Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,884
- 51,698
Hichi kizazi ndiyo kinaongoza kwa kuchoropoa mimba ni laana hiziKizazi cha .com hicho Mtani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hichi kizazi ndiyo kinaongoza kwa kuchoropoa mimba ni laana hiziKizazi cha .com hicho Mtani.
.com gani hiyo, ktk mtandao gani ambao uta search kitu kwa lugha hiyo ukakipata.Kizazi cha .com hicho Mtani.



Sasa tuseme wameitoa wapi Mkuu?.com gani hiyo, ktk mtandao gani ambao uta search kitu kwa lugha hiyo ukakipata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado
kizazi jeuri, hata chanzo cha wazazi kujibiwa ovyo ovyo feedback imetokea huku..!!Sasa tuseme wameitoa wapi Mkuu?
Kiswahili hicho hahahahaLugha gani hiyo hapo kwenye chat
mbaya sana wewe
Inakera sanaKiswahili hicho hahahaha
Inafanya unatumia nguvu nyingi na akili nyingi kutaka kujua kilichomaanishwa hapo hahahahahaInakera sana
Mbona mwandiko mmoja?Naamini kuna wanaume washapigwa sana pesa na wapo ambao wanaendelea kupigwa kwa ujanja ujanja wa kina dada wa mujini.View attachment 1002476
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kwamba hawajui kuandika wengine wanakuwa na kitete cha kupiga mizinga kwa iyo anaandika faster faster.. Na sisi wanaume tunakua na kitete cha kupigwa mzinga, ni lazima tu mwandiko uende mrama..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutofautosha L na R ni ugonjwa wa walio wengi kwa sasa.
Na kuna wale wa xaxa wale.
Ni wa kuchapwa viboko
Unazidi kumtumia tu mpaka leo hamjaonanaHahaha, nina wangu tulikutana group la wassap huko kidogo baby pesa ya saloon, namtumia, mara pesa ya kubandikia kucha namtumia kuonana hataki.
Nikasema hanijui, akituma sms namjibu fresh tu, akisema saloon namtumia buku tatu namwambia hiyo pesa ya saloon kanyoe hizo nywere gharama.
Akituma sms ya kubandika kucha namtumia buku jero , namwambia nenda kanunue kiwembe ukate hizo kucha ni gharama.
Akiomba vocha namtumia kawaida tu, sasa kakoma haombi pesa ya saloon wala kubandika kucha.