Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,213
- 85,334
- Thread starter
- #161
Hii biashara sina uzowefu nayo, ingawa mayai naona kwawingi yakiuzwa sokoni na kuna baadhi ya maduka watu wamefunguwa kwaajili ya kuuza mayai kwa jumla na rejareja.Habari mkuu ushimeni,naomba pia maeneo ya kuuza mayai ya kisasa,au biashara ya mayai ya kisasa kwa dodoma