Umri wa kubalehe unasumbuaaa
Mtoa Maada kafariki Leo jion HUWEZI kuaminiMbona hamna picha?
Dah ndo huyuhuyu kadondoka bafuni RipNimeikumbuka post hii!! Rip Puppa! Mwanga wa milele akuangazie Mwenyeezi Mungu Amen
Dogo utakuwa na laana, humu kina post zako za kijinga.
2015
ulimpa binamu yako mimba
Ukala ada ya form 2 tsh milion 2
Mpenzi wako akakutenda
2016
Mke wa mtu akakupenda
Ukatafuta rafiki wa kike
Ukachelewa kufika kileleni akatoroka
Leo usiku una mchawi wa kike geto
2017
Utakuja na post za kumlala mama yako na dada zako wa damu.
2018
Utakuwa mwehu mtaani
Time will tell...let us keep our fingers crossed!
RIP PuppaPaper zimeshaisha wanaanza kusumbua mahabusu ya kichawi ittakuhusu muda si mrefu
Kweli mkuu hawakukosea waliosema jana ni ya kwetu sote ila kesho ni ya wale waliochaguliwa.R.I.P PuppaMaandishi kitu cha ajabu kweli! Mwandishi hayupo tena ila Maandishi yake yatadumu