mtimkav
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 1,034
- 662
Habarini wakuu.. kumekuwa na ongezeko la watu kupenda kunywa hiyo juice ingawa sijajua ni kutokana na umaarufu au kufata mkumbo bado sijajua
Hoja yangu hapa ni mazingira ya utengenezaji ukianza na mashine yenyewe ipo tuu nje nzi,vumbi, vyote vinaipata, mtengenezaji mwenyewe ndo kabisaa majanga mkono huo huo wa kukamulia, ndo unafuta meza,.unapokea chenchi ila kubwa kuliko ni hizo glass za kunywea sasa yani glass hazioshwi vizur ni zinawekwa kwenye maji na kutolewa kibaya ni kua hayo maji hayabadilishwi!
Sasa watu wa dar ndo wananishangaza mtu anakuja na gari la gharama alafu ananunua juice kwenye mazingira yale sasa ni kutojua au watanzania tushazoea uchafu
TUWE MAKINI KWA HILO
Hoja yangu hapa ni mazingira ya utengenezaji ukianza na mashine yenyewe ipo tuu nje nzi,vumbi, vyote vinaipata, mtengenezaji mwenyewe ndo kabisaa majanga mkono huo huo wa kukamulia, ndo unafuta meza,.unapokea chenchi ila kubwa kuliko ni hizo glass za kunywea sasa yani glass hazioshwi vizur ni zinawekwa kwenye maji na kutolewa kibaya ni kua hayo maji hayabadilishwi!
Sasa watu wa dar ndo wananishangaza mtu anakuja na gari la gharama alafu ananunua juice kwenye mazingira yale sasa ni kutojua au watanzania tushazoea uchafu
TUWE MAKINI KWA HILO