Optimists
JF-Expert Member
- Oct 17, 2021
- 278
- 686
- Thread starter
- #61
Nimekuelewa Mkuu kwa mazingira Yale nilikua babati vijijini na fursa iliyopo kule ni kilimo pia sikua na mtaji.Hatuwezi kufanana mkuu, wapo watakaoshindwa na wapo watakaofanikiwa.
Pia wapo walioshindwa na wapo waliofanikiwa. Ila cha muhimu ni kwamba business sio lelemama na ni kitu kinachohitaji Strong strategy, commitment, nguvu, muda na akili ya kutosha.
Hiyo kazi usingeiacha bali ungekuwa unafanya business na kazi pia means hata business ikifail basi una sehemu ya kushikia.
Then unatulia kidogo alafu unasimama tena mpaka kieleweke. Hii ndio maana ya Strategy. naweza sema ulikurupuka na hukujipanga kwa consequences za maamuzi yako, lakini cha muhimu ni kwamba umejiunza.
Alafu kama ulikuwa unapenda business kwanini usingesoma courses ambazo zinaegemea business moja kwa moja kama Economics na MBA?
Maamuzi ni yako na chochote kinaweza kutokea.
Wanasema if you're tired of starting over then stop giving up.
Ukiongeza pia kutoka chuo sikua na jicho Kali la kuchungulia fursa.
Changamoto ya vijana wengi haswa waliomaliza chuo ni kukosa mentor sahii wa "kumdirect" kumuonyesha njia ya kupitia so tunapambana kwa njia yetu wengine wanafanikiwa humo wengine pia wanashindwa humo lakini pia nilichoelewa ukiachana na mtaji business is not for weak.