Ushindi bila penati leo umeanza kunitia moyo !!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,138
Nahisi leo akuna atakae lalamika jamani kuhusu ushindi wa man u
wameshinda kihalali ingawa makosa madogomadogo kwa refa ayakosekani
zuri zaidi ni lile wimbi la ushindi wa penati sasaa basi
tumeanza kushinda kihalali atutaki makelele
 
Back
Top Bottom