Movement. Leo tena tunajitenga na hao wenye nguvu eti tunawaita mabeberu. China walitumia fursa vizuri kipindi cha vita baridi inaisha china alikuwa teyari keshajiimarisha.

Nini kifanyike, 1. Tubadilike kutokana na dunia inavyotaka. Haya maswala ya LGBT sio maswala ya propaganda tuachane nayo.

2. Lazima tukubali tuko kwenye vita sasa ni dhidi ya intellectual wetu wapange mikakati y miaka 50 ijayo sio apange Rais. Tukumbuke ukitaka kwenda mbali nenda na mwenzako. Inabidi kila mtu ahusike tuweze kujitoa isiwe gari limekwama alafu kuna mtu anajifanya anajua na nguvu la kulisukuma kumbe hana.

3. Watawala waache kuingia kwenye mambo ya biashara maana biashara hawa wazungu wameziweza kuweka mnyororo wa dhamani. Ukiingilia kwenye kipengele kimoja aidha kwa chuki au kukomesha basi unaua kila kitu. Mwili wa bianadamu unafanya kazi hakuna kiungo kinachosema mimi sio wa muhimu mfano tako likigoma kutoa mavi mwili wote unakuwa useless na lazima ulazwe. Ruge ameugua Figo mwili wote ukalala kwenye deathbed.

Niishie hapa kwanza..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulivyo leo ni matokeo ya tulivyo waza na kufanya maamuzi siku za nyuma. Tunavyowaza leo na kufanya maamuzi ni matokeo ya maisha yetu siku zijazo. Binadamu chochote alichonacho alivyo ni matokeo ya mawazo yake hakuna binadamu anakuja na utajiri ila anaukuta duniani na uwezo wake ndio unamsaidia kuuchukuwa na kuumiliki kutoka katika utele uliopo katika asili ya dunia na kuubadili na kuufanya wa thamani. Madini ni sehemu ya udongo na mawe ambayo ni asili ya dunia sio asili ya binadamu ila binadamu baada ya kuwaza/kufikiri anaupa udongo na baadhi ya mawe thamani tunaita madini, ndivyo mawazo yanaweza kubadili vitu na kuvipa thamani. Kwa ufupi sana hoja yangu sisi waafrika tatizo letu kubwa lipo kwenye kufikiri vizuri na mtoto anapozaliwa anakuwa na akili lkn isiyo na maarifa ya kuishi duniani ambayo anatakiwa kujifunza kwa watu aliowakuta ili atakapokuwa na uwezo wa kutumia akili na yeye ataweza kujiongeza kutokana na changamaoto za wakati huo na kuwa mbunifu kwa kuwaza vizuri zaidi kuliko waliotangalia ndio inaitwa maendeleo na kuwa na utajiri zaidi tuna tatizo kubwa la kujenga uwezo wa kufikiri vizuri na uwezo wa kurithisha ufahamu sahihi inawezekana kabisa msingi wa elimu yetu haupo sawa kama kweli tunataka kutatua tatizo katika chanzo chake twendeni tukaangalie vizuri katika msingi unaojenga fikra ndipo kwenye tatizo tunalishwa matango pori toka utotoni tatizo kubwa ni la kihistoria
Ni kweri ila naomba nitofautiane nawe kidogo kwenye swala la elimu, mfumo wa elimu yetu hauna makosa maana unaweza soma hapa degree au form six kisha ukaenda ulaya au USA , china na kuendelea na elimu wala hautapata shida na masomo kwa maana kun connection ya tunachosoma na wanachosoma. Ze issue hapa ni kwa nini tunaenda shure?. Hapa ndiyo tunapoteana, we are very lagging behind about baada ya elimu what next, changamoto kubwa tunaufinyu wa mazingira ya kutumia elimu yetu tofauti na ajira. We need entrepreneurs to conquer our education, especially industrial revolution. Mimi hapa ni mhitimu Udsm toka 2013 hata cheti changu cha kuhitimu sijaenda kukichukua but nipo na survive, the issue here kila jambo unalofanya hakuna mfumo wowote utakusaidia sector zote madini, kilimo ,IT etc.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pascal mfumo wa kiuchumi wa dunia sisi tunamilikiwa,kwa maana ya watu na maliasili ni za wakubwa wa dunia kimfumo,sisi ni wafanyakazi tu,serikali wanazoziweka madarakani ni kwa ajili ya kuwatumikia wao.
Wakati ule bado afrika ni giza jamaa walikwisha jipatia hati miliki za mali zote duniani kua ni zao,ukijaribu kama kina Gadaffi utauliwa kwenye makalavati

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kweri. Soko la gold MTU yeyote unaweza kupeleka, hivyo hivyo na madini mengine, pia technology yote ya utafiti na kuchimba inapatikana kwa yeyote mwenye pesa. Sasa hapa tatizo liko wapi?. Sema sisi ni mbumbu tunapenda vya bure tu. Tunawalaumu bure wazungu, Africans tunamatatizo sana ila tunakimbilia kulialia kuoneshwa tunaonewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wananodi
Hii ni mada ya political economy ya siasa za Uchumi wa Dunia, Siasa za Utajiri wa Dunia hii, Masikini Bara Letu la Africa, Licha ya Kuongoza kwa Utajiri wa Natural Resources, sijui Tumelogwa au nini, maana tuna Bilionea 1 tuu kwenye Top Hundred ya list ya mabilionea wa Dunia ambaye, ni Aliko Dangote Pekee!.
Kwenye list ya mabilionea 500,000 wa Dunia, kuna jumla ya mabilionea 6 tuu kutoka bara lote la Africa.
Tanzania hatumo.

Hii maana yake, Utajiri mkubwa wa madini, matuta na maliasili za bara la Africa, unavunwa na kuwanufaisha wengine.

Mfano Tanzania ndio nchi pekee inayozalisha madini ya Tanzanite, yenye thamani kubwa, tukitaraji tuwe na bilionea wa Tanzania kwenye list, lakini waliopo kwenye list ni mwekezaji wa Tanzanite One.

Tanzania tunazalisha madini ya almasi yenye thamani kubwa, kwenye list aliyepo ni tajiri wa DeBears, ambazo alimasi zetu ni sehemu ya utajiri wake.

Sasa tumegundua gesi asili, ni kitu cha thamani sana kama mafuta. Kati ya makampuni 23 yenye mikataba ya kuchimba gesi asili, PSA's, hakuna hata Kampuni moja ya Kitanzania, hivyo gesi itakapoanza kuvunwa, itatengeneza tena mabilionea kadhaa wa Dunia wanaopata utajiri kwa maliasili zetu, huku sisi wenyewe na vibilionea vyetu vya madafu tukiangalia na kunganga tuu macho!.

Idadi ya watu wote Africa, inalingana na China, ila kwenye list hiyo, wakati sisi Africa, Bilionea mmoja tuu kwenye top hundred, China, wao wana mabilionea 44!.

Kwenye hiyo top 500 ya mabilionea wa Dunia, mabilionea wengine wa Africa ni Mike Adenuga anayemiliki kampuni kubwa ya mobile phone Nigeria, kuna jamaa 3 wa South Africa, mmiliki wa De Beers, Nicky Oppenheimer, tycoon Johann Rupert na mogul Natie Kirsh, list ya mabilionea 6 wa Africa inahitimishwa na ndugu wawili wa Misri, Nassef na Naguib Sawiris. wenye visima vya mafuta.

Jee sisi bara la Africa tumemkosea nini Mungu hadi kutufanya hivi?. Bara letu ndilo lenye rasilimali nyingi, lakini ndilo bara linaloongoza kwa umaskini wa kutupa uliotopea!. Jee tuna tatizo gani au tumelogwa?Mungu Ibariki Africa
na sisi tuwepo.

Paskali

NEWS RELEASE

Nigeria’s Dangote Tops a Very Short List of African Billionaires (By Devon Pendleton and Tom Metcalf)

There are just six Africans on the ranking of the world’s 500 richest people

NEW YORK, United States of America, February 28, 2019/ -- By Devon Pendleton and Tom Metcalf

Aliko Dangote’s (Bloomberg - Are you a robot?) $17 billion net worth makes the Nigerian the richest person in Africa and the only member of the Bloomberg Billionaires Index (Bloomberg - Are you a robot?) from one of the 60 poorest countries.

About half of Nigeria’s 190.9 million citizens subside on less than $1.90 a day, giving it a Gini coefficient (a measure of wealth distribution) of 48.8, compared with 41.5 for the U.S. and 29.2 for Sweden.

Dangote, 61, is among just a few Nigerian billionaires, most of whom accrued their wealth by coming into possession of lucrative oil blocks or, in the case of telecom magnate Mike Adenuga (Bloomberg - Are you a robot?), providing services to a fast-growing population. Adenuga, the nation’s second-richest person, owns mobile phone network Globacom Ltd., with 45 million subscribers. He’s worth $2.8 billion, according to the Bloomberg wealth index.

South Africa is the only other country in the sub-Saharan part of the continent with any representatives on the Bloomberg wealth ranking. Its three wealthiest citizens -- De Beers heir Nicky Oppenheimer, luxury tycoon Johann Rupert and property and wholesaling mogul Natie Kirsh -- are worth about $20 billion combined. All three have extensive holdings outside Africa.

There are just six Africans on the ranking of the world’s 500 richest people, including Egyptian brothers Nassef and Naguib Sawiris. By comparison, China, with a population that rivals Africa’s, has 44.

And though Dangote’s $17 billion fortune is a startling figure in such a poor country, his wealth in proportion to the size of Nigeria’s economy is on par with or even lower than the richest citizens of more developed countries.
Source: APO
Utakuaje tajiri kama wana siasa wanalipa visasi kwa kunyang'anya mali wafanyabiashara?
 
mkuu hivi ni kweli Afrika tunaongoza kwa utajiri wa maliasili au ni propaganda tunazofundishwa tu ili kutiana moyo katika umasikini wetu??
Na pengine tunazidi kuwa masikini kwasababu tunabweteka tukiamini sisi ni 'matajiri' hivyo tunastahili kupata vitu kwa mteremko (kuwapora mabeberu) wakati kiuhalisia maliasili zetu ni kama wengine tu.
Hizi ni propaganda tu. Natural resources siyo kweri tunaongoza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom