Usiku huwa kuna ninii

Yaan muda wote anawaza ngono tu aisee
 
hatua za kutoka nje ya mwili zinamtaka mtu awe amelala,
Utafute huo uzi usome kwa makini hatua zote zipo zimejadiliwa vyema

_ where ever you are remember me_
 
Mawazo ya uchawi ni vitu vya zamaaani sana...hiyo ni shida tuu ya ubongo unavyokuwa una act ndivyo sivyo
Dawa...uwe unaomba kwa imani yako halafu unalala...ukiweza lala ukisikiliza mawaidha...mahubiri au nyimbo za imani yako usiku mzima ...halafu ulete mrejesho

germve himself
 



yaan had kichwa kinauma!nilimuona !makalio anaita neema za ALLAH! hahaha nikiwa vby huwa namchek you tube! kwakweli leo umenichekesha sana sana! wake zake wana shida jaman! dah!
 
Pole sana aisee. Haya mambo hata mm yalikuwa yananitokea zamani. Kadri umri unavyoenda siyaoni tena. So puuzia yataisha tu. Yaan umekopi mlemle. Ulivyosema unapiga ngumi ukuta mpaka nikacheka maana na mm nlikuwa napiga hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

there u r! ni jinsi unavyoulisha ubongo wako! yes usk na mm naweka morng star full gospel na mahubiri!unalala fresh
 
Mama Sabrina
Jaribu kubadili jinsi ya kulala (usilale chali)
Pia, ongeza bidii ya kusali ukitaja jina la Yesu mara nying zaid kabla ya kulala.
 
hahahahahahhahhaha! iman hizi ! kume umekalia utajiri jaman! woyooooo
Mkuu haya mambo nimeyakuta humu humu, sijasema kuwa kakalia utajili but nilikuwa namfahamisha nmewahi kuona mjadala wake humu ndani

_ where ever you are remember me_
 
hahahaha heu jaman acheni masikhara
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa tusemeje jamani.
Jini mahaba (mwanamke) atakujaje kwa mwanaume bila MIADI???

May Allah bless Me and You
 
Kwa hiyo nawe ulikua unatoka nje ya mwili
Siku hiyo niliumia kiganja wewe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa tusemeje jamani.
Jini mahaba (mwanamke) atakujaje kwa mwanaume bila MIADI???

May Allah bless Me and You


hahahaha huyo jini mahaba anataka kufumania ajue anaduduana na nan! eti oh asbh ukiamka unajikuta umechafuka hahahahahahah! hawajui wanawake tunadischarge....kha! huwa nawaza siku imetokea nimeenda kwa waganga ile kuingia tu nishaanza kucheka! sijui kuvunga mm aic!
 
Reactions: SDG
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na amjia mida ya kufumania,saa 7 had 8 usiku

May Allah bless Me and You
 
usifikiri huko mwaya utajikuta kila siku kwa waganga wa kienyeji! hyo kukosa hamu ni kawaida hatujawa mambwa tutake kila mara! me mtu anieleze habari za majini mahaba namuona yy mwenyew ni mahaba jini
Hivi unajua kunawanawake hawana hisia kabisa za mapenzi??
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…