gentlemanx
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 2,375
- 7,217
It's true mkuu,nilihangaika sana na my friend about those staff kipindi hiko...ni hayo madude.Huwa naambiwa nna maruhani itakuwa ni yenyewe ndio yananifanya hivyo
It's true mkuu,nilihangaika sana na my friend about those staff kipindi hiko...ni hayo madude.Huwa naambiwa nna maruhani itakuwa ni yenyewe ndio yananifanya hivyo
Na amjia mida ya kufumania,saa 7 had 8 usiku
May Allah bless Me and You
Sipendi uchafu na siwezi lala chumba kimerundikana vitu au pachafu,hata ukija sasa hivi utakuta kila kitu kipo mahali pake
Lakin huyu kaka alivyoniambia kuhusu kutoka roho na kuacha mwili itakuwa hiyo aiseekumbe ulishaambiwa una maruhani!pole sana!
Hahaha, unawaota kina li.pumba tu, mkifanya nini?pole sana !kunakipindi nyuma na mm iliwah nitokea nadhan nikiwa na miaka 15!nikapelekwa hosp nikaonekana na malaria nyingi sana !since hapo hakuna kitu! sana sana nawaota kina l.i.p.u.m.b..a tu .....mxiew zao!
pole!jaribu kwenda hospt!
Yesu hawezi kumsaidia si umeona kasema hata akisaliWakati unasali tumia sana jina LA Yesu. Hiyo ni miongoni mwa silaha za kiroho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakin huyu kaka alivyoniambia kuhusu kutoka roho na kuacha mwili itakuwa hiyo aisee
Tena bora jini mahaba kuliko Yule anaekulimisha Yule au Yule anaekufanya farasi ukiamka ka ulikua unabeba tofalihahhahahahhahahah dah humu leo mie hapana !hahahhahaa
Hahaha, unawaota kina li.pumba tu, mkifanya nini?
Tena bora jini mahaba kuliko Yule anaekulimisha Yule au Yule anaekufanya farasi ukiamka ka ulikua unabeba tofali
Sent using Jamii Forums mobile app
Muislam,,lakin huwa ikinitokea vile ntasoma sura zote wapii ntasoma quran wapiiii hakuna kitu ,,huyo luck dube kaniambia ukweli huwa natoka nje ya mwilinimeogopa ghafla! ww dini gan
Huoti kujigi-jigi?hahahaha mie naotaga zaid wanasiasa aic!labda kwajili nawafuatilia sana! namuotaga anavyoongeaga vile km hana pumzi vile arghhh ngj nije niote 'vifo' tu sasa maana ndoto zangu na mm huwa kweli tupu!

Huoti kujigi-jigi?![]()
Anayelimisha huyo ni mchawi, jini mahaba ye show tu, mi si msela sasa bachela tangu lini jin likanisapraiz gheto Kama kanisa utaniambia nnhahahaha jini mahaba ni special kwa utamu! hahaahha!kwan anayelimisha anajulikana kama nani?? naona una ufaham sana juu ya hili! au ndo nyamkera hahahahahaha
Anayelimisha huyo ni mchawi, jini mahaba ye show tu, mi si msela sasa bachela tangu lini jin likanisapraiz gheto Kama kanisa utaniambia nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Anayelimisha huyo ni mchawi, jini mahaba ye show tu, mi si msela sasa bachela tangu lini jin likanisapraiz gheto Kama kanisa utaniambia nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma Surat nnasi mbona huelewi naww ???au huijui ??kul angudhubirabinnasi ,Maliki nnasi ,ilahi nnasi minsharilwasiwasilhannasi ,alladhi yuwasiwisufih sudirinnasi, ,minaljinati wannasi .Muislam,,lakin huwa ikinitokea vile ntasoma sura zote wapii ntasoma quran wapiiii hakuna kitu ,,huyo luck dube kaniambia ukweli huwa natoka nje ya mwili