General Agents
Member
- Oct 7, 2015
- 93
- 60
Mkuu itoe hapa hapa....Ni makosa kama watu wa usalama wa taifa walioko bandarini bado ni wale wale wa awamu iliyopita.
Rais au Waziri mkuu aweke siku ya kukutana ikulu au popote na wanyetishaji habari muhimu kama hizi. Hata mimi nitampa yangu moja ya uhakika.