Ushoga katika Tanzania

Ushoga katika Tanzania

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,286
Reaction score
10,832
Wakati naanza kufanya uchunguzi wangu nilidhani kuwa ushoga husababishwa na umasikini, hali haikuwa hivyo kwa sababu mashoga wa bongo 95% wana elimu na uwezo mzuri kiuchumi.

Hii inaonyesha wazi kwamba vijana ambao ni mashoga huwa hivyo kwa sababu nyinginezo, ambazo ni ; unajisi na utandawazi. kama serikali itataka kukabiliana na tatizo hili wala isilitangaze kivyovyote kwa sababu mwaka 2011 walizuka mashoga wengi baada ya kutangaza lile swala la D. Cameroon.

Hapa wazazi wa kiume(baba) inabidi wawe makini sana na watoto wao, kwa uchunguzi wangu mfupi nilioufanya nimegundua wapo watu wengi wanaopenda kuingiliwa wenye umri, vyeo na nyadhifa mbalimbali, ila 80% ya mashoga wanatokea kaskazini especially Arusha. Kwa ufupi, mwenye swali aulize.
 
23978.gif
 
Sikutaka kuuliza lakini ulipotaja kuwa wengi wao wanatoka Arusha naomba nikuulize
1. Utafiti wako ulikuchukua siku ngapi?
2. Ulihoji watu wangapi kila mkoa?
3. Rika gani ulizihoji?
4. Nyakati gani ulizofanya mahojiano?
5. Sababu walizokwambia kuwa zinasababisha wapendelee ushoga.
6. Tupe tathmini ya idadi ya kila mkoa in %.

Nawasilisha.
 
Sikutaka kuuliza lakini ulipotaja kuwa wengi wao wanatoka Arusha naomba nikuulize
1. Utafiti wako ulikuchukua siku ngapi?
2. Ulihoji watu wangapi kila mkoa?
3. Rika gani ulizihoji?
4. Nyakati gani ulizofanya mahojiano?
5. Sababu walizokwambia kuwa zinasababisha wapendelee ushoga.
6. Tupe tathmini ya idadi ya kila mkoa in %.

Nawasilisha.

kwa kuongezea na mbinu gani ya ukusanyaji taarifa aliyoitumia je interview,observation, questioners au ipi?
na sampuli yake ilikuwa kiasi gani kila mkoa?
 
Duh, kumbe mashoga wengi wanatokea kulekule kwa akina "aisee chaliii yangu", halafu wanajifanya wagumu kumbe hawana lolote zaidi ya kupumuliwa kwa nyuma!!!
 
GOOGLE.....Tanzania Gays network........
 
nimefungua huo mtandao hapo juu nimeogopa zikuweza kuamini kama tumeweza kuendelea kiasi hiki!
mabaya sana sikutegemea kabisa kukuta upumbavu huu.
kinachotisha zaidi kuna vijana wenye umri mdogo ambao hawajui hata wanafanya nini wako huku
Kwa kweli wacha maghorofa yaanguke yatupunguze Tunahitaji kuadhibiwa zaidi ya hapa tulipo
MUNGU tusamehe na tuokoe watu watu wako
 
Wewe ni hamnazo endelea kuchezea arachuga ss hatuna huo upuuzi.
 
wakati naanza kufanya uchunguzi wangu nilidhani kuwa ushoga husababishwa na umasikini, hali haikuwa hivyo kwa sababu mashoga wa bongo 95% wana elimu na uwezo mzuri kiuchumi. Hii inaonyesha wazi kwamba vijana ambao ni mashoga huwa hivyo kwa sababu nyinginezo, ambazo ni ; unajisi na utandawazi. kama serikali itataka kukabiliana na tatizo hili wala isilitangaze kivyovyote kwa sababu mwaka 2011 walizuka mashoga wengi baada ya kutangaza lile swala la D. Cameroon. Hapa wazazi wa kiume(baba) inabidi wawe makini sana na watoto wao, kwa uchunguzi wangu mfupi nilioufanya nimegundua wapo watu wengi wanaopenda kuingiliwa wenye umri, vyeo na nyadhifa mbalimbali, ila 80% ya mashoga wanatokea kaskazini especially Arusha. Kwa ufupi, mwenye swali aulize.

Tunaomba ripoti kamili ili tuchangie tukijua ulichokua unakitafuta. Mi tayari nina wasiwasi kua ulikua biased from what you have said in the underlined part.
 
mimi sina swali coz sio shoga na sitarajii kama kuna ndugu yangu yeyote atakuja kuwa shoga
 
We si mungu useme hakuna ndugu yako atakayekuwa shoga, hilo nijambo la siri la m2 mwenyewe man.
 
mimi sina swali coz sio shoga na sitarajii kama kuna ndugu yangu yeyote atakuja kuwa shoga

sema hutarajii kujua kuwa ndugu yako ni shoga, mashoga wa siku hizi huwez kuwajua kwa macho wengine mpaka wana six pack na wanazuga kutembea na sisi mpaka ghetto kwa tunaenda lakin Yote ni Zuga ili asistukiwe ila ukiwa makin utawajua ukiwa nae karibu walau a week! Kama una mtoto ni hatari sana kumfungia chumban hupata mihemko hiyo hata House boy anaweza kumharibu mwache aji mix ili uweze kujua changez na hisia zake, Watoto wengi wa Kiume wameharibiwa wakiwa form two mpaka three wakiwa Boarding skul, urafiki wa watoto wa Kiume walopishana sana Age lazima uuhoji kwa busara bila ya wao kujistukia, IFM ni moja ya maeneo yaliyoharibika sana!
 
some days back niliwahai changia thread flan hiv nikihusisha wanaume wa mikoa ya huko na ushoga.nikaishia kupigwa ban ya miezi 3.sasa mleda mada sijui hii guts umeitoa wap?!.hongera sana though sitashangaa nikikukuta guantanamo bay ya jf.
 
sema hutarajii kujua kuwa ndugu yako ni shoga, mashoga wa siku hizi huwez kuwajua kwa macho wengine mpaka wana six pack na wanazuga kutembea na sisi mpaka ghetto kwa tunaenda lakin Yote ni Zuga ili asistukiwe ila ukiwa makin utawajua ukiwa nae karibu walau a week! Kama una mtoto ni hatari sana kumfungia chumban hupata mihemko hiyo hata House boy anaweza kumharibu mwache aji mix ili uweze kujua changez na hisia zake, Watoto wengi wa Kiume wameharibiwa wakiwa form two mpaka three wakiwa Boarding skul, urafiki wa watoto wa Kiume walopishana sana Age lazima uuhoji kwa busara bila ya wao kujistukia, IFM ni moja ya maeneo yaliyoharibika sana!
mmh am speechless ila nakubaliana na uliyoyasema.
 
Back
Top Bottom