Usikubali kuliwa hivi hivi

Usikubali kuliwa hivi hivi

Hahaha, nina wangu tulikutana group la wassap huko kidogo baby pesa ya saloon, namtumia, mara pesa ya kubandikia kucha namtumia kuonana hataki.

Nikasema hanijui, akituma sms namjibu fresh tu, akisema saloon namtumia buku tatu namwambia hiyo pesa ya saloon kanyoe hizo nywere gharama.

Akituma sms ya kubandika kucha namtumia buku jero , namwambia nenda kanunue kiwembe ukate hizo kucha ni gharama.

Akiomba vocha namtumia kawaida tu, sasa kakoma haombi pesa ya saloon wala kubandika kucha.
Na hujamwona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha, nina wangu tulikutana group la wassap huko kidogo baby pesa ya saloon, namtumia, mara pesa ya kubandikia kucha namtumia kuonana hataki.

Nikasema hanijui, akituma sms namjibu fresh tu, akisema saloon namtumia buku tatu namwambia hiyo pesa ya saloon kanyoe hizo nywere gharama.

Akituma sms ya kubandika kucha namtumia buku jero , namwambia nenda kanunue kiwembe ukate hizo kucha ni gharama.

Akiomba vocha namtumia kawaida tu, sasa kakoma haombi pesa ya saloon wala kubandika kucha.
hizo buku jero zenyewe haziumi akiomba eti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wimbi la watu wasiojua kuandika kiswahili fasaha linaongezeka kwa kasi sana...sijui tunakwama wapi aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Si kwamba hawajui kuandika wengine wanakuwa na kitete cha kupiga mizinga kwa iyo anaandika faster faster.. Na sisi wanaume tunakua na kitete cha kupigwa mzinga, ni lazima tu mwandiko uende mrama..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha, nina wangu tulikutana group la wassap huko kidogo baby pesa ya saloon, namtumia, mara pesa ya kubandikia kucha namtumia kuonana hataki.

Nikasema hanijui, akituma sms namjibu fresh tu, akisema saloon namtumia buku tatu namwambia hiyo pesa ya saloon kanyoe hizo nywere gharama.

Akituma sms ya kubandika kucha namtumia buku jero , namwambia nenda kanunue kiwembe ukate hizo kucha ni gharama.

Akiomba vocha namtumia kawaida tu, sasa kakoma haombi pesa ya saloon wala kubandika kucha.
mbaya sana wewe
 
Kweli mkuu nina demu wangu mkali ila kweny coconut yake zero sms mpaka nimwambie dia tenganisha maneno na space bar hapo chini sio kwa full stop na anavyopenda kufupisha maneno duh hatari huwa navumilia some times huwa na mpigia tuonge tu sio sms..
Ila nampenda kiK***@
Wengi mno hawa hasa wapiga mizinga!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom