Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,682
- 45,597
Sawa,.mwenye kichwa chepesi!!!!!Una kichwa kigumu soma vizuri nilitolea mfano ujue kwamba kwa dunia nzima race zote wanawake wengi ni wafupi ukilinganisha na wanaume
Sawa,.mwenye kichwa chepesi!!!!!Una kichwa kigumu soma vizuri nilitolea mfano ujue kwamba kwa dunia nzima race zote wanawake wengi ni wafupi ukilinganisha na wanaume
Lakini si urefu![]()
![]()
![]()
huo urefu wa kuongezwa
ha ha ha wasema ukijijkunja wakati umelala unaukunja utumbo ni hatariNajikunjaga mkuu
Atanizidi Mimi Nina 6'8 futi?mkuu mbona warefu wapo wengi sana... siku moja nimeingia pale jitegemee nimekutana na demu anacheza netball yaan huwez amini ule mpira yeye harushi kwenye nyavu anafanya kupeleka tu mkono kama anafungua bomba la maji... raia wanahesabu goli...!!!!
umeachwa mbali sana... we unajua nyavu za netball zinapowekwa!Atanizidi Mimi Nina 6'8 futi?
Duuuh huyo kanizidi basiiiumeachwa mbali sana... we unajua nyavu za netball zinapowekwa!
sasa zipo begani kwake..!!! jipime sasa!
Msaada pleaseUlicho kiandika unakijua au umeandika ili uonekane umeandika
Mleta maada ni kati ya wale vi.......zaMsaada please
Mi hata sijaelewa mada
Ufafanuzi puliiiiiiiiiiiiiiizzzzzz
watu wa congo bwana...DRCMleta maada ni kati ya wale vi.......za