Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,429
- 108,580
Unawezaje kununua gari la mil 20 alafu unashindwa kwenda sehemu classic ya kupata hiyo uduma hadi uende vichochoroni au kwenye vibanda pembeni mwa barabara
Hakika wewe ni mgeni hapa mjini, mbona mkuu wa Uhasama wa Taifa bwan Othman tunagonga naye supu ya pweza Coco kwenye vibakuri vya plastic?