Usikubali kuliwa hivi hivi

Hahaha, nina wangu tulikutana group la wassap huko kidogo baby pesa ya saloon, namtumia, mara pesa ya kubandikia kucha namtumia kuonana hataki.

Nikasema hanijui, akituma sms namjibu fresh tu, akisema saloon namtumia buku tatu namwambia hiyo pesa ya saloon kanyoe hizo nywere gharama.

Akituma sms ya kubandika kucha namtumia buku jero , namwambia nenda kanunue kiwembe ukate hizo kucha ni gharama.

Akiomba vocha namtumia kawaida tu, sasa kakoma haombi pesa ya saloon wala kubandika kucha.
 
Sawa tumekuelewa ila umekula
 
[emoji23][emoji23][emoji23]alafu unakuta pisi kali kichizi inaandika utumbo hivyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mkuu unajiweza eti[emoji849]
Kweli mkuu nina demu wangu mkali ila kweny coconut yake zero sms mpaka nimwambie dia tenganisha maneno na space bar hapo chini sio kwa full stop na anavyopenda kufupisha maneno duh hatari huwa navumilia some times huwa na mpigia tuonge tu sio sms..
Ila nampenda kiK***@
 
Utakuta kaombwa 5000.KAAMUA KUANZISHA UZI...MKUU...KUHONGA KUNAKUONGEZEA SIFA ZA KIUME...MWANAMKE anapenda awe sehemu salama,,,sasa kama 5000 mnasumbuana,,,UNAWEZA KUMFANYIA NN KINGINE?Siku zote MWANAMKE akija kwako elewa kuna kitu kimemvuta kwako so special.,,AKISHAKUWA WAKO,,,HAPO NDY ANAANZA KUPENDA KWELI....,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…