usikose world cup 2014 na ligi zote miezi ya mbele

Hhhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
DILI imebumburuka we MWIZI katafute wa Chamanzi au Gongola mboto uwakamate kirahisi....
Ulitaka kutumia mgongo wa Kombe la Dunia kuwa milionea kwa kuuza vya haramu vya Kichina???
Kwa jinsi ulivyomjibu deecharity ndivyo unavyojidhihirisha kuwa wewe ni jambaka huna tofauti na lile kundi wanaoojita mbwa mwitu waliongia Dar kuiba vya watu.
Nenda kalime usilete mishen town feki kuibia wapendwa walijipinda kusukuma mikokoteni kutafuta riziki alafu wewe uchukue kilaini
Wana JF Tuwe makini na hawa ndumilakuwili matapeli majizi wasikuwa na tofauti na yale ya EPA bungeni
Kukurukuuuuu mwanangu na kombe la DSTV Feki !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Ha ha ha ha ha ha...nmecheka sana mpaka machozi yanantoka
 
Nakuhakikishieni wakati wa world cup ndio mtavitupa kabisaa maana sasa dstv ndio watakua wanabadili security zao kudisturb wezi kama hawa wachina ili watu watumie dstv
Kila siku mtaambiwa sijui server down mara maintenance mara hivi vile blah blah tu
Guyz dont west your time bora kununua star times kama ni swala la kombe la dunia wataonyesha karibu mechi zote

Likibumu atakacho wajibu huyu mkuu ni sio mimi ni wachina wakati kashatia chake mfukoni
 
Kaka gazeti lako kubwa unaloliandika, ni kweli azsky G6 haipo hewani na inarudi mara kwa mara kwa majaribio ila sio kwamba ndio imekula kwako kijamla hapana kurudi itarudi tu pia kumbuka mimi ni muuzaji tu na sio kwamba ndio mwenye kiwanda China (ambao waliahidi hizo account bure) au mwenye server za Azsky Nigeria (ndio wenye kufanya hizi dongle zionyeshe) na nadhani wewe ni mgeni wa hizi Dongle na technologia ya IKS na ndio maana unalalamika sana na pia nadhani gharama za Makaburu huzijui na ndio maana unalalamika (hivi vidude ukitumia mwezi 1 tu basi hela yako ishalipa kutokana na kulinganisha malipo ya mwezi ya kaburu 132,000tsh X12=???? sasa linganisha hiyo bei na ninachokiuza. BY the way nina record za watu wote ninaowauzia na niliowauzia wewe humo katika record zangu, nakushauri mtafute aliyekuuzia akupe njia Jinsi ya kutatua tatizo lako na sio kutumia reference za post zangu za zamani then ukajifanya kuwa mteja wangu.
Pia ushauri mwengine Hebu hiyo decoder yako kuwa unaijaribu mara kwa mara halafu urejeshe jibu kama jee imekufa 1 kwa 1 au bado inafanya kazi.
Pia kwa kuongezea kama una kumbukumbu nzuri Qsat na Azsky G6 ni product ambazo zilikuwepo Wakati 1 ila Qsat haikupata tatizo kama ilivyopata G6 na nadhani wadau wengi wanalijua hilo (Jee kuzama kwa MV bukoba utazitia sumu MELI zote kuwa ni MBOVU?) naomba nijibu suali langu. Azsky wapo katika hii game Zaidi ya miaka 5 ila inaweza kuwa uliponunua wewe ni miezi yao ambayo matatizo ndio yamewakuta (pia kumbuka hiyo decoder ni HD decoder na pia ni FTA, nakushauri mtafute njunwa wamavoko akuuzie cccam account uingize katika G6 yako ili uendelee kufurahiya na sio kulalamika sana hadi kuwatisha wengine
Pole kwa usumbufu unaopata
Kwa kifupi wewe ni msanii hakuna G6 wala njuwa mimi nawaona magumashi wote chondechonde mtajuta nishagombana na bro wangu kwa ajili ya haya madude.
K
 
Last edited by a moderator:
Vidude vimenitesa hivi sina hamu
jamaa ana lugha tamu kweli nimenunua vikopo hivi vitatu walahi
hakuna unafuu wowte ni mateso kila siku mara seva down mara nyoko wizi mtupu

Unasema kweli mkuu ila jamaa wanakauli za kuvutia,hawa ni wasanii
 
Take care guys....kuna fundi alinipa shule ya kutosha kabla ya kuvagaa haya makitu......mtajuta.....ni kama kamari.....sometimes yes sometimes No.......nafuu ni gharama sana......
 
kama unataka picha ya uhakika nunueni dstv achen kelele hizi dongle mtuachie wenyewe tuliozoea vya kunyonga munjy1 endelea kuleta mambo hawa mafalaa achana nao.
 
Kumbe rcva zenyewe miyeyusho! Asante kunitahadhalisha

Kaka Ibra lazima ujue kuna watu categories tofauti kuna wengine wanaacha Premium ya DST> kuja kuendekeza hivi vidude na kuna wengine watumiaji wa startimes unaamua kufunga hiki kidude....
Kumbe kwa yule aliyezoea premium akifunga hiki kidude lazima hakione magumashi....ila ukweli kuna wengine wanavi-enjoy mfano mimi naki enjoy maana sitegemei kufunga DST> ya makaburu mpaka nakufa nenda kwenye forums za Facebook uone watu walivyo ridhika na hali hiyo...
Hivo wewe fanya maamuzi kama unataka kununua nunua ili mradi wameshakwambia unaweza kuona mwezi mzima bila usumbufu lkn siku kikizima hata week we kubaliana na hali maana kitu chenyewe kinauzwa kwa hela ya kutupwa ukilinganisha na level ya enjoyment utakayo pata(neglecting frustrations kikiwa down)

Ni vizuri kuweka purchasing date na expiry date ili kuwaweka wateja wako sawa!!

Kaka hivi vidude vina account ya mwaka lakini sio kwweli kwamba mwaka mzima utaona picha there is no even 75% server uptime Guarantee

kwanini anayauza na kuyashabikia badala ya kukemea huo uchafu

Huu sio uchafu mimi nimefunga kwangu maana nina Unlimited internet na stream Bein sports zote,naweza kuangalia video youtube ila interst yangu kubwa ni IPTV sikosi match hata siku moja
Ukiwa na hivi vidude ni kuwa creative mimi kwangu nimefunga dish moja kubwa lina LNB nyingi tu moja ya DST>, nyingine kwa ajili ya channel ya IRIB ambayo huonesha soka za Ulaya maana sitaki frustration kuangalizia ball kule SS3 maana inaweza zima na pia nimefunga LNB nyingine napata Local channels bure kabisa maana ni FTA

Kumbe hivi vidude haviwezi kemewa maaana ni FTA receiver sawa na FTA kama Wiztech,Astrovox na SRT/stong decoders

Vidude vimenitesa hivi sina hamu
jamaa ana lugha tamu kweli nimenunua vikopo hivi vitatu walahi
hakuna unafuu wowte ni mateso kila siku mara seva down mara nyoko wizi mtupu

When you invade someones system expect one day you will be knocked out
Sasa nakushangaa unanua kitu cha kuchakachua bila kujua Risk side ya hivi vitu
Anywayz kuwa mbunifu itumie kuangalia FTA IRIB wanaonesha channel nyingi sana za mpiara na kombe ladunia zitakua nyingi kama sio zote

nimejipanga kununua tarehe moja
Now nimestukaaa

Kaka go ahead wasikukatishe tamaa kama hauna uwezo wa Kulipia DST> premium hivi vidude utavi enjoy na zaidi yaa yote kama umefunga dish la foot sita na kuweka LNB ya Local channels na DST> utafaidi maisha hakuna mfano vikiwa hewani utafurahi unatajenga heshima kwako vikizima unaendelea kuangalia Local channels
Isitoshe receiver za QSAT zimeimarishwa hivo huduma kuanzia leo ni nzuri kuliko maajabu
usifate maneno ya watu take risk hautopoteza chochote maana ni MPEG4 ya kisasa inaweza kuweka BISS Keys,CCcam.Newcamd/Mgcad unaweza kuangalia IPTV na youtube na yOUPORN ni wewe kuwa creative

Mkuu usinunue huo uchafu mkuu bora uende DSTV kuliko hivyo vidude vya huyo tapeli @munjy

Kila mtu kapewa akili na utashi kwa nini umkatishe tamaa mtu mwenye nia
Zaidi ni wewe kumuonesha DARK side pia na kumuonesha POSITIVE side ya hivi vitu na sio kumshika mfukoni kwa hela yake....
Unapovamia system ya mtu e.g kuangalia dst> bila uhalali lazima utegemee na wenye AKILI siku zote kabla ya kununua nauliza anaelekezwa

Nakuhakikishieni wakati wa world cup ndio mtavitupa kabisaa maana sasa dstv ndio watakua wanabadili security zao kudisturb wezi kama hawa wachina ili watu watumie dstv
Kila siku mtaambiwa sijui server down mara maintenance mara hivi vile blah blah tu
Guyz dont west your time bora kununua star times kama ni swala la kombe la dunia wataonyesha karibu mechi zote

Likibumu atakacho wajibu huyu mkuu ni sio mimi ni wachina wakati kashatia chake mfukoni

Kaka kuwa creative kama wakenya nenda kwenye Pinned posts kule uone wakenya walivyo wabuninifu kwa nini tutegemee tu PAY TV wakati na FTA ziko tena nzuri
World cup si ajabu ikaoneshwa baadhi ya match mpaka CCTV ambazo ni FTA
Ukinunua hivi vidude lazima uwe na Alternative kama kufunga FTA ili usikatiiwe na matngazo

Hata ukiwa unajua kuset hizi ni majanga kama unabisha nunua uone.

Hivi vitu vitamu sana vikiwa hewani
Kwa wale ambao hatuwezu kulipia DST> tumeridhika kabisa
Hela niliyotoa na ninachokiona vinaendana kabisa

Kwa kifupi wewe ni msanii hakuna G6 wala njuwa mimi nawaona magumashi wote chondechonde mtajuta nishagombana na bro wangu kwa ajili ya haya madude.
K

Pole sana kwa kugombana na kaka yako lakini kwa nini haukumueleza kuwa kuingia katika sytem ya mtu kuna siku unaweza kushushwa


Mara ngapi mtu ameenda CRDB akaambiwa system iko down tena una shida kubwa na isitoshe ni jmosi labda ndo siku hiyo uko free wakakwambia urudi jumapili....

je kama system ya hela yenyewe inaenda down isiwezekane vipi kwa system ya dongle inayochakachua DST>

Mbona TANESCO wanazima wanazima umeme tena kwa mji wa viwanda kama Dar na umeme ndo mtaji wa watu wengi hapa mjini mbona tunavumilia na ukirudi tunaendelea na maisha

NO SYSTEM CAN BE 100% EFFICIENT acheni longo longo kama sio wasomi vile atimes a system must go down for better services
 
Siku zote jua kua wachina wana akili na wanatafuta sana hela....ukiona dongle ulionayo imeanza kuzingua basi jua tayari wana product mpya sokoni na lzm ukanunue......kwahiyo ukisikia sijui server down,maintainance nk jua tayari kuna product mpya inakuja na hiyo uliyonayo ndio inakufa.
 
Siku zote jua kua wachina wana akili na wanatafuta sana hela....ukiona dongle ulionayo imeanza kuzingua basi jua tayari wana product mpya sokoni na lzm ukanunue......kwahiyo ukisikia sijui server down,maintainance nk jua tayari kuna product mpya inakuja na hiyo uliyonayo ndio inakufa.

Sio kweli ulichokisema mbona kuna server downtime lakini hawana receiver mpya waliyoitengeneza....

Receiver mpya iliyotengenezwa ni QSAT,STR GS6HD(ambayo haifanyi kazi) na zorrobox z3(ambayo haifanyi kazi)

In short kampuni mpya ya dongle ni QSAT Usitake potosha umati hapa

AZSKY na wenzake EC LINKX5 watengenezaji wa receiver ya STR na A+ watengenezaji wa zorrobox wapo tokea zamani walishofanya wame upgrade kutoka gprs combo kuja decoder

think beyong your nose before commenting
 
Njunwa nakupa big up. Mimi kwangu Nina Xmaster- Avatarcam d na Nina dish la ft 6 lenye lnb 3. Moja ni Ds*v, nyingine ni local (ITV, CHANNEL 5, CHANNEL 10, etc) na nyingine ni channel kibao za dini (Emmanuel TV, Liberation, etc). Na-enjoy sana. Hiyo Avatacam Mara nyingi ni stable sana na Luna channel kibao. Kwa siku za karibuni nakumbuka ni last week ndo ilikata kwa siku 3. Lakini naona zimerudi ingawa si zote - Ila asilimia kubwa zimerudi. Kwa hiyo mtu akikandia sana Mimi simuelewi kabisa. Ukweli ni kuwa toka nimeweka hii kitu sebuleni kwangu kuna uhai ile mbaya.
Mgeni anatamani asiondoke aendelee kufaidi. Ikikata narudi kwenye FTA. Sasa shida iko wapi?
 
Inapendeza kama ukiwa unafuatilia thread zinazozimzia FTA kama ile ya kyungu1 na Arsonal ili hata ukitaka kufunga dish mwenyewe au kumwita fundi basi umwongoze na satellite gani za kutafuta ili upate channel za kueleweka. Na pia kama una internet ya kueleweka karibu vidude vyote tunavyozungumzia unaweza kuingia YouTube na kuona Picha kibao na pia kuona channel kwa IPTV. Ukilipa kidogo unapata dqiptv. Sasa longolongo ni ya nini?
 
nilipanga ninunue ila comments za hapa ni ujanja tosha..

usifate maneno ya watu wenye frustrations na hasira zao...
mtu mwenye hasira uwezo wake wa kufikiri ni sifuri kabisa
unafikiri kuona channel 170 za dst> kwa 185,000-220,000/= ni mchezo....

Mbona receiver za FTA kama srt 4922 za kisasa zinauzwa 150,000/= na je vipi receiver ya kisasa kama QSAT ya FTA na PAY TV kuuzwa hiyo bei ni bonge la dili
 
DSTV bongo naona wanacheza, au wanawapotezea tu maana kumkamata mtu kama wewe wiki moja nyingi, na kutafuta wote uliowauzia na kuwachimba biti maana its illegal... Sawa DStv wana hela, lakini support yenu ndo itafanya wawepo, walipe wafanya kazi mishahara, wakuze huduma zao ikiwezekana bei zishuke... Nimekua nimeachana na utotonwa cracking system za watu, siku hizi nanunua original.. we najua njaa ndo inasumbua ila piga bac kdg acha tumie hela kufungua biashara nyingine legal ambayo haina risk ya kukamatwa... Yani ningekua msimamizi DSTV bongo ningehakikisha nchi inasafishwa..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom