Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 754
ndio nini kuvaa masaa tele basi na hayo mamiwani yake pia angeweka masaa juu yake loool...
haha ELTORO BWANA
WE JAMAA SIKUWEZI🙂🙂 AND WHO IS THIS GUY?
Sorry GUY or GEI?
MBONA VIDOLE NA USO RANGI TOFAUTI!!???:spy:
MBONA VIDOLE NA USO RANGI TOFAUTI!!???:spy:
Huu ni utata mtupu mwimbaji wa nyimbo za gospel anakuwa hivyo kama .........................this guy is calling himself NISHER but his name ni Nick David mtoto wa Mh. Mstahiki, Nabii GeorDavie Kasambale (thats the way he calls himself) Nabii na kiongozi wa Ngurumo ya Upako kisongo Arusha. ni mwimbaji wa gospel ktk style ya RnB na crunk pia ni muongozaji na mtayarishaji wa muziki wa gospel ktk kanisa la babaake. unawaza pia msearch kwa FB kwa jina la NISHER