Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,203
- 85,311
- Thread starter
- #81
Mkuu, hii nime mention kabisa tayari sehemu na maeneo kadhaa kwenye comments zilizo tangulia.#3, hiyo inaweza zidi zaidi ya hapo,,
Hapa mwanza kuna sehem huwa naenda mida ya jion kupata sahan moja ya matunda mix,, ni buku tu sahan moja,,
Aiseh anapiga pesa yule,,
Naokuomba tu upitie huu uzi taratibu na mengi utayapata hapahapa ndani