Ushuhuda: Freeman Mbowe ni kiongozi dhaifu

Ushuhuda: Freeman Mbowe ni kiongozi dhaifu

Kwani wewe kwa Mtazamo wako wa Kizalendo hao niliowataja ni mapunga sese? Let us be honesty nitajie mtu mmoja tu ndani ya CHADEMA mwenye charisma na ushawishi mkubwa na mvuto wa kisiasa kwa wananchi ambao Zitto na Slaa walikuwa nao ndani ya CHADEMA. i don't need to know it in details lakini ushuhuda wa Zitto tu mwenyewe kuwa ametumia nusu ya maisha yake ndani ya chama toka wakati alipofuatwa na CHADEMA akiwa chuo kikuu na ametumia muda mwingi wa maisha yake katika kukijenga chama hicho nchi nzima a fact that cannot be disputed with any one unless otherwise unaupungufu wa akili. Sitaki nimzungumzie Slaa amefanya nini kwenye CHADEMA na nini ulikuwa msimamo wake, wewe mwanachadema unajua zaidi kuliko mimi, Jembe lile unless otherwise una mtindio wa ubongo na ushabiki wa kijinga. Hivi kweli unaweza hata kidogo kumlinganisha katibu wako wa chama wa sasa ambaye kwakweli hata jina lake silijua na Dr. Slaa? Think out of the box,Kikwete anasema ukiambiwa changanya na akili zako.

....nimekuuliza historia ya Zitto akiwa chadema unaijua?!, habari ya Zitto kufuatwa chuo kikuu akiwa mtoto hakuhalalishi matendo yake yakinafki aliyofanya akiwa chadema, hata wakina Mdee nao walitoka chuo pia,sasa wewe una mahaba niue kwa individual unaona sawa tu hata akivunja taratibu walizojiwekea ndani ya chama!

Huyo jembe lako Slaa alishawahi kukwambia aliwekwa hotelini kipindi kile kwa gharama ya nani?!, wakati yeye alituambia anashindia mihogo?!, na ulinzi alipewa na nani?!

Kwa akili hii sikushangai,ndio maana hata mleta mada unamuona "kichwa" coz mnafanana!

Kama ku-think outside the box ndio huku!,bora hata nisijue!, tumia akili punguza mahaba!
 
Labda utufahamishe ni watu gani hao waliomchagua Mbowe kuwa kiongozi wao, huo uchaguzi ulifanyika lini, na alikuwa anacompete na akina nani?

FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA UENYEKITI CHADEMA

Freeman Mbowe akiwasalimia wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema. Freeman Mbowe ameshinda tena nafasi ya Uenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa baada ya kupata jumla ya kura 789 huku mpinzani wake Ngambaranyela Mongatero akipata kura 20. Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema wakifuatilia…
FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA UENYEKITI CHADEMA | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today
 
That's good, Chadema ina katiba na demokrasia kama ilivyo jina lake. Mtoa post anasema Mbowe hafai kuiongoza CDM, wengine wanasema akili ndogo inaiongoza akili kubwa. Sitaki kuamini kwamba wajumbe wote hao 789 wamempa kura kumweka Mbowe madarakani kwa kumuogopa. Inawezekana akawa na mapungufu yake lkn pia tusisahau mchango wake ndani ya CDM.
 
Mh Mbowe kapoteza dira na anabaki kufukuza kivuli chake:
1) Hoja zilizomjenga kisiasa km ufisadi zinatekelezwa kwa vitendo na serikali ya sasa.
Vitendo gani vinavyofanywa na serikali kudhibiti mafisadi wakubwa? au hao watndaji wadogo wadogo tu. Je akina chenge waliopewa Ukuu bungeni, Riziwani, kalamagi, Mkulo, Yona, Baba riz,tiba, na wengineo mbona wnadunda tu mtaani?
2) Hana "utashi wa kisiasa" ambapo ni mwananchi kwanza mwanasiasa baadaye, kwa kuogopa kupoteza umaarufu unaoporomoka kwa kasi
Utashi anao ndio maana anapigania demokrasia na usawa kwa vyama vyote. Aliyekosa utashini uyo anawazuia vyama mbadala kufanya siasa, Tena anatengeneza Tabaka la kubaguana eti kila mtu afanye siasa sehemu aliyochaguliwa? Kwa maana hiyo yeye hatakiwi kwenda Mbeya Mjini, Dsm, Arusha, Kilimanjaro na maeneo yote walikoshinda wapinzani? Maana uko hawakumchagua
3) Umimi unamtawala zaidi ya maslahi ya wanachama na wafuaso wake na Watanzania kwa ujumla wao - Tamko la UKUTA limejaa umimi tu (asikike, aonekane, akwezwe, asifiwe, nk)
Umimi anao mwenyekiti wenu wa chama. Kila kitu azungumze yeye wapi nafasi ya Wafanyakazi wa Ikulu, Mawaziri, Makataibu Tawala na makaatibu wa wizara. Ishu ndogo ya watu wakishutumu Wasifu wa mmoja wa Mkurugenzi aliyemteua anaongea yeye, kila litu yeye ndio msemaji wa chama, yeye ndio msemaji wa serikali kila kitu ni yeye anataka hadi kufuta jumuiya za CCM kisa anajiamini yeye kama yeye atafanya kazi zote hizo yeye

Wananchi anaodhani anawawakilisha ati hakuna demokrasia (bungeni, mikutano ya kisiasa) watamwazibu kwa kukinyima kura 2020 chama CHAKE ( kwa kuwa kinakosa sifa ya kuwa cha kisiasa)?
CHADEMA na UKAWA ni vyama vya siasa ndio maana inatetea siasa iendelee cha muhimu kila mtu kutimiza majukumu yake.
Wewe mshauri Rais wako njia pekee ya kuwapoteza wapinzani ni kutimiza majukumu ya serikali na kuondoa kero za wananchi kinyume na hapo anacheza tu hatafanikiwa hata akisema siasa 2020 atapata wakati mgumu kwenye kampeni lazima apate shida
 
Maudhui wa ujumbe wa binti yetu ni kutoa taarifa kwamba sasa ameaanza kufanya shaaha ya uzamivu (PhD). Mimi kama mzazi nimeonelea nifanunue baada ya baadhi yenu kuanza kujadili hoja tofauti na lengo kuu la taarifa ya binti. Naomba pia kutoa taarifa kuwa shahada hiyo ya uzamivu anasimamiwa (supervised) na Daktari nguli wa masuala ya siasa Tanzania na Africa, DK Bend son Burner.
 
Umetumia nguvu nyingi sana kuelezea hisia zako za chuki dhidi ya Mbowe na Chadema kwa ujumla, hii inadhihirisha jinsi ulivyo mjinga
 
Ww ni kada na unataka cheo sisi hatujakuona na wala cheo hakuna eti utasikia ovyo rethink yr post
 
JULIANA SHONZA PAMOJA NA PhD yako akili zako ni kidogo sana.

1.badala ya kuandika ni jinsi gani serikali itatatua kero za wananchi na wewe utatatua vipi kero za wanasongwe wewe unatuletea upuuzi wako kuhusu kina Mbowe?

2.kama unafahamu kuwa mbowe ni dhaifu na dhalimu kuna haja gani ya wewe kuanza kupoteza muda wako kupambana na mtu dhaifu kwako?

3.kama mbowe ni dhaifu ana madhara gani kwa wananchi mpaka upoteze muda mwingi na akili yako kupambana na mtu dhaifu?

4. Mbowe ni mwenyekiti wa Chadema na wewe ni mwana ccm kwanini usishangilie udhaifu wa mwenyekiti wa CHADEMA ili CCM iendelee kutusua kila uchaguzi kwa kutumia udhaifu wa upinzani?

5. wewe ulishatoka CHADEMA unapata wapi moral authority ya kuongelea masuala ya CHADEMA wakati hayakuhusu?

6. kuna haja gani ya mbunge kupoteza muda kuongelea CHADEMA inayoongozwa na mwenyekiti dhaifu asiye na madhara yoyote kwa chama tawala.?

7 . PhD holder unapata wapi muda wa kufikiria vitu vya kijinga namna hii na kuvileta mbele ya kadamnasi tena kwa kiapo bila hata aibu?

8. pamoja na PhD yako hapo ndiyo level yako ya kufikiri ?

9. madhumuni ya bandiko lako ni nini? kumtukana mbowe ? kujaza saver za jf au ni kupoteza muda?
NYINYI WABUNGE WA SIKU HIZI MNAFIKIRIA KWA KUTUMIA NINI? TUWAAMINI KWA KIPI? UPI MSAADA WENU KWENYE KUTATUA MATATIZO YA WATANZANIA WANAOTESEKA NA UGUMU WA MAISHA HUKO VIJIJINI?
TUMIA KICHWA CHAKO KUFIKIRI SIYO KUBEBA WIG TU
Huyu dada hana elimu yoyote kichwani kaishia kuhudhuria madarasa tu, kwa elimu uchwara kama hizi tutaishia kuburuza mkia ktk soko la ajira East Africa
 
Huyu dada angetulia na CCM yake...kuliko kulialia na kulalamika kuhusu mbowe mara chadema..amepewa ubunge wa bure..Bila jasho lolote ,kwa nini asiendelee..na maisha yeye kila kukicha ni kulalamika tuu.

Ushauri.

1.)she need to move on with her life.
2.)she need to mind her own business.
 
Elia Tonga Mrema alishwahi kuambiwa ndani ya Bunge juwa ni mzee na akajibu kuwa anaye jua kuwa amezeeka aulizwe mkewe.
Je wewe mleta Thread Kamanda wa Anga Freeman Aikael Mbowe kama ni mdahaifu mbona nawewe unatoa kauli tata zebye mashaka sana wewe pekee kujua udhaifu wa Kamanda wa anga???
 
Huyu dada hana elimu yoyote kichwani kaishia kuhudhuria madarasa tu, kwa elimu uchwara kama hizi tutaishia kuburuza mkia ktk soko la ajira East Africa
Hili ni tatizo LA vyuo vyetu kuzalisha wasomi wajinga na bahati mbaya sana sasa hivi ni wengi sana kwenye udas na ukurugenzi huko
 
Kilicho cha Kaizari mpe kaizari na cha Mungu mpe Mungu. Ni kweli unayoyasema na ni sahihi kwa upeo wako wa kuyachambua na kutayafakari mambo, lakini HAYAKUHUSU!!! Viongozi wapo wengi na Vyama vipo vingi jiunge na chama ukipendacho. Ukimya ni dawa tosha!
 
....nimekuuliza historia ya Zitto akiwa chadema unaijua?!, habari ya Zitto kufuatwa chuo kikuu akiwa mtoto hakuhalalishi matendo yake yakinafki aliyofanya akiwa chadema, hata wakina Mdee nao walitoka chuo pia,sasa wewe una mahaba niue kwa individual unaona sawa tu hata akivunja taratibu walizojiwekea ndani ya chama!

Huyo jembe lako Slaa alishawahi kukwambia aliwekwa hotelini kipindi kile kwa gharama ya nani?!, wakati yeye alituambia anashindia mihogo?!, na ulinzi alipewa na nani?!

Kwa akili hii sikushangai,ndio maana hata mleta mada unamuona "kichwa" coz mnafanana!

Kama ku-think outside the box ndio huku!,bora hata nisijue!, tumia akili punguza mahaba!
Mimi sina mahabu na mtu kwakuwa sina chama, nahoji kulingana na yale ninayoyasikia, kuyaona na kuyasoma. Wewe unasemaje na suala la kuwa kila anayempinga au kumuhoji Mbowe anakuwa adui yake? Kwanini Zitto alikatazwa asigombee nafasi ya uenyekiti wakati ni haki yake ya kidemocrasia. Vilevile bado hujanijibu swali langu la kimsingi kuwa "NI NANI KATI YA MAJEMBE YAKO YA CHADEMA ANAWEZA ANGALAU AKAFIKIA NUSU YA UWEZO WA ZITTO NA SLAA KISIASA". Ni jibu hili tafadhali na hili ndio swali langu la kimsingi zingine hizo ni blabla tu.
 
Kama itafikia mahali uwaamini viongozi wetu hapa Afrika kama wanapigania demokrasia nooo, wanapigania matumbo yao siasa ni ajira na kama ww umebakia kuongea wenzako wanakula wana somesha, wanajenga n.k
Wanatengenezeana kick wanasiasa mala kuziba mdomo Mara Ukuta Mara udikteta hadi wanachama wanafikiri labda kuna uhasama kati ya wanasiasa tawala na pinzani Hapanaaaa tusiwe wazembe kufikiri kiasi hicho.
Chakushangaza ni wanachama wakiambiwa mapingufu ya viongozi wao Ole wake atakayesema maana atakua ni mpuuzi kwa kusema ukweli na kuwa na maoni tofauti hapo sasa mpaka elimu yake itakua duni maana kamkosoa mungu wa baadhi ya watu miungu wa vyama hawakosolewi ukiwakosoa unatafuta matusi tuuuu.
Imani hupunguza ufikiri na sijui tufanyeje watu waweze kuwapinga viongozi wao wa siasa wanapofanya madudu.
 
Nadhani utamaduni wa kupokezana vijiti kwa viongozi wa upinzani unahitajika sana hasa katika zama hizi
 
Mimi sina mahabu na mtu kwakuwa sina chama, nahoji kulingana na yale ninayoyasikia, kuyaona na kuyasoma. Wewe unasemaje na suala la kuwa kila anayempinga au kumuhoji Mbowe anakuwa adui yake? Kwanini Zitto alikatazwa asigombee nafasi ya uenyekiti wakati ni haki yake ya kidemocrasia. Vilevile bado hujanijibu swali langu la kimsingi kuwa "NI NANI KATI YA MAJEMBE YAKO YA CHADEMA ANAWEZA ANGALAU AKAFIKIA NUSU YA UWEZO WA ZITTO NA SLAA KISIASA". Ni jibu hili tafadhali na hili ndio swali langu la kimsingi zingine hizo ni blabla tu.
Unazungumzia Zitto, kiongozi mkuu aliyesaidia ACT kupata mbunge mmoja?
 
Ama kwa hakika shonza ni mwanadada shujaa na mahiri
Ana ushujaa gani huyo mpuuzi tu, eti ni wa Pentecost, Pentecost gani huyo anatumikishwa na Shetani tu.
l guess she's even irksome to her husband.
 
Mimi sina mahabu na mtu kwakuwa sina chama, nahoji kulingana na yale ninayoyasikia, kuyaona na kuyasoma. Wewe unasemaje na suala la kuwa kila anayempinga au kumuhoji Mbowe anakuwa adui yake? Kwanini Zitto alikatazwa asigombee nafasi ya uenyekiti wakati ni haki yake ya kidemocrasia. Vilevile bado hujanijibu swali langu la kimsingi kuwa "NI NANI KATI YA MAJEMBE YAKO YA CHADEMA ANAWEZA ANGALAU AKAFIKIA NUSU YA UWEZO WA ZITTO NA SLAA KISIASA". Ni jibu hili tafadhali na hili ndio swali langu la kimsingi zingine hizo ni blabla tu.


......wewe jamaa mbona mweupe sana, hapa unajaza blabla halafu unasema hutaki blabla!, huo uwezo wa Zitto unaupimaje?!, kwa kua na mbunge mmoja ACT au!!

Umeshiba maneno ya kusikia mtaani mpk umevimbiwa!, hujui kila taasisi inataratibu zake?!, huyo Zitto wako alivyotengeneza makundi ya kumpindua Mbowe ndio ujanja kwa akili yako!, inayofanana na role model wako juliana?!

....akili yenyewe ya kuuliza swali huna!, halafu unaliita swali la msingi "kwa uwezo wako", hilo swali la kitoto sana!
 
Back
Top Bottom