Isike Moses
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,788
- 4,247
Zoezi la uhakiki wa vyeti vya elimu kwa wabunge lianze haraka.
Zoezi la uhakiki wa vyeti vya elimu kwa wabunge lianze haraka.
Unazungumzia Zitto, kiongozi mkuu aliyesaidia ACT kupata mbunge mmoja?
Daa mambo ya mtandao bana yanatudhalilisha watu na heshima zetu, sawa bana mdogo umeshinda naona level yako ya juu sana sikuwezi. Kila la kheri na CHADEMA yako, nawaombea muwe wapinzani wa kutisha ili kuleta tija kwa taifa hili kwakuwa aliokuwa madarakani wanahitaji upinzani uliotukuka na wa kweli na mkisimamia hapo sisi Watanzania wote na hasa tusio na vyama tutawasapoti nia ni kusonga mbele na si ushabiki usio na maana kwaajili ya mapenzi ya chama changu.......wewe jamaa mbona mweupe sana, hapa unajaza blabla halafu unasema hutaki blabla!, huo uwezo wa Zitto unaupimaje?!, kwa kua na mbunge mmoja ACT au!!
Umeshiba maneno ya kusikia mtaani mpk umevimbiwa!, hujui kila taasisi inataratibu zake?!, huyo Zitto wako alivyotengeneza makundi ya kumpindua Mbowe ndio ujanja kwa akili yako!, inayofanana na role model wako juliana?!
....akili yenyewe ya kuuliza swali huna!, halafu unaliita swali la msingi "kwa uwezo wako", hilo swali la kitoto sana!
Wewe si mtu wa kuonyeshwa jambo. Biblia inasema lililofungwa mbinguni duniani hakuna wa kulifungua.Naomba aliyeona jipya anisaidie na mimi nione tafadhali.
Ajabu iliyoje..!!Hili ni tatizo LA vyuo vyetu kuzalisha wasomi wajinga na bahati mbaya sana sasa hivi ni wengi sana kwenye udas na ukurugenzi huko
Nafahamu Mkuu....mbunge sharti ajue kusoma na kuandika, nothing else! (katiba ya Tz 1977).
Unatumia kivuli cha upentekoste ili tuone umeongea ukweli saana... Bado bado, liyekuagiza mwambie akupe maelekezo vzuri kuna sehemu hapo naona umeenda chaka kabisa tofauti na akiyekuagiza...
Yani ni bora usingeweka hilo neno mpentekoste tujue moja.. Nyie ndo wale mnaolala hivi aaf mnaamka vile... Shahada this shahada that, they will bring you nowhere...
Note: No one leaves the political party without criticizing what he/she has left behind hata kama ni kizuri.
Umri hauna maana sana kwenye siasa za karne hii, acha kuropoka!Unaufahamu UMRI wa ACT kwenye siasa kabla ya uchaguzi au unaropoka tu?
Daa mambo ya mtandao bana yanatudhalilisha watu na heshima zetu, sawa bana mdogo umeshinda naona level yako ya juu sana sikuwezi. Kila la kheri na CHADEMA yako, nawaombea muwe wapinzani wa kutisha ili kuleta tija kwa taifa hili kwakuwa aliokuwa madarakani wanahitaji upinzani uliotukuka na wa kweli na mkisimamia hapo sisi Watanzania wote na hasa tusio na vyama tutawasapoti nia ni kusonga mbele na si ushabiki usio na maana kwaajili ya mapenzi ya chama changu.
Kabla haujapost naomba uwe unasoma Kwanza post zako wewe mwenyewe uone kama zinaeleweka.....ungekuwa na uelewa wakutosha ungeweza ni convince; bt kwa kutumia hii mada iliyoletwa hapa, huwezi nidanganya kitu!, mleta mada mwenyewe kakimbia since day one kuthibitisha alichokiandika hapa ni pumba, halafu wewe pekee unamuona "genious wako"!
Nikwambie kitu mdogo wangu; siku zote kwenye maisha usimpime msomi kwa CV yake (like PhD in progress damn shit!),mpime kwa kuchambua kile alichokiandika, je kina relevance kwenye real situation?, haiwezekani mtu akakwambia nilimpinga Mbowe nikafukuzwa Chadema; just like that!, je huko alikokwenda hajawahi kuona baya lolote la kupinga all these days!, utaona vizuri jinsi "msomi wako" anavyotetea tumbo!
Tukiachana na Mbowe/ uongozi wa CDM. Je, tunaelekea kama nchi mahali ambapo tunapataka?U must feel sorry for what u have as a leaders huko kwenu opposition, maana kama isingelikuwa kwa juhudi za watawala Tanzania would stink and sink..!!
Nimewahi kuwa na mashaka juu ya mambo mengi sana lakini sijawahi kuwa na mashaka juu ya nia na dhamira ya Dkt Magufuli ya kutaka Tanzania yaViwandaTukiachana na Mbowe/ uongozi wa CDM. Je, tunaelekea kama nchi mahali ambapo tunapataka?
Je, raisi wetu anafanya sawia kutoa makatazo alotoa?
Lengo na nia vyaweza kuwa vizuri, lakini tunafikiaje hilo lengo??Nimewahi kuwa na mashaka juu ya mambo mengi sana lakini sijawahi kuwa na mashaka juu ya nia na dhamira ya Dkt Magufuli ya kutaka Tanzania yaViwanda
Watu wananyimwa uhuru wa kueleza fikra zao, vyama vya siasa vinanyimwa uhuru wa kufanya mikutano na maandamano ili iweje? Ndo viwanda vije?Nimewahi kuwa na mashaka juu ya mambo mengi sana lakini sijawahi kuwa na mashaka juu ya nia na dhamira ya Dkt Magufuli ya kutaka Tanzania yaViwanda