Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,131
- 14,604
Much appreciatedUsiwaze kamanda
Much appreciatedUsiwaze kamanda
Anatafuta attention in an indirect wayIla unawaponda sana wanaume be positive ukiwaza mema nayo yatakufuata
sidhani km wanaume wote ni wabaya kiasi hiko kunawanaume ni wanaume haswa
Akikupa MIMBA huyo muhuni alafu Hana Hela ndyo utazidi kuenjoy zaidiIla wahun ata asipokupa hela unakuwa ume injoy vilivyo
Na Mimi nikiwa kama mwanaume siwezi kujisemea ukamilifuNa wewe umeteleza?
Kiukweli wanaume mmebaki wa kuhesabia tuKwenye jamii yetu ya Sasa kuna pahala wanaume tumejikwaa......
Uanamume unapitia nyakati ngumu kwa kuwa sisi wanaume wenyewe tupo mbali na uanamume wenyewe......Sasa hivi wanawake hawajivunii kuwa na waume kwa kuwa tofauti pekee wanayoiona baina Yao ni maumbile tu ya sehemu nyeti..........
Tunaupeleka wapi uanamume hali ya kuwa vijana wa kiume wanawaza kutunzwa na wanawake badala ya wao kuwatunza wanawake.......??
Tunaupeleka wapi uanamume hali ya kuwa huko majumbani wanaume tunashindwa kuzisimamia na kuziongoza familia zetu.....??
Ndio maana wanawake wanadai usawa kwa hawaioni nafasi ya mwanaume kwenye maisha yake zaidi ya haja za kimwili ambazo Siku wanajifanyia wenyewe.........??
Wanaume wenzangu kuna sehemu tumeteleza turudi nyuma na kutafakari
Kwa mantiki hii ni advantage kwenu wanawake kupindua meza muanze kuwatongoza wanaume mnaohisi ni wanaume wa kweli ambao wamebakia wachacheKiukweli wanaume mmebaki wa kuhesabia tu
Sijui Nini kimesababisha haya
Mpwayungu Village wa kikeSawa ila mimi siachi
😂😂😂Mpwayungu Village wa kike
Mngekuwa wote mna mawazo haya na kuyaishi hakika dunia ingekuwa ni sehem salama sana kuishi.Ila unawaponda sana wanaume be positive ukiwaza mema nayo yatakufuata
sidhani km wanaume wote ni wabaya kiasi hiko kunawanaume ni wanaume haswa
Sema na wewe !Kwenye jamii yetu ya Sasa kuna pahala wanaume tumejikwaa......
Uanamume unapitia nyakati ngumu kwa kuwa sisi wanaume wenyewe tupo mbali na uanamume wenyewe......Sasa hivi wanawake hawajivunii kuwa na waume kwa kuwa tofauti pekee wanayoiona baina Yao ni maumbile tu ya sehemu nyeti..........
Tunaupeleka wapi uanamume hali ya kuwa vijana wa kiume wanawaza kutunzwa na wanawake badala ya wao kuwatunza wanawake.......??
Tunaupeleka wapi uanamume hali ya kuwa huko majumbani wanaume tunashindwa kuzisimamia na kuziongoza familia zetu.....??
Ndio maana wanawake wanadai usawa kwa hawaioni nafasi ya mwanaume kwenye maisha yake zaidi ya haja za kimwili ambazo Siku wanajifanyia wenyewe.........??
Wanaume wenzangu kuna sehemu tumeteleza turudi nyuma na kutafakari
Kuna mwanaume mbaya mmoja alimtenda huyu, si bure 🤣 kila siku kuwakanda huku lazima pawepo sababu.Depal nlikuomba umtafutie huyo mwenzio kazi ya kufanya au ikibidi umtafutie wataalamu wa saikolojia..
Haiwezekani kila siku ni kukejeli wanaume.
Yaani hakuna asopotia misukosuko katka mahusiano na hata maumivu lakin mwenzetu hapana aisee 😂😂😂Kuna mwanaume mbaya mmoja alimtenda huyu, si bure 🤣 kila siku kuwakanda huku lazima pawepo sababu.
Aje huku Sindiga tutafute mafuta
Wanasema wanaume wote ni dog. Ila wa mwenzetu hapa atakuwa alikuwa ni kijiko, amemchota chota sana ndio maana hajamsahau 😂Yaani hakuna asopotia misukosuko katka mahusiano na hata maumivu lakin mwenzetu hapana aisee 😂😂😂
SawaNa Mimi nikiwa kama mwanaume siwezi kujisemea ukamilifu
Anapata anaemstahili kutokana na jinsi alivyo.Kwakweli mm sijawahi kuthibitisha haya kuanzia kwenye familia babayangu alikuwa baba Bora mno Kwa familia Kwa ankozangu pia ni wanawajibika ipasavyo kwenye familia zao wanafanya kilakitu Kwa watoto wao na wakezao, kwenye mahusiano yangu pia nakutana na wanaume wema pia wanaowajibika na nasikilizwa so mtoa mada anapata toleo gani Bado sijaelewa