Ushuhuda: Freeman Mbowe ni kiongozi dhaifu

Ushuhuda: Freeman Mbowe ni kiongozi dhaifu

Hawezi kujibu bibi shonza
Mtu yeyote anaye mtuhumu Mh Mbowe namshangaa sana na inawezekana anaupungufu wa akili (Zezeta ) au ndo kwanza anaanza kujifunza siasa. Tanzania inavyama vyenye wenyeviti zaidi ya 22, hivyo njoo na data halisi tueleze ni mwenyekiti gani tokea awe mwenyekiti wa chama husika amepoteza au amepata. Kwa takwimu Mh Mbowe tokea awe mwenyekiti wa chama kilichokuwa hakifahamiki kabisa kwa watu mwaka 2004( watu wengi walikuwa wanajua vyama vya siasa tanzania ni CCM, TLP, CUF, UDP na NCCR Mageuzi tu) kwa miaka 10 tu ya uongozi wake CHADEMA kimekuwa chama chenye nguvu kuliko hata Chama tawala yaani CCM, kila uchaguzi wabunge wanaongezeka ( pekee tanzania), Madiwani wanaongezeka (pekee tanzania), Wenyeviti wa mitaa na vijiji wanaongezeka (pekee Tanzania), Kura za wagombea Urais zinaongezeka (pekee Tanzania). Sasa kama angekuwa Dhaifu yote haya yangetokea. Mpeni Mh Mbowe haki yake , amefanya kazi kubwa sana Tanzania na sijui kama kuna Mwenyekiti atakuja kumfikia kwa mafanikio kwenye Chama chochote. Nasema leo wewe JS utalaaniwa kabisa , huwezi kumtukana mtu aliye leta mafanikio makubwa hivyo. Je Mh Mbowe baada ya kuwa Mwenyekiti 2004 angekiua kabisa chadema kama alivyofanya TLP, UDP, nk huo umaarufu unaokutesa ungeupata wapi? Naapa utalaaniwa kabisa hii ni sawa na kumtukana mama yako aliye kuzaa na kukulea kwa kuwa angeamua kukuua angekuua tu hivyo hivyo kwa Mbowe angeiua CDM sijui kama ungekuwa hapo ulipo wewe ******.
 
U must feel sorry for what u have as a leaders huko kwenu opposition, maana kama isingelikuwa kwa juhudi za watawala Tanzania would stink and sink..!!

Unakuja na porojo zilezile ambazo hazina mashiko,sisi tutaongea na mwenye mbwa wewe bado ni kakitu kadogo sana,hoja zako zitajibiwa na wenye viti wa mitaa.
 
Cdm imeingiliwa na mdudu unaitwa
Fuata mkumbo
Zidumu fikra za Mbowe hatakama ni Ugoro mtupu.

Vijana wengi CHADEMA hawatumii akili kitafakari anayo yaropoka Mwenyekiti wao.

Mbowe Hana uwezo kuiongoza cdm ya sasa
Anatumia ubabe

"Akili ndogo kuongoza Akili kubwa"
Ni kweli kabisa kwa sasa mbowe apumzike tu awaachie na wengine maana maji ni marefu kwa sasa.
 
"Viongozi wa sasa wa CHADEMA hawahoji, ni mazombi". Mwisho wa kunukuu.

Napenda kujua Mh J. Shonza huingii kwenye vikao vya CHADEMA, unajuaje kama viongozi wa sasa hawahoji.

Je, kwa tafsiri yako kiongozi mwenye "njaa" ana sifa zipi?

Kwenye mkutano mkuu maalum wa CCM viongozi wakuu walisema "lengo KUU la chama cha siasa ni KUSHIKA DOLA". Kama wapinzani ni dhaifu si ndio fursa kwenu ya kushika dola.
 
Cdm imeingiliwa na mdudu unaitwa
Fuata mkumbo
Zidumu fikra za Mbowe hatakama ni Ugoro mtupu.

Vijana wengi CHADEMA hawatumii akili kitafakari anayo yaropoka Mwenyekiti wao.

Mbowe Hana uwezo kuiongoza cdm ya sasa
Anatumia ubabe

"Akili ndogo kuongoza Akili kubwa"

Kama hana uwezo wa kuongoza nadhani ingekuwa ni furaha kwenu maana chadema ingekufa,lakini kwa hizi porojo inaonyesha kawashika makalioni.
 
Hilo lilikuwa kosa moja kubwa sana la kiufundi sijui nani aliwashauri kuchukua kinyesi chooni Na kukileta sebuleni.
Waliangalia faida ya mda mfupi, walisahu malengo ya mda mrefu
 
Ningeanzisha uzi Halafu nikapewa Za uso!, za pua!, za Kichwa! na za kila mahali nisingerudi kuanzisha uzi WA kijinga hivi,,lakini cha ajabu,juliana huwa anaweza kuvumilia Aibu zote,(kuna jina wanamwitaga mtu wa hivi kwenye siasa,, ambalo ni ka...b. wa kisiasa) ,pamoja na kuwa na PhD Lakini spelling Zake sasa!! Hatare,,
 
Kama hana uwezo wa kuongoza nadhani ingekuwa ni furaha kwenu maana chadema ingekufa,lakini kwa hizi porojo inaonyesha kawashika makalioni.

Ukiongoza Wanywa Viroba
Utajiona unaongoza watu!!

Mbowe haongozi watu lakini
Wenye kupima kila anacho kufanya
Nadhani hilo ndilo linalo muweka mpaka sasa.
Anajua anaongoza Akili za Viroba
Kila kitu yesi
 
Hv kwa nn mnapenda kudanganya umri nyie so called viongozii!!p
lloohh!!anza kwanza kusemà umri wako sahihi ndo umkosoe Mbowe!!
 
Kwa hakika CHADEMA kinazorota siku hadi siku. Ni aibu kubwa sana.
 
Ukiona mwanamke anamsema mwanaume aliyemwacha ujue bado anampenda,

Sasa wewe uko nje tayari na Bwana mwingi, sasa Kule ooooo yule bwana anapiga kimoja tu hoi yanini?

Mama usitumikie mabwana wawili usije itwa malaya
 
.....wewe mtoto wa kike ni mnafiki!

unajidai kupenda mabadiliko, ikawaje ukimbilie ccm?!, huko ndiko kuna mabadiliko uliyokuwaukiyataka ukiwa Chadema?

Ukweli ni kwamba, unaongozwa na tumbo!, ni mjinga pekee atakaeamini hizi ngonjera ulizoandika hapa!, kama kweli ungekuwa mpenda mabadiliko kwa dhati, ungetafuta chama kingine cha upinzani ujiunge nacho,au ungeanzisha chako kama una huo ubavu!

Kelele nyingi... Mbowe this, Mbowe that, what for!, km chama ni kundi la watu na tumafahamu hawa watu lazima wawe na mtazamo unaofanana ili chama kiendelee, kutofautiana mawazo kupo, sababu binadamu hatufanani akili, wapo wenye akili ndogo km yako!( unaleta personal attack huku!), halafu unajiita msomi wa PhD!, na wapo wenye akili kubwa wanaoelewa maana na madhila ya upinzani Tanzania.

Nimalizie kwa kukuuliza ewe mnafiki; huko ccm ulikokwenda umeshawahi kujitokeza hadharani kumnyooshea kidole m/kiti?, au huyo m/kiti wako wa sasa ni mtakatifu hana shida sio!

Kuwa mwanasiasa wa Tanzania tena kijana km wewe lazima uwe na akili mpya, utazame changamoto zinazolikumba taifa kwa sasa na utuoneshe namna gani ya kujikwamua, juzi tu bungeni ulikuwa unapiga domo kwa yale spika anayofanyia wabunge wa upinzani, ukamsifu kwa ku-refer vitabu vitakatifu!, japo ulikuwa unaongea huku unatetemeka!, jinsi dhamira ilivyokuwa ikikusuta!

Bibie unaongozwa na tumbo, na unalitetea tumbo, the rest is blah blah as usual from you!
 
Baada ya kombora kurushwa,wafuatao wamerespond!
olesendeka
Msajili WA vyama
Raisi(tena hapa karespond haswaaa!)
Juliana shonza(kazi maalumu kwa viti maalumu),Bado tunasubiri wengine
 
.....wewe mtoto wa kike ni mnafiki!

unajidai kupenda mabadiliko, ikawaje ukimbilie ccm?!, huko ndiko kuna mabadiliko uliyokuwaukiyataka ukiwa Chadema?

Ukweli ni kwamba, unaongozwa na tumbo!, ni mjinga pekee atakaeamini hizi ngonjera ulizoandika hapa!, kama kweli ungekuwa mpenda mabadiliko kwa dhati, ungetafuta chama kingine cha upinzani ujiunge nacho,au ungeanzisha chako kama una huo ubavu!

Kelele nyingi... Mbowe this, Mbowe that, what for!, km chama ni kundi la watu na tumafahamu hawa watu lazima wawe na mtazamo unaofanana ili chama kiendelee, kutofautiana mawazo kupo, sababu binadamu hatufanani akili, wapo wenye akili ndogo km yako!( unaleta personal attack huku!), halafu unajiita msomi wa PhD!, na wapo wenye akili kubwa wanaoelewa maana na madhila ya upinzani Tanzania.

Nimalizie kwa kuuliza ewe mnafiki; huko ccm ulikokwenda umeshawahi kujitokeza hadharani kunyooshea kidole m/kiti?, au huyo m/kiti wako wa sasa ni mtakatifu hana shida sio!

Kuwa mwanasiasa wa Tanzania tena kijana km wewe lazima uwe na akili mpya, utazame changamoto zinazolikumba taifa kwa sasa na utuoneshe namna gani ya kujikwamua, juzi tu bungeni ulikuwa unapiga domo kwa yale spika anayofanyia wabunge wa upinzani, ukamsifu kwa ku-refer vitabu vitakatifu!, japo ulikuwa unaongea huku unatetemeka!, jinsi dhamira ilivyokuwa ikikusuta!

Bibie unaongozwa na tumbo, na unalitetea tumbo, the rest is blah blah as usual from you!
Hiki Hawezi kujibu pia,anachungulia chungulia tuu
 
Umesema kweli, lakini naendelea kujiuliza wana nini watu hata mioyo yao ikubali kufungwa, wakubali kuwa watumwa na manamba wa fikra na mitazamo. maana watu hawa wamekuwa kama Nanga ya Merikebu, wanasubiri kuzingwa kwa kamba na kuzamishwa majini.
Bibie mimi sina chama na hii inanisaidia sana kuwa critic wa yeyote. Najaribu kujiuliza sana kutokna na common sense though it is not common, kwamba kwanini watu wote wanaotoka CHADEMA ni outspoken na watu waliovizuri kichwani kuanzia wewe, Zitto, kama sikosei Kafulila na Dr na wengine ambao siwafahamu? Inawezekanaje watu wenye uwezo mkubwa sana kisiasa wanafukuzwa chama hivihivi tu ukiangalia si kwa manufaa ya chama bali ya watu fulani. Surprise kubwa ilinishika wakati CHADEMA kwa mikono miwili ilipomchukua LOWASSA, kwakweli nilipoteza imani sana na chama hiki kilichokuwa mahiri na no matter nini wanasema niweka heshima kubwa sana kwa Dr. Slaa kwa maamuzi aliyofanya kwa alichoamini. Kila aliyemuhimu anapotoka kwenye chama hiki, wanakuja na very simple reason kuwa MSALITI. Nikitazama pia watu wengine wenye elimu zao na uwezo mkubwa kama Prof Safari na Baregu hawana sauti zile zinazostahili kutikana na jinsi walivyo hivyo najiuliza kunani CHADEMA?
 
Labda kama hatuzielewi vizuri ama ni wachanga katika siasa za ushindani.Katika hali ya kawaida, kinachofanywa na CDM kuhusu UKUTA na mengineyo ni matukio ya kawaida kabisa katika siasa hizi za ushindani. Sasa sijui nyinyi wa CCM mnahangaishwa na jambo gani?
Mnataka kusiwe na ushindani?
Mnataka muwe na mshindani dhaifu?
Mtakomaa vipi katika siasa hizi na nyinginezo duniani kama hampati washindani wa kuwasumbua kidogo?
 
Mama wee, hata kama una hoja za msingi, kama uwezo wako wa kuandika kwa ufasaha ni duni; sisi wengine tutakudharau hata kabla hatujasoma hoja zako. Hakuna kitu kinachoitwa Masters on Sociology, wala hakuna kitu on progress. Naweza kuelewa Masters of Sociology au Master of Arts in Sociology. Pia naielewa phrase 'in progress' na sio on progress. Kwa uhakika zaidi, shahada za uzamili zinazotolewa na UDSM hizi hapa:Directorate of Postgraduate Studies - Masters Degree , na utaona kuwa hakuna Masters on Sociology.

Napata kichefuchefu sana na huu uduni wa kutumia lugha, hasa unapofanywa na mtu aliyesoma masomo ya Arts. Kwa taarifa tu, wengine tumesoma sayansi na tuna shahada zaidi ya zako na alama A za kutosha kutungia beti mbili katika wimbo lakini hatujigambi kama wewe na wanasiasa wenzio mnaoona Elimu ni kitu cha kujivunia na sio kile ulichoifanyia jamii.
 
Hiki Hawezi kujibu pia,anachungulia chungulia tuu

....achana nacho kapuuzi hako, kamekimbilia ccm kapate nafasi ya fasta halafu kanajidai kanataka mabadiliko!, hiki kiburi cha kuita watu mazombi ni kwasababu kamepewa ubunge wa ch.pi kajinga haka!
 
Back
Top Bottom