Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,629
- 10,703
Waswahili wanamsemo unasema "vyarahisi ni ghali"usifate maneno ya watu wenye frustrations na hasira zao...
mtu mwenye hasira uwezo wake wa kufikiri ni sifuri kabisa
unafikiri kuona channel 170 za dst> kwa 185,000-220,000/= ni mchezo....
Mbona receiver za FTA kama srt 4922 za kisasa zinauzwa 150,000/= na je vipi receiver ya kisasa kama QSAT ya FTA na PAY TV kuuzwa hiyo bei ni bonge la dili
Kulinganisha bei za dstv kuhalalishia matumizi ya hivi vikopo kero sio sahihi
Dstv unalipa ghali lakini unapata unacho stahiki asilimia mia
Huku unalipa kidogo full makero, mkuu tunatumia haya makopo haturopoki, ni kweli hakuna system ambayo haicrash but this shit imekua too much bana, mwezi mzima huoni ikirudi channel kibao zimepotea baada ya siku tatu server down, baada ya wiki unaona vizuri wiki moja then kinazima oooh maintance, kinarudi hewani baada ya wiki na chane kidogo, mara full scrach kinapotea wiki mwisho hakitumiki tena server down, unanunua kingine kinaanza vizuri baada ya mwezi tu mziki pale pale server down, maintenance server down maintenance. ....Nyambafu
yaani inafikia kipindi ukikikuta kipo hewani ni bahati na sibu sasa huu si usenge hata kama kinauzwa rahisi bana