vipi kuhusu tamaduni zao......?.....
mziki na vyakula vyao......?....
Unataka kwenda?
ina maana umewasahau wa kwetumkuu hapo no.9 ilikuwaje kwa muda wa cku 6 watoto wakutwe hai..maelezo tafadhali
mambo mengi wakwetu..kuna kusahau pia...#ntebya twighwe weito#ina maana umewasahau wa kwetu
Kama ningepata wasaa......ningependa kwenda Mexico......Colombia na Brazil..........
ShangaaMarekani yaani bunduki unanunua kama kunua vitu vingine vya matumizi ya nyumbani halafu wanalialia gun violence
wanakula kila kitu, wanamilo zaidi ya 365 yaani kila siku na mlo wake ukipendavipi kuhusu tamaduni zao......?.....
mziki na vyakula vyao......?....