Usiku huwa kuna ninii

Usiku huwa kuna ninii

Kwa hiyo nianze kulala na biblia eti,,

Bible is nothing ukilala nayo... value ya biblia inakuweko kwenye imani kwenye neno la Mungu... unasoma facts za biblia, unaziamini then unapata matokeo.... shetani na malaika zake hawana mamlka kukutumikisha kama ukijitambua kwamba umepewa dominion over kila kitu kama kitabu cha mwanzo kinavyoelekeza... do not fear no body but fear itself...
 
Bible is nothing ukilala nayo... value ya biblia inakuweko kwenye imani kwenye neno la Mungu... unasoma facts za biblia, unaziamini then unapata matokeo.... shetani na malaika zake hawana mamlka kukutumikisha kama ukijitambua kwamba umepewa dominion over kila kitu kama kitabu cha mwanzo kinavyoelekeza... do not fear no body but fear itself...


imani imani!
 
bigmind niache as jaman! nna kaka angu huwa namwita sheikh majin!kuna siku niliahatika kumskiliza ukweli nilianguka chini kwa kucheka jaman! hahahaha yaaan anaongea vitu ambavyo sijui vipo KUZIMU! hahaha as bro angu anamjulia sauti akiamua sasa uwiii utacheka ufe!

bdw hiv chanel 10 ni ya kimajini jini sijui! ukifungua unakuta na madude ya ajabu mara nyota,mara majini wazuri ni wapi hahahahahaha! nashukuru MUNGU kuzaliwa christian! maana ningekuwa namhoji IMAM maswal ya kukeraaaa
Hawa jamaa na Mungu(Alah) wao huyo hana wivu kama wetu anashare watu wake na majini eti..!
 
Ina maana huwa nataka kufa? Nishakataa hiyo roho sifi sasa hivi mimi
Roho kuacha mwili sio kukata roho,
Hiyo tunaiita kutoka nje ya mwili ndio maana uliweza kuona vya sebuleni ukiwa chumbani,

Unaweza kuwa mtabiri au mtu mashuhuri ukijua kutumia vizuri hali yako,

Fanya kuikubali hiyo hali siku moja then utanipa mrejesho.

_ where ever you are remember me_
 
Juzi kati hapa nilishtuka usiku saa saba,nililala mapema sana,nikahisi kuchoka kulala nikaenda kulala kwenye kochi sebuleni,nikapitiwa usingizi kidogo mara nikafumbua macho utafikiri nimeamshwa hivi,,nikafumba macho tena ili nisinzie ile nataka kupitiwa tu nikaona kama nimepitiwa na giza usoni paa nikaamka tena nikaapuuzia nikalala ile hali ikajirudia ya kitu kama giza kinapita ,halaf kukawa na nguvu fulan sijui ilikua inatoka wapi inanilazimisha nipate usingizi mzito kweli wakati mi nikitaka kuamka lakin kuamka nashindwa ,,hiyo hali inanitokea huku naongea kimoyo moyo

. ,,nikaanza kusali wapi hakuna kitu,,mwili unaishiwa nguvu nakua najitahidi kuchezesha mguu ili nipate nguvu niamke lakin wapii,,,halaf nikawa siutaki ule usingizi kwani nakua naona napelekwa sehemu siijuii halaf inatisha
wakati nazidiwa kupata usingizi wa lazima nikasikia kitu kinanipuliza sikioni huku nikipata maumivu makali hapo hapo nikaamka tena nikakaa ,,nikajirudia zangu chumbani nikaona niende chumba cha ndugu yangu nilale nae maana mwanzoni nililala chumba kingine

Nimelala na huyu ndugu ,huwezi amini nikifumba macho nakua naona kama naonyeshwa kwenye tv,naona pote hadi nje kule ,kule sebuleni napaona halaf mwili ukawa unatetemeka napata maumivu ambayo sio makali sana nikaendelea kusali lakin hakuna kitu,,yaan sikulala jamani nikalzimishwa ule usingizi nikawa naona watu wawili wana giza kubwa wananirukia kwenye mwili wangu wanarudia kile kitendo ,,kumbe vile nahangaika nilikua nimvuta yule ndugu yangu anisaidie baadae nikashtuka nikaona nikae macho tu sasa,,asubuhi ilipofika yule ndugi yangu akaniambia leo ulikua unaning'ang'ania miguu yangu,,nikamwambia kuwa leo nimehangaika kulala tu ,,nikaona kazi kumsimulia

Hii mim hunitokea mara nyingii yaan sio mara ya kwanza kunitokea na hunitokea nakuwa najijua kabisa ila mwili unakuwa hauna nguvu,,,na mara nyingine huwa hadi naona natolewa nje huku moyoni nakua nasema Mungu wangu napelekwa wapii mie nikisali sali naashtuka
Siku zingine nalala tu tu vizurii,siku nyingine nakuwa hivyo
Je ni kuwangiwa au nin maana wengine husema uchawi hakuna cc Nyani Ngabu
Je wengine huwa mnalala tu vizuri au wengine mnahangaika kama mimi nifanyeje ili hii hali niiepuke kwa waganga siwezi kwenda kabisa ,,so usinishauri habari za waganga wala kwenda kanisani

Kuna siku napo nililala ikanitokea hivyo nilisikia napigiwa kelele masikioni kwa nguvu mpaka nikaamka,,siku nyingine najikuta napiga ukuta sijijui yale maumivu yananiamsha kiganja kinauma tatizo nakuwa najijuaa kabisa
Mtafute mtaalamu akutatulie shida yako.

Hao ni Wanga tu wasiotaka kuona maendeleo yako.
 
Roho kuacha mwili sio kukata roho,
Hiyo tunaiita kutoka nje ya mwili ndio maana uliweza kuona vya sebuleni ukiwa chumbani,

Unaweza kuwa mtabiri au mtu mashuhuri ukijua kutumia vizuri hali yako,

Fanya kuikubali hiyo hali siku moja then utanipa mrejesho.

_ where ever you are remember me_
Kwa hiyo inakuwa kama mediation , , nilisoma kule itelijensia kutoa nje ya mwili,,,basi mbona mi hutoka usiku tu au hali hiyo hunikamata nikiwa nimelala mbona nikiwa nimekaa haiji
Nitawezaje kuitumia wakati sijui lolote
Halaf huko kutoka nje ya mwili si naweza kufa mie jamani

Kuna rafiki yangu nilimtabiria kitu na kikawa kweli mi mbona yangu sijitabirii kuna kipindi nilikua naona kuna mambo mabaya yananitokea na kweli yakatokea lo
 
Kwa hiyo inakuwa kama mediation , , nilisoma kule itelijensia kutoa nje ya mwili,,,basi mbona mi hutoka usiku tu au hali hiyo hunikamata nikiwa nimelala mbona nikiwa nimekaa haiji
Nitawezaje kuitumia wakati sijui lolote
Halaf huko kutoka nje ya mwili si naweza kufa mie jamani

Kuna rafiki yangu nilimtabiria kitu na kikawa kweli mi mbona yangu sijitabirii kuna kipindi nilikua naona kuna mambo mabaya yananitokea na kweli yakatokea lo



hahahahahahhahhaha! iman hizi ! kume umekalia utajiri jaman! woyooooo
 
hahahahahh! kuna yule sheikh kipoozeo hahahahahahahahahahahhha hilo jina mm hoiii
Hawa jamaa bwana usiwatafakari sanasana waombeeni tuuh..!

"Shekhe kipozeo anasema mwanamke mmoja ni mama yako tu, huwezi kuwa na mke mmoja kama mama yako.. yule jamaa km zimefyatuka.

Siku moja alikuwa anahojiwa na Zamaradi Clouds nilicheka mno.
 
Back
Top Bottom