Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,022
- 26,348
Hhhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
DILI imebumburuka we MWIZI katafute wa Chamanzi au Gongola mboto uwakamate kirahisi....
Ulitaka kutumia mgongo wa Kombe la Dunia kuwa milionea kwa kuuza vya haramu vya Kichina???
Kwa jinsi ulivyomjibu deecharity ndivyo unavyojidhihirisha kuwa wewe ni jambaka huna tofauti na lile kundi wanaoojita mbwa mwitu waliongia Dar kuiba vya watu.
Nenda kalime usilete mishen town feki kuibia wapendwa walijipinda kusukuma mikokoteni kutafuta riziki alafu wewe uchukue kilaini
Wana JF Tuwe makini na hawa ndumilakuwili matapeli majizi wasikuwa na tofauti na yale ya EPA bungeni
Kukurukuuuuu mwanangu na kombe la DSTV Feki !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ha ha ha ha ha ha...nmecheka sana mpaka machozi yanantoka