Usiendekeze mwanaume

Usiendekeze mwanaume

Mwanamke lini alishawahi mpenda mwanaume kitu anachojua mwanamke ni kujipenda na kupenda watoto alio wazaa ndio maana mwanaume akifulia mwanamke anamkimbia
Ni uongo uho
 
Mi ninachojuaga unataka tu attention kutoka kwa wanaume...ila sio kwamba unawachukia kama unavyondika hapa..coz once hauwezi kukiongelea sna unachokichukia
 
Ni wakati wa kubadilika sasa kutoka kwa hasi hadi kuwa chanya. Jitahidi uwe mwema kwa wengine. Jipende kwa ukubwa wowote.

Ikiwa una uwezo wa kupenda, jipende mwenyewe kwanza.


Usimuendekeze mwanaume, mwanaume hakupendi ukiwa mchafu, anakupenda ukiwa uko smart.

Cha ajabu wanapenda wanawake wazuri na smart lakini kuhudumia hawawezi kabisa!

Wanaume wasikuizi ni wa ovyo sana!
Mwanaume ni kama maji,

Usipomnywa utamuoga
 
Ni wakati wa kubadilika sasa kutoka kwa hasi hadi kuwa chanya. Jitahidi uwe mwema kwa wengine. Jipende kwa ukubwa wowote.

Ikiwa una uwezo wa kupenda, jipende mwenyewe kwanza.


Usimuendekeze mwanaume, mwanaume hakupendi ukiwa mchafu, anakupenda ukiwa uko smart.

Cha ajabu wanapenda wanawake wazuri na smart lakini kuhudumia hawawezi kabisa!

Wanaume wasikuizi ni wa ovyo sana!
Unateseka ukiwa wapi sistangu?
 
Back
Top Bottom