Yule dada wa BBC Swahili Zuhura Yunus masikini ya Mungu hakuwa na weledi wa kujadili siasa za Tanzania na mtu kama Tundu Lissu, sikilizeni BBC ya ukweli kwenye Hard Talk watakavyogongana vichwa na Tundu Lissu, a most vociferous critic of Tanzania's President John Magufuli
Source: Kwinyara Kwinyara Media
Source: Kwinyara Kwinyara Media