Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Huo ndio ukweli Mchungu wanaume wenzangu, tuangaike kutafuta pesa sio kuangaikia mademu,
Ukiwa na pesa hautaomba msamaha ata kama ulikuwa unakosa, Mwanamke anavumilia shida kwa muda mchache tu ila hawezi kudumu ndani yake. Atasema anakupenda kwa sababu unamchakata vizuri lakini akija mwenye pesa ata kama anatumia kidole atakuacha na kwenda zake.
Tutafute pesa mademu wazuri tutawakuta tukiwa nazo, Sasa hivi tuwachakate tu na kusepa kwenda kutafuta shekeli.
Cc Zero IQ
Ukiwa na pesa hautaomba msamaha ata kama ulikuwa unakosa, Mwanamke anavumilia shida kwa muda mchache tu ila hawezi kudumu ndani yake. Atasema anakupenda kwa sababu unamchakata vizuri lakini akija mwenye pesa ata kama anatumia kidole atakuacha na kwenda zake.
Tutafute pesa mademu wazuri tutawakuta tukiwa nazo, Sasa hivi tuwachakate tu na kusepa kwenda kutafuta shekeli.
Cc Zero IQ