deecharity
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 931
- 503
Ushaur wa bure kabisa. ukiwa unauza bidhaa toa elimu ya kutosha kuhusu biashara yako. hapa ni kuainisha mapungufu yake na faida zake kabla haujapokea ela ya watu. pili acha kashfa unapojua unamakosa sababu kwel umetoa ahad za uongo nying, tatu unatakiwa kuelewa si kila unaemuuzia bidhaa yako basi anaujuz nayo ila unapompa info fulan kumbe uongo unajipotezea uamnifu tu. najua huana uwezo wa kuacha hii biashara sababu ndio inakuendeshea maisha kitu muhim kuwa mkwel ili ueleweke. sio vzur kuweka picha ya mtu mtandaon kuwa ni tapel sababu lazima anandugu, marafk na wakwe km ameoa unaweza kuwa umemuumiza sana hilo siwez kufanya sababu najua maisha ndio yamepelekea ufanye biashara km hii ila utakuja kumtapeli mtu ambae nae hyo laki mbili anaipata kwa jasho utakua umemuumiza sn sn sn. mi nishakusamehe na sitajibu lolote tena. haya tujiandae na kombe la dunia wale wakumpa mkaburu haya na wakumpa ela munjy nao haya. kila lakheri businessman.