ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,577
- 44,814
Kama umepanga kulipiza kisasi kwa adui yako basi panga kimya kimya; kisasi hiko usije kuanza kuropoka maneno mabaya mbele za watu. Kuna Matukio mawili nayakumbuka.
La kwanza tulikuwa tunakunywa sehemu sasa watu wawili maadui wakaanza kuzinguana mmoja anaanza kumwambia mwenzake nitakuua wewe maneno kibao jamaa aliambiwa kesho atauwawa kweli kesho akaja anatapika damu ikaanza kusemekana aliwekewa sumu si unajua mapombe yenyewe visungura hivi tuna share peg. Ni bahati tu Alipona hakufa.
Tukio lingine bodaboda wawili wametoleana maneno machafu mmoja kamtishia mwenzake kesho hatafika kijiweni huwezi amini kesho yake yule dogo alikutwa ametobolewa macho Pikipiki wameichukua Majambazi na jamaa akafuatwa kuambiwa huenda atafuatwa na polisi ilibidi akimbie yaani hata kama huusiki na tukio maneno yako yanaweza kukuletea shida.
La kwanza tulikuwa tunakunywa sehemu sasa watu wawili maadui wakaanza kuzinguana mmoja anaanza kumwambia mwenzake nitakuua wewe maneno kibao jamaa aliambiwa kesho atauwawa kweli kesho akaja anatapika damu ikaanza kusemekana aliwekewa sumu si unajua mapombe yenyewe visungura hivi tuna share peg. Ni bahati tu Alipona hakufa.
Tukio lingine bodaboda wawili wametoleana maneno machafu mmoja kamtishia mwenzake kesho hatafika kijiweni huwezi amini kesho yake yule dogo alikutwa ametobolewa macho Pikipiki wameichukua Majambazi na jamaa akafuatwa kuambiwa huenda atafuatwa na polisi ilibidi akimbie yaani hata kama huusiki na tukio maneno yako yanaweza kukuletea shida.