Usichokijua kuhusu juice ya miwa

Usichokijua kuhusu juice ya miwa

Pale round about ya michenzani Zanzibar watu wanakuja na dumu za Lita 20 kuchukua.. Piteni pale wa safi kwa Zanzibar na dar pale mtaa wa Libya jamaa wasafi na mtaa wa jamhuri karibu na kitumbini..ukishindwa kula muwa kamili na fundo zake. Cane sugar juice ina raha yake haswa iwe na ndimu na tangawizi.
 
Kwani anayekunywa ni gari au mtu wengine mafundi garage wanakua wanatest magari . hila juice ya miwa siachi ata itengenezewe chooni chezea juice ya miwa weyee
 
na siku ukiona mikate inavyoandaliwa sijui utasemaje!
 
no kawaida tuu, kama vile pombe za Vasili mbege, chimpumu, ulanzi n.k.
 
Nilijua ungeorodhesha madhara au waliodhurika.
 
Nisinywe shalubati ya miwa kisa gari langu! Nyie ndo mkinunua magari mnakuwa watumwa wa hayo magari.
 
Kwahiyo wewe unapokunywa hiyo juice ukimuona mtu ana park gari zuri na kununua hiyo juice basi unajua ni mtu wa dar!!. Wewe kwenu wapi. Au huwa unawauliza???.

Unawezaje kununua gari la mil 20 alafu unashindwa kwenda sehemu classic ya kupata hiyo uduma hadi uende vichochoroni au kwenye vibanda pembeni mwa barabara
 
Hizo sehemu unazoziita classic utaenda nunua juice kwa tsh. 3000 na matokeo yake ukapate fleva ya muwa baada ya muwa wenyewe, maana muwa mmoja utaachanganywa na Lita 20 za maji na sukari nyingii uswazi ndio kila kitu.
 
JUICE-YA-MIWA.jpg
 
Pale kituo cha mtaa wa kongo, kuna juice ya miwa wanamix na ndimu ...
Kwa ujumla wanajitahidi usafi, kuna mrija .
 
Kuna siku nilikunywa juice pale mamzese mida ya saa tatu usiku......dah!!!.....asubuhi tumbo lilivuruga mbaya mpaka nikashindwa kwenda kibaruani...siku hiyo ilibidi nishinde nimevaa msuli bila nguo ya ndani ili kuokoa muda wa kuvua nguo nikifika makao makuu maana speed yake ni kali unaweza ukayaacha mlangoni......ilikuwa noumer sana......
 
Hizo sehemu unazoziita classic utaenda nunua juice kwa tsh. 3000 na matokeo yake ukapate fleva ya muwa baada ya muwa wenyewe, maana muwa mmoja utaachanganywa na Lita 20 za maji na sukari nyingii uswazi ndio kila kitu.

kama unachosema ni kweli sema ni wapi sio kuongea kwa kufurahisha baraza ,aaah watu wasibuni miradi ??!!eti wanatia sukari mara maji lita 20 huo ni uzandiki kama hutaki kunywa tuachie wanywaji tupo
 
Kuna siku nilikunywa juice pale mamzese mida ya saa tatu usiku......dah!!!.....asubuhi tumbo lilivuruga mbaya mpaka nikashindwa kwenda kibaruani...siku hiyo ilibidi nishinde nimevaa msuli bila nguo ya ndani ili kuokoa muda wa kuvua nguo nikifika makao makuu maana speed yake ni kali unaweza ukayaacha mlangoni......ilikuwa noumer sana......
tumbo lako lilikuwa chafu juice ya miwa husafisha tumbo na figo kamaa hujui siku nyingine kanunue juice ya miwa special ambayo haijachanganywa na ndi mu wala barafu changanya na dawa inaitwa MJAFARI kijiko kimoja kwa lita moja tumbo lako lisafishike zaidi
 
''Sasa watu wa dar ndo wananishangaza mtu anakuja na gari la gharama alafu ananunua juice kwenye mazingira yale sasa ni kutojua au watanzania tushazoea uchafu…''

Nitaanza kwenda kwa baiskeli..................
 
Back
Top Bottom