Ushuhuda kutoka kwa wanandoa waliowahi kuachana, hasa mliokuwa na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya

Nashukuru sana. Mume wangu alikua kila kitu changu...sahivi ninavyomuona...kamwe na katu siwezi kurudisha lile pendo...nimejeruhika na kuathirika kimwili, kiroho na kiakili..
Na hata Yesu alimsamehe Adamu lakin hakurudi bustani ya Eden, aisee Kama kweli unawapenda wanao furaha yako ni muhimu sanaa. Imagine angekua amefariki ungefanyeje?! Usijiendekeze please. Ukibaki utajikuta umereact kwa style nyingine hata ya kucheat afu atakuja buree
 
Na hata Yesu alimsamehe Adamu lakin hakurudi bustani ya Eden, aisee Kama kweli unawapenda wanao furaha yako ni muhimu sanaa. Imagine angekua amefariki ungefanyeje?! Usijiendekeze please. Ukibaki utajikuta umereact kwa style nyingine hata ya kucheat afu atakuja buree
I mean atakuua buree
 
Mi mwenyewe simuoni kama anajutia...na bado hajaacha licha ya mapito haya..hapa naona ameshakengeuka...nimelia machozi mengi sana
Dada wala usilie, hayo yote ni mapito mumeo akifika kati ya 56yrs - 65yrs hataweza kabisa hivyo vituko vya kuchepuka, itabidi aje kukupigia magoti kwani atakuwa tegemezi.
Huenda anakutia aibu huko mitaani kwa kuwavulia vibinti na marafiki zako
Kuna jirani yangu alituita km mashaidi kwa viongozi wa Dini kusuluhisha aibu aipatayo toka kwa mumewe kwani ana kibamia sasa wanamsanifu yeye anaona misifa, ilibidi mume ajione si kidume na akaacha
Tunza watoto mumeo atarudi tu kuna magonjwa, Ukimwi, tezi dume
 
Nawasalimu sana ndugu wana JF.

Kwakweli lengo la ndoa ni kuishi pamoja kwa uaminifu na upendo na kulea familia pamoja.

Nafaham humu kuna watu wenye calibre tofauti na uwezo wa hali ya juu kupambanua mambo kutokana na experience...

Naomba experience yenu, je ilikuwa rahisi kuanza upya? Kwenda mahakamani kutoa talaka rasmi imeshindikana kabisa..ninachotaka ni kutengana kwa muda napo imeshindikana..hapo more than three children kwenye ndoa wapo involved, ten years na wengine below .simchukii kabisa mume lakini forgiving and forgetting what happened nashindwa kabisa..imani haipo Yarabi tena...nimekata tamaa kabisa.

Imefikia kipindi natafuta kazi mikoani ili nipone moyo...jamani wenzangu mliwezaje...sijashare na ndugu yangu hata mmoja....nikiwaeleza kila kitu watamchukia na they will never forgive him.

Nimeamua kumstiri mume wangu..sijaandika kila kitu ila baadhi yenu ni wanaume ila mngeumia sana na kutoa chozi...ndoa yetu ni ya serikali...naomba experience yenu especially kwa nyie mliokua na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya
picha
 
Dada wala usilie, hayo yote ni mapito mumeo akifika kati ya 56yrs - 65yrs hataweza kabisa hivyo vituko vya kuchepuka, itabidi aje kukupigia magoti kwani atakuwa tegemezi.
Huenda anakutia aibu huko mitaani kwa kuwavulia vibinti na marafiki zako
Kuna jirani yangu alituita km mashaidi kwa viongozi wa Dini kusuluhisha aibu aipatayo toka kwa mumewe kwani ana kibamia sasa wanamsanifu yeye anaona misifa, ilibidi mume ajione si kidume na akaacha
Tunza watoto mumeo atarudi tu kuna magonjwa, Ukimwi, tezi dume
Nashukuru sana ndugu..uliyoandika ni kweli kabisa..wanajisahau kua kuna kesho ambayo wote hatuijui..
 
Kwanini unaogopa kuwashirikisha ndugu zako kwenye hili tatizo!? Kwanini unataka waendelee kumuheshinu huyo mumeo jina wakati unajua fika hastahili heshima toka kwa ndugu zako?
😳😳😳
Kwakweli naogopa haswa kuanza upya..idadi ya watoto nilionao na sina ajira...nakata tamaa kabisa
 
Yaliyotokana na tukio yalipelekea tukio la ugomvi mkubwa mkubwa sana kama two weeks ago.. Ndio maana. Naogopa kueleza sana maana mashuhuda iam sure wengi ni jf members kutokana na neighbohood ugomvi uliotokea...wengine wanaweza kuja na hints hapa...mimi nimeamua kujitenga mbali na muhusika ili moyo upone..ila bado imekua ngumu kuna watoto
Ondoka acha ujinga
Utakufa kwa maumivu ya moyo hao watoto utawalea kaburini?
Kwani wee was kwanza ?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Furaha ndo kila kitu. Mimi mwenyewe ndoa imenishinda. Nimesepa na wanangu na nina furaha acha kabisa. Si kauliza tulio na uzoefu. Ndo nimempa uzoefu.Wanaume wa bongo wenyewe full michepuko,Maugomvi. Bora kuwa mwenyewe kuliko kwenye ndoa iliyojaa masikitiko.
Mmmh, jimbo liko wazi!
 
Fanya maamuzi kiroho mbaya, otherwise utaendelea kulalamika kila siku. Sepa kaanze maisha upya..talaka itakuja tu.
 
Nawasalimu sana ndugu wana JF.

Kwakweli lengo la ndoa ni kuishi pamoja kwa uaminifu na upendo na kulea familia pamoja.

Nafaham humu kuna watu wenye calibre tofauti na uwezo wa hali ya juu kupambanua mambo kutokana na experience...

Naomba experience yenu, je ilikuwa rahisi kuanza upya? Kwenda mahakamani kutoa talaka rasmi imeshindikana kabisa..ninachotaka ni kutengana kwa muda napo imeshindikana..hapo more than three children kwenye ndoa wapo involved, ten years na wengine below .simchukii kabisa mume lakini forgiving and forgetting what happened nashindwa kabisa..imani haipo Yarabi tena...nimekata tamaa kabisa.

Imefikia kipindi natafuta kazi mikoani ili nipone moyo...jamani wenzangu mliwezaje...sijashare na ndugu yangu hata mmoja....nikiwaeleza kila kitu watamchukia na they will never forgive him.

Nimeamua kumstiri mume wangu..sijaandika kila kitu ila baadhi yenu ni wanaume ila mngeumia sana na kutoa chozi...ndoa yetu ni ya serikali...naomba experience yenu especially kwa nyie mliokua na watoto mkaamua kuacha kila kitu na kuanza upya
UNATAKA NDOA IVUNJWE KWA SABABU ZIPI? KWANINI HUWEZI KUMSAMEHE MUME WAKO, KWANI NDUGU ZAKO WANAHUSIKA VIPI NA NDOA YAKO? WEWE HUJAWAHI KUMKOSEA MUMEO HATA KAMA HAJAWAHI KUJUA? TAMBUA MUNGU NI WA HAKI, HATA KAMA NDOA IKIFANIKIWA KUVUNJWA ALIYESABISHA KUVUNJIKA LAZIMA ILE KWAKE HUKO AENDAKO.
 

Wewe tulia wewe -
Huna hoja.

Hakuna suluhu inapatikana kwa kufichaficha taarifa za msingi.

Mtoa mada, tumia codes kuwasilisha tukio,
Ili malejendari tuliowahi kutalikiana zaidi ya mara mbili tukupe uzoefu.
Nadhani nia ya mtoa mada ni kuweza kufahamu wengine waliwezaje kumove on...hata akituelezea yaliyomsibu haitasaidia.
 
We mdada pole sana, lkn ukiondoka uwezo wa kutunza hao watoto unao?. Au upo tyr uache wanao waje walelewe na wanawake tofauti tofauti?
Mi nafikiri km anakuhudumia na kuhudumia watoto we baki hapo but badilika. Mambo ya kulia was kila kitu oo furaha yangu achana nayo. So unaondoka uantegemea utapata mwanaume mwingine tena akupe furaha? Km hakuna abuse ya kukutishia uhai wako baki lea watoto, usidanganyike dada nje huko sio km unavyopafikiria, utakuja pamiss sana nyumbani kwako kwa huyo mmeo mzinzi.
Karycee kakishauri vzr sana. Ndani humo inatafuta furaha ambayo umeikosa kwa mumeo, badilika sasa japo ni ngumu lkn ukikomaa itaweza. Ishi hapo kwa ajili ya wanao na wewe wape furaha wakupe furaha usikae unanyongeanyongea tu unawaza mume ni ngumj kutoa furaha ndani ya nyumba.
Unarudi kwenu unaanza kuwa tegemezi kwa wazazi, utachoka hata wewe umeshazoea kwako, mwishoe utageuka "mlezi wa wana "kwa.kutafuta furaha kwa wanaume.
Pole kwa gazeti
 
Stamina ya familia ipo kwenye uvumilivu wa mama.Wazazi wetu wamefanikiwa mpaka kuzeeka pamoja kwa sababu ya mama kukomaa haimanishi kuwa madingi yalikuwa hayachepuki la hasha mama yangu kalea hadi matoto ya nje ya dingi na maisha bado yanasonga.TATIZO LA WANAWAKE wa kizazi chetu cha kuangalia tamthilia na celebrates wanaishije mnajifanya mna maisha kama wazungu(wakina Jenifer Lopez) ndo maana stamina hamna.
 
Stamina ya familia ipo kwenye uvumilivu wa mama.Wazazi wetu wamefanikiwa mpaka kuzeeka pamoja kwa sababu ya mama kukomaa haimanishi kuwa madingi yalikuwa hayachepuki la hasha mama yangu kalea hadi matoto ya nje ya dingi na maisha bado yanasonga.TATIZO LA WANAWAKE wa kizazi chetu cha kuangalia tamthilia na celebrates wanaishije mnajifanya mna maisha kama wazungu(wakina Jenifer Lopez) ndo maana stamina hamna.
Nashukuru sana. Je umeoa? Kama hapana nakuombea uje kupata ndoa njema..kama ndio umeoa Mungu aendelee kuwatunza na kudumisha amani yenu
 
Back
Top Bottom