Uchawi upo mkuu kasome hata vitabu vya mungu,ila naami pamoja na kuwepo uchawi yesu ni kiboko yao.Uchawi haupo na hakuna kitu kama hicho duniani.
Nashangaa humu watu wanajadili vitu ambavyo havipo, uchawi haupo na haujawahi kuwepo.
Nishawambia watu wanaodaiwa kua ni wachawi na waganga waniroge sijawahi kuonanimeroheka,kuna mwingine niliwahi kumpiga makofi nikamwambia akaniroge sijawahi kuona. Uchawi haupo.
Kama kuna mtu humu anadhani yeye ni mchawi akaniroge nimemruhusu.
Bado hujakomaa kiimani mkuuunafikiri mungu ye akishahukumu hao wenye dhambi ye anapata faida gani..?
Duuuuhizo mbinu nyingine zote nnaweza kuziepuka hila suala la kupiga nyeto hapo wamenipata maana nimeshindwa kuacha kabisaa huo mchezo nilianza kupiga tangu enzi picha za xx kuna vitabu kabisa mnaazimishana niliambiwa nisiwe naangalia blue lakini ikifika ule muda nna download nikishapiga nnazifuta.
Duuuuhizo mbinu nyingine zote nnaweza kuziepuka hila suala la kupiga nyeto hapo wamenipata maana nimeshindwa kuacha kabisaa huo mchezo nilianza kupiga tangu enzi picha za xx kuna vitabu kabisa mnaazimishana niliambiwa nisiwe naangalia blue lakini ikifika ule muda nna download nikishapiga nnazifuta.
Duuuuhizo mbinu nyingine zote nnaweza kuziepuka hila suala la kupiga nyeto hapo wamenipata maana nimeshindwa kuacha kabisaa huo mchezo nilianza kupiga tangu enzi picha za xx kuna vitabu kabisa mnaazimishana niliambiwa nisiwe naangalia blue lakini ikifika ule muda nna download nikishapiga nnazifuta.
Mmh duuhizo mbinu nyingine zote nnaweza kuziepuka hila suala la kupiga nyeto hapo wamenipata maana nimeshindwa kuacha kabisaa huo mchezo nilianza kupiga tangu enzi picha za xx kuna vitabu kabisa mnaazimishana niliambiwa nisiwe naangalia blue lakini ikifika ule muda nna download nikishapiga nnazifuta.
Jiulize ni kwanini baadhi ya watoto wa nje wanakuwa ni janga katika Familia na hata kusababisha familia kusambaratika huku wengine hao hao wakiwa ni Baraka kubwa
AU ni mtoto wa ndani ya ndoa lakini akawa tatizo kubwa hapo jua kuna kitu cha kawaida kilifanyika... Kikubwa kikiwa ni ushirikina
Kweli yetu machoYetu macho
Mmh hebu niambie hapa kwa kirefu ama PM
Hatarious kabisasiku moja baada ya mtanange kuisha naona mtu anachukua ndom. used anaweka kwenye pochi
mie kwa uoga wa kulogwa dushe (nilijua anaenda likaanga dushe liwe linasimama kwake tu) nkambana anipe marighafi zangu.
basi akanipa ila kwa kulalamika, kumbe alitaka peleka kuongeza idadi ya chama lao.
Kwa mwanamke anayepelekwa kwenye sherehe za kuingizwa kuwa mchawi, daraja lake la kwanza huwa ni Alter, au madhabahu. Shughuli zote za Mtu kuingizwa katika uchawi hufuatana na "Orgies" (ngono, ya holela na members wa occult,au kukundi.)Cheti mpaka phd