Usibishe huu ndo ukweli

Usibishe huu ndo ukweli

Kiufupi watanzania ni wafupi especially wa kanda za pwani uko ni wafupi sana warefu wengi wanapatikana kanda ya ziwa rukwa kidogo na arusha

Ila kiusawa mwanamke hatakiwi kuwa mrefu sana zaidi ya mwanaume hata ukiangalia wazungu utakuta asilimia kubwa ya wanawake ni wafupi kulinganisha na wanaume
Wazungu!?kwann wazungu???
 
Habari za jumapili wana JF I hope iko poa

Hivi kwa nini wanawake wengi ni wafupi hivoo jamani ?asilimia 85% ya wanawake ni wafupi.
Mimi Nina urefu wa Futi 6.8 wanawake kama hawa ukiwatafuta hapa Tanzania wanahesabika labda wanywaruanda ndo warefu wanawake wengi range yao ni Futi 4.5,5.5, mpka 5.8 sasa Mimi Nina Futi 6.8 Nina msichna Wang ana Futi 5.8 wewe huoni nmemuacha sana???. Kwa nini wanawake hamrefuki???
Utafiti wako ulikuchukua muda gani mkuu hadi kupata hizo %
 
Warefu wapo mengi sana.. Inategemea upo pande zipi...
 
Cjakuelewa babuu...yani wazungu Na ufupi vinahusiana vipi?
Una kichwa kigumu soma vizuri nilitolea mfano ujue kwamba kwa dunia nzima race zote wanawake wengi ni wafupi ukilinganisha na wanaume
 
Ukiona mtu mfupi huyo anatakiwa awe mkulima maana yupo karibu zaidi na ardhi. Mtu mrefu huyo awe mfugaji au fundi wiring.
 
Habari za jumapili wana JF I hope iko poa

Hivi kwa nini wanawake wengi ni wafupi hivoo jamani ?asilimia 85% ya wanawake ni wafupi.
Mimi Nina urefu wa Futi 6.8 wanawake kama hawa ukiwatafuta hapa Tanzania wanahesabika labda wanywaruanda ndo warefu wanawake wengi range yao ni Futi 4.5,5.5, mpka 5.8 sasa Mimi Nina Futi 6.8 Nina msichna Wang ana Futi 5.8 wewe huoni nmemuacha sana???. Kwa nini wanawake hamrefuki???

Sio kweli hata kidogo.
Urefu wa MTU hauna uhusiano na Sex ya MTU.

Kuna wadada warefu kama akina Kerry Hilson wengi sana mitaani.


Japokua wanawake wengi hawapendelei kua na mahusiano na vijeba. Wengi watataka angalau hata akivaa "high heels" bado sikupite.


Kapo kama ya akina JACK WOLPER na HARMONIZE ,Amber na HARMORAPA wana stories tofauti na hii ya kwako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom