Usife kwanza mpenzi wangu

Usife kwanza mpenzi wangu

Naomba jioni ifike haraka,aisee umejaaliwa stori inaleta hamasa ya kusoma ingawa inasikitisha.

usituharbie thread blue g,kwa kureply story,unatuchosha jaman,mbona ili tulishaliomba sana.mtu unareply kwa pat nzima ya story,ebu kuwa mwelewa bwana
 
usituharbie thread blue g,kwa kureply story,unatuchosha jaman,mbona ili tulishaliomba sana.mtu unareply kwa pat nzima ya story,ebu kuwa mwelewa bwana
Daaah yaani kwa hiyo umeona mimi tu ndo kikwazo,sitaki kuamini.ila itabidi unisamehe na kunizoea ndugu yangu coz mi nikiguswa hata kama ni thread ya tamthiliya lazima nireply.Excuse me kubwalamaadui
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu wewe ni kichwa,nakukubali sana kwani unaifanya JF iwe chuo kingine katika kujifunza mambo mbalimbali!
 
Last edited by a moderator:
Wakina dada kuna jambo la kujifunza,hasa mnapopigiwa simu,cleopatra anajibu hovyo pasina kujua aliyepiga ni nani.
Lakini baada ya kumjua mtu yule anajifanya mwema.
Haipendezii...
 
Wakina dada kuna jambo la kujifunza,hasa mnapopigiwa simu,cleopatra anajibu hovyo pasina kujua aliyepiga ni nani.
Lakini baada ya kumjua mtu yule anajifanya mwema.
Haipendezii...
Nimekusikia mkuu lakini mpatie picha Cleopatra na mcheche aliokuwa nao wa kuzungumna na "La Aziz" wake; That was a natural reaction maana alikatishwa hamu yake kwa kusikia sauti ambayo sio ya mpenzi wake; Hence ikabidi awe mpole ajue kunani.
 
Mwaka huu kuna ligi ya stori kati ya chai chungu na mzizimkavu. Full kukosa usingizi
 
Duh! Niko safari lakini nahici kuenjoy in jf place Mzizi Mkavu mi muhanga wako!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom