Usikurupuke kuingia kwenye ndoa...

Usikurupuke kuingia kwenye ndoa...

Kweli kabisa Kaka ndoa ina majukumu mengi sana. Tena yanayoongezeka siku hadi siku. Ukishakua financial stable(simaanishi uwe tajiri sana) ie. Una uwezo kutimiza majukumu kama mume na baba wa familia ndio unaweza kuoa.

Mwanamke atakuvumilia lakn inategemeana na mtu na mtu. Mwingine ukimwambia nimefukuzwa kazi siku hiyohiyo mnalala mzungu wa nne.

So, kwenye kuoa tuliza akili bro. Na oa level zako, mwanamke mtakaefanya maisha sio sura na muonekano aisee. Sisemi wenye mionekano na sura wasiolewe lakn kama mwanaume hivyo visiwe vipaumbele vyako unapomtafuta mwanamke wa kuoa. Be kin!!
 
Usishawishike kama bado haujajipata.Tafuta kwanza pesa ya kukimu ww binafs.Ndiyo uwez kujikimu na mwenzio. ndoa nzuri tatizo watu wanakurupuka.Na hao baadaye ndio wanaosema ndoa ni mbaya.

Bro Ww haujaoa na ulisema Hautakuja kuoa.

Hauko kwenye nafas ya kushauri chochote kuhusu kuoa.

as long as unakaa Mwenyewe unajitegemea. Na una uhakika wa kula na kulipa kodi. Mwanaume unaweza ukaoa. Mengne yataongezeka mbelen
 
Nna jamaa zangu kama wawili,wake zao wote wanachapiwa,ila sababu kuu ni pesa tu, kwaiyo hili umesema kweli
Mwanamke unaweza mpa Kila kitu na bado ukachapiwa mbona wengi tu tunawaona wanaume zao wapo vzur lkn wanapigwa miti kama kawa
 
Hakuna kitu humu

Kwako na namna unavyochukulia Maisha na kuoa.

Watu wako kijijin huko, wana kanyumba ka udongo. Wana shamba nusu eka. Na wameoa . Na maisha yameenda.

Weng huku wametoka kwenye familia ambazo wazaz wao walikuwa hohehahe.
Wasingeoa . Wasingekuwepo.

Ukioa akili inachangamka zaidi.
Na mali zitakuja tu.

kwahiyo weng kama Baba angetafuta hela. Basi wasingekuwepo.
Wengne had leo Baba hajiwezi.
 
Post yako inadhihirisha namna wengi tusivojua yanayohitajika kwenye ndoa kila mwanandoa ataleta mawazo yake pengine kwa kufeli au alipofaulu mtihani wa ndoa binafsi naamini kutimiza mahitaji ya mwanamke ni gumu aamue mwenyewe
 
Usishawishike kama bado haujajipata.Tafuta kwanza pesa ya kukimu ww binafs.Ndiyo uwez kujikimu na mwenzio. ndoa nzuri tatizo watu wanakurupuka.Na hao baadaye ndio wanaosema ndoa ni mbaya.
Vipi ukiwa stable BAADA ya MIAKA 50 , NDO unaona?
 
Mapenzi yamekua biashara na ukiona una mke ama mpenzi ukiwa na pesa ndo anakuthamini kimbia hapo mapema una malaya muuza uchi ambae kajificha kwako...
Na sisi wanaume tunakosea sana furaha ya mapenzi sio pesa...km pesa ingekua ndo kila kitu kwenye mahusiano matajiri wasingeachana na wake zao.
 
Back
Top Bottom