Ushirikina katika ngono na Manii

Ushirikina katika ngono na Manii

Mshana jr mbona mimi siyo mchawi ila nikikaa kwenye kundi la watu nakua najishtukia na zaidi sipendi kukaa kwenye makundi ya watu.

Au nina vijielement vya kichwawi nichukue tahadhar mapema nifungue hapo.
 
Mkuu katavi
Mwatuli? Hiyo kitu mm mwenyewe nimewahi shuudia dada mmoja alijifungua kwa njia ya upasuaji bahati mbaya mtoto akafa.
Kitu cha ajabu yule dada ndani ya miezi sita alikua akiota ndoto anamnyonyesha mtoto wake na akishtuka anakuta nyonyo zimelowa na maziwa yanatoka

Ikabidi watembee kwa wajuzi wa mambo wakabaini mtoto hakufa yupo hai kwa wachawi na huwa wanamleta anagonga tanga fresh ananyonya kama kawa
Walichofanya ni kufunga ili wasimlete tena kunyonya

WACHAWI WAPO
 
mshana jr nilikua na mchepuko sasa siku moja kaja geto ndani ya kufanya mambo nilitumia kondom baada ya kumaliza shughili pevu kumbe kondom ilifyatuka so mi sikujua yeye akaenda kuoga
Kidume mimi nikaanza kuitafuta wapi imedondokea

Duuh nikafunua mshuka nikainua godoro na kitanda sikuiona kabsa mi nikapotezea akaondoka

Baadae nammuliza vipi ile mambo mnona siioni akasema kawaida tu mi nilishtuka kwa sababu niliogopa asije kupata kansa but sikutilia maanani saana
Nikapotezea tu.

Sasa nakuta na hii uzi imenibidi nishtuke na kuogopa sana nikivuta kumbukumbu.

Je anaweza kutumia kwa ajili ya kumshika mwanaume coz sijielew
Je anaweza kutumia kama limbwata.

Je anaweza kutumia kumgeuza awe bushoke

Je anaweza kuniathili kwa njia yoyote.
Msaada tafadhali.
 
mshana jr nilikua na mchepuko sasa siku moja kaja geto ndani ya kufanya mambo nilitumia kondom baada ya kumaliza shughili pevu kumbe kondom ilifyatuka so mi sikujua yeye akaenda kuoga
Kidume mimi nikaanza kuitafuta wapi imedondokea

Duuh nikafunua mshuka nikainua godoro na kitanda sikuiona kabsa mi nikapotezea akaondoka

Baadae nammuliza vipi ile mambo mnona siioni akasema kawaida tu mi nilishtuka kwa sababu niliogopa asije kupata kansa but sikutilia maanani saana
Nikapotezea tu.

Sasa nakuta na hii uzi imenibidi nishtuke na kuogopa sana nikivuta kumbukumbu.

Je anaweza kutumia kwa ajili ya kumshika mwanaume coz sijielew
Je anaweza kutumia kama limbwata.

Je anaweza kutumia kumgeuza awe bushoke

Je anaweza kuniathili kwa njia yoyote.
Msaada tafadhali.
Kama alikuwa na nia ya kukudhuru kwa njia yoyote ile kupitia manii hashindwi ila usiogope sana kama ni mtu wako wa karibu na mnapendana
 
mkuu..Habari za kitambo

hivi ile hali ya wanawake kuota wananyonyesha wakati watoto wamefariki na akishtuka anakuta chuchu zimelowa, au wadada wanatoa mimba changa mno lakin anatoka maziwa ina connection hapa??
Hao hawajafa kifo cha asili bali wako hai lakini wamefishwa
 
Mshana upo?
Uchawi haupo na hakuna kitu kama hicho duniani.

Nashangaa humu watu wanajadili vitu ambavyo havipo, uchawi haupo na haujawahi kuwepo.

Nishawambia watu wanaodaiwa kua ni wachawi na waganga waniroge sijawahi kuonanimeroheka,kuna mwingine niliwahi kumpiga makofi nikamwambia akaniroge sijawahi kuona. Uchawi haupo.

Kama kuna mtu humu anadhani yeye ni mchawi akaniroge nimemruhusu.
 
Back
Top Bottom