Ushuhuda: Freeman Mbowe ni kiongozi dhaifu

Ushuhuda: Freeman Mbowe ni kiongozi dhaifu

So what? Wewe uko CCM bado unajitetea dhidi ya Ufukuzwaji wako CHADEMA? Mbowe ni dhaifu. Sawa Tunakubaliana na wewe Mbowe ni dhaifu. Naomba nijibu maswali yafuatayo:
1. Kwanini udhaifu wa Mbowe unaifanya CHADEMA inaendelea kuka kwa kasi kwa kupata idadi ya KURA za Urais, idadi ya wabunge, madiwani na mameya.
2. Kwanini udhaifu wa Mbowe unamyima usingizi Mh.Rais wa Tanzania mpaka anawafungia Mbowe na wenzake kufanya mikutano? anamuhofia dhaifu?
3. Kwanini udhaifu wa Mbowe unawafanya watu shupavu kama wewe Shonza, Zito na wenzako kuondoka CHADEMA?
4. Kwanini ninyi mashupavu mliofukuzwa CHADEMA mlishindwa kumuondoa Mbowe kwenye uenyekiti wa Chama cha CDM?
5. Kwanini ninyi mlio mashupavu msianzishe chama chenu cha Upinzani na kuonyesha udahaifu wa Mbowe kwa kuipiku CHADEMA?
Majibu Tafadhali
Nchi hii tutatoka kweli?
 
Baada ya kusoma, maandiko ya shonza nimegundua ni kwanini hajui hata hicho kiapo kinaapwa vipi kwa mujibu wa kifungu cha sheria aliyoinukuu.

Hivi heading ya post yako ina reflect contents zake kweli?
Ni kweli wewe una on going PhD kama unavyodai kwa uwezo huu ulioonesha hapa kweli??!

Ni ushauri wangu tu kwamba wote uliowa underrated humu kama tundu lisu baregu heche na hata hao bavicha huna unayestahili hata kulegeza gidamu ya viatu vyake, ningekushauri ukae kimya.

Najua unayo personal vendetta na mbowe, lakini kunyamaza nako ni jibu kuliko kujionesha umzigo wako hata huko uliko sasa.
 
U must feel sorry for what u have as a leaders huko kwenu opposition, maana kama isingelikuwa kwa juhudi za watawala Tanzania would stink and sink..!!
Are you a CCM left wing goer,dont you?
Please stop your gaggling on CHADEMA's affair!

Wewe sasa ni kiongozi wetu,ifikie hatua uanze kujinyambulisha zaidi kwa CCM,chama chako!
Huko CHADEMA uliisha ondoka,tujifunze kusonga mbele
 
Baada ya kusoma, maandiko ya shonza nimegundua ni kwanini hajui hata hicho kiapo kinaapwa vipi kwa mujibu wa kifungu cha sheria aliyoinukuu.

Hivi heading ya post yako ina reflect contents zake kweli?
Ni kweli wewe una on going PhD kama unavyodai kwa uwezo huu ulioonesha hapa kweli??!

Ni ushauri wangu tu kwamba wote uliowa underrated humu kama tundu lisu baregu heche na hata hao bavicha huna unayestahili hata kulegeza gidamu ya viatu vyake, ningekushauri ukae kimya.

Najua unayo personal vendetta na mbowe, lakini kunyamaza nako ni jibu kuliko kujionesha umzigo wako hata huko uliko sasa.
Sisi wananchi Wa jimbo la Hai tunawaomba Chadema mje muandamane usiku na mchana kudumisha democrasia.

Mbowe usitubague safari hii kwa sababu kila siku unapeleka maandamano Mwanza tu na kuacha Moshi.
 
kama phd zenyewe ndo hizi.....yaani dada angu umeshindwa kutoa hoja bila kutukana?? shame on you dada and your phd
 
Hivi ni Masters on Sociology au Masters in Sociology, hivi ni Phd on progress au Phd: in progress hivi ni vitu vya primary huko lakini mtu kafika mpaka chuo kikuu lakini anashindwa kujua tofauti....
 
Ama kweli elimu haina mwisho,nimekaa miaka yote hii sijui maana ya Pentecoste!
 
Sisi wananchi Wa jimbo la Hai tunawaomba Chadema mje muandamane usiku na mchana kudumisha democrasia.

Mbowe usitubague safari hii kwa sababu kila siku unapeleka maandamano Mwanza tu na kuacha Moshi.
Is there any relevance with my comment you have quoted?!
 
Hivi kwanini wanawake humtukana mbowe hadharani nayeye anakuwa mpole kama pilipili hoho.
 
Hivi ni Masters on Sociology au Masters in Sociology, hivi ni Phd on progress au Phd: in progress hivi ni vitu vya primary huko lakini mtu kafika mpaka chuo kikuu lakini anashindwa kujua tofauti....
Hao ndiyo wanasiasa wa ccm full of longo longo
 
Uzuri wa Freeman anapiga za uso tu... Watanunuliwa haohao ma Dr., sijui Prof, lakini sio Freeman.

Na wanakomaa Freeman aondoke ili waweke kibaraka wao.
 
Hivi kwanini wanawake waliohama cdm humtukana mbowe hadharani nayeye anakuwa mpole kama pilipili hoho.
 
Huu Uharo bado upo! ulitumiwa mno na vidume. kakojoe ukalale mdada huna msaada humu labda kwa hao hao.
 
Hivi wewe Juliana ni size ya Mbowe kweli? tafuta Diwani dhaifu saana ndani ya CDM ndie atakuwa size yako! Wewe ni dhaifu mno mno na kwa kujua udhaifu wako 'kuna kitu' ulikuwa unakitumia kama mtaji wako kupanda na bado ukatelekezwa! acha utoto!
 
Pamoja na ukweli kwamba wahadhiri wa chuo chetu chenye sifa lukuki kukataa agizo la mwenyekiti wako wa Chama kukagua Vyeti vyao vya kidato cha nne bado naona kuna haja!

A) Juliana wewe ni binti uliyekuwa blinded na ambition ambaye hata unachokitaka hujui, huenda hata kwa huyo mume umeenda tu kwa kuwa wenzio wenye umri kama wako waliolewa na wewe ukafuata mkumbo!

B) Unajitanabaisha kwamba una elimu,tena ya Sociology ambayo pamoja na mambo mengine inatakiwa uwe na ability ya kutambua chimbuko la matatizo ya jamii yako, ili uwezo kuitoa jamii kutoka hatua moja kwenda nyingine na kuzuia viashiria vingine kuibuka kwa kutoa elimu ya kujitambua. Badala yake umeendelea ku take advantage ya kutojua kwa jamii inayokuzunguka kuzidi kuwarudisha kwenye tope badala ya kuwaacha hata watumie common sense kujinasua!

C) Umeshindwa kuainisha ni kwa namna gani udhaifu wa Mbowe asiye wa chama chako umekuwa kero kwa Chama chenu CCM hadi kushindwa kutatua kero za wananchi na badala yake mkizidishia kero wananchi kwa kuwa watumishi wa propaganda kwenye chama kingine mkitumia muda na rasilimali za chama tofauti!

D) Umeshindwa kutambua unaoita udhaifu wa Mh. Mbowe ndiyo umesababisha serikali ya chama ambacho wewe ni mchepuko kwa sasa ikashindwa kutekeleza ilani yake na badala yake ikitekeleza ilani ya Chama ambacho wewe usiyeijua CCM unamwona mwenyekiti wake ni dhaifu ilihali watu waandamizi wa chama chako hawaishi kuweweseka wasikiapo jina lake!

E) Nakufananisha na askari uliyeingia vitani kujifunza kushika bunduki wakati hakuna vita ya majaribio,so ni vyema ukahifadhi akiba ya maneno yako ya shombo maana siku moja utatafuta akiba yake ukose. Wewe umeamua kuwa mtumwa, its fine, wengine wamekataa utumwa haina haja ya kutumia muda mwingi kuwaeleza waliokataa utumwa jinsi bwana wako anavyokutenda vyema japokuwa ni mtumwa! Wewe endelea tu time will tell!
 
Kwa hiyo kama Mbowe ni Dikteta na sisi unataka kutuhalalishia Udikteta wa Magufuli?

Sisi tunataka demokrasia kwa mujibu wa Katiba. Kama Katiba inavunjwa hatuna budi kukemea bila kujali ni Magufuli au Mbowe.

Kosa moja halihalishi kosa jingine.

Wewe Shonza ndio weak na unaonesha una personal conflict na Mbowe.
hawezi jibu
 
Back
Top Bottom