Usifanye mazoezi mazito baada ya miaka 35, Unajiua mapema

Usifanye mazoezi mazito baada ya miaka 35, Unajiua mapema

Kwamba mkali haaminiki?😂
Mimi kwenye masuala ya kuishi muda mrefu ningemsikiliza mzee wetu hapa 👇
1000055401.jpg
 
Miili yetu hufika ukomo wa ukuaji unapofikisha miaka 35, kwa lugha rahisi mwili kua active kutengeneza cell mpya zenye ubora pia utimamu wa misuli na akili peak yake ni miaka 35, hivo basi kabla hujafika miaka 35 hakikisha unafanya mazoezi ya kutosha mbelen uko mazoezi hayana impact kubwa sana, hata wachezaji wakifika miaka 30 ni ngumu kukubaliwa kucheza professional football majeraha huchukua mda mrefu kupona na utimamu wa akili hua pungufu



Kama huwezi kufanya mazoezi acha wengine wafanye usitafute njia nyepesi ya kuwakatisha tamaa wenzako...
 
Kama huwezi kufanya mazoezi acha wengine wafanye usitafute njia nyepesi ya kuwakatisha tamaa wenzako...
 
Kuna mfanyakazi mwenzangu alikufa akiwa kijana mdogo tu.Alikuwa anafanya mazoezi magumu mno ya kunyanyua vyuma na kitu inaitwa Sauna yule dogo alikata moto mapema mno usingizini.Msikilizeni Prof Janabi msimpuuze huwa anasema mazoezi mengine hadi upimwe na daktari.
 
Kuna mfanyakazi mwenzangu alikufa akiwa kijana mdogo tu.Alikuwa anafanya mazoezi magumu mno ya kunyanyua vyuma na kitu inaitwa Sauna yule dogo alikata moto mapema mno usingizini.Msikilizeni Prof Janabi msimpuuze huwa anasema mazoezi mengine hadi upimwe na daktari.
Ripoti ya madaktari ilisema sababu ya kifo ni nini?
 
Kuna mfanyakazi mwenzangu alikufa akiwa kijana mdogo tu.Alikuwa anafanya mazoezi magumu mno ya kunyanyua vyuma na kitu inaitwa Sauna yule dogo alikata moto mapema mno usingizini.Msikilizeni Prof Janabi msimpuuze huwa anasema mazoezi mengine hadi upimwe na daktari.
kwan mkuu unataka kunyanyua chuma hadi ukubwan 😂
 
bar tena? kutembea sio zoezi
sasa mstaafu unategemea nikae tu nyumbani nisichangamane na watu na jamii.Ukistaafu ukiwa unakaa tu nyumbani unasubiri chai,ugali mchana na usiku unakufa haraka
Bar sina maana ya kunywa sana unapiga mbili za afya unarudi home na sio kila siku kwa wiki mara moja.
Unajua kwanini watu wanaostaafu hawaishi kukatiza miaka20 sababu ya mambo kama hayo.
 
Back
Top Bottom