Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,749
- 71,117
We jamaa acha kuonyesha uwezo mdogo wa kufikiri katika mada muhimu, unaishushia hadhi mada hii. Hili sio suala la ukali bali ni kufuata sheria na sheria ndio kali katika mambo kama haya. Mtu anaitwa dikteta pale anapafanya jambo nje ya sheria na hasikilizi mawazo ya wengine. Au hujui hata maana ya neno Dikteta?Nahapa utashangaa
Rais anapokuwa mkali watu vilaza wanaanza kusema eti dikteta
Jamani mengine yanakera
Hebu usitutoe katika mada na siasa zako hapa. Hili la Bandari nadhani sasa alishughulikie mwenyewe Magufuli maana inaonyesha hata watu ambao PM hawezi kuwashughulikia (kama mawaziri na wateule wengine) wanahusika hivyo aje mwenyewe mwenye uwezo wa kuwatimua.