Wang Shu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,563
- 3,708
Ni sehemu maalum kwa wadau wa mpira wa miguu kutoa maoni, ushauri na uchambuzi.
Msimu mpya umeanza kwa timu zetu 4 kuiwakilisha Tanzania kwa ushiriki wa michuano ya kimataifa barani Afrika.Tanzania imepata nafasi ya kupeleka timu 4 ukiwa ni msimu wake 4, Ligi ya Tanzania inashika nafasi ya 5 kwa ubora barani Afrika.
Timu 2 ambazo ni SIMBA SC na YOUNG AFRICAN SC ndizo timu zinazo shiriki Ligi ya mabingwa msimu wa 2023/2024
Timu 2 ambazo ni AZAM FC na SINGIDA FOUNTANE GATE ndizo zinazishiriki kombe la shirikisho msimu wa 2023/2024.
Result:
SIMBA itaanza hatua ya pili kwa sababu ipo kwenye timu 10 bora barani Afrika.
Hatua ya awali Yanga wanafainali wa kombe la shirikkiisho Afrika msimu wa 2022/2023 wameanza kwa ushindi ugenini wakishinda gori 0-2 dhidi ya ASAS DJIBUIT.
Msimu mpya umeanza kwa timu zetu 4 kuiwakilisha Tanzania kwa ushiriki wa michuano ya kimataifa barani Afrika.Tanzania imepata nafasi ya kupeleka timu 4 ukiwa ni msimu wake 4, Ligi ya Tanzania inashika nafasi ya 5 kwa ubora barani Afrika.
Timu 2 ambazo ni SIMBA SC na YOUNG AFRICAN SC ndizo timu zinazo shiriki Ligi ya mabingwa msimu wa 2023/2024
Timu 2 ambazo ni AZAM FC na SINGIDA FOUNTANE GATE ndizo zinazishiriki kombe la shirikisho msimu wa 2023/2024.
Result:
SIMBA itaanza hatua ya pili kwa sababu ipo kwenye timu 10 bora barani Afrika.
Hatua ya awali Yanga wanafainali wa kombe la shirikkiisho Afrika msimu wa 2022/2023 wameanza kwa ushindi ugenini wakishinda gori 0-2 dhidi ya ASAS DJIBUIT.